Kwa mara ya kwanza katika Historia Bunge lina Askofu!! Tena Askofu Rashid
Watu wamemiss amsha amsha za MakondaNB: Makonda arudishiwe Dar yake, maana uchaguzi umeisha na sasa tunaijenga nchi yetu.
Ngwaju Boy huyu huyu au unamsema mwingine?Ni mapendekezo tu kutokana na viwango vyao vya elimu na uzoefu wao katika kutumikia watanzania.
1. Askofu Dr Gwajima........ Waziri wa mambo ya ndani
2. Dr Kimei........Waziri wa Fedha
3. Mh Abbas Tarimba.......Waziri viwanda na biashara
4. Mh Babu Tale........Waziri wa Habari, Sanaa na michezo
5. Mh Mrisho Gambo....... Waziri wa Tamisemi
6. Mh Godwin Kunambi........Waziri wa Katiba na Sheria
Unaweza kuendeleza orodha
Maendeleo hayana vyama!
Ana Level gani ya elimu?Sio kila mbunge anasifa ya kuwa Waziri. Kama Huyo no 4. Vigezo na masharti kuzingatiwa. Hasa swala la Elimu
Utakuwa umemsahaumarehemu mama Lwakatare?Kwa mara ya kwanza katika Historia Bunge lina Askofu!! Tena Askofu Rashid
Wizara inayomfaa Gwajima ni ya utamaduni na usanii.
Dr. Mpango Fedha hawezi kutoka pale amedumu miaka 5 mfululizo yeye na Ummy atawaachache kwa mfanoNi mapendekezo tu kutokana na viwango vyao vya elimu na uzoefu wao katika kutumikia watanzania.
1. Askofu Dr Gwajima........ Waziri wa mambo ya ndani
2. Dr Kimei........Waziri wa Fedha
3. Mh Abbas Tarimba.......Waziri viwanda na biashara
4. Mh Babu Tale........Waziri wa Habari, Sanaa na michezo
5. Mh Mrisho Gambo....... Waziri wa Tamisemi
6. Mh Godwin Kunambi........Waziri wa Katiba na Sheria
Unaweza kuendeleza orodha
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu hata Abbas Tarimba ?Katika hawa wote uliowataja na hadi kuwapigia Chapuo hapa japo Mimi Kura yangu JPM na CCM wameipata ila akiwateua wote au hata tu kumteua mmoja wapo hapa nitamdharau kuliko Mwenyekiti wangu CCM na Rais wangu Dk. Magufuli kwakuwa hakuna anayemfaa hapa.
Kuwa Kwake Yanga SC ndiyo kumenifanya 'nisimkubali' zaidi kwani ninavyojua ukiwa tu ni Mshabiki wa Yanga SC lazima tu Kichwani utakuwa siyo.Mkuu hata Abbas Tarimba ?
MsingiAna Level gani ya elimu?
Gwajima hana qualifacation. Babu tale hana qualifications.. tofauti na ubunge ambao hata class 7 wanaupata... uwaziri una qualification za juu.Ni mapendekezo tu kutokana na viwango vyao vya elimu na uzoefu wao katika kutumikia watanzania.
1. Askofu Dr Gwajima........ Waziri wa mambo ya ndani
2. Dr Kimei........Waziri wa Fedha
3. Mh Abbas Tarimba.......Waziri viwanda na biashara
4. Mh Babu Tale........Waziri wa Habari, Sanaa na michezo
5. Mh Mrisho Gambo....... Waziri wa Tamisemi
6. Mh Godwin Kunambi........Waziri wa Katiba na Sheria
Unaweza kuendeleza orodha
Maendeleo hayana vyama!
Na kwa mara ya kwanza Askofu anaenda kumtumikia Kaisari maajabu haya.Kwa mara ya kwanza katika Historia Bunge lina Askofu!! Tena Askofu Rashid