Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,545
Ndiyo maana mnapoteza watu! shame on youKwenye siasa hakuna asiye katili!
Ndiyo maana mnapoteza watu! shame on youKwenye siasa hakuna asiye katili!
Mpeleke maza ako akaishi hapoKawe imepata mbunge makini!
Wangwe alipotelea wapi?Ndiyo maana mnapoteza watu! shame on you
Alipotezwa na baba akoWangwe alipotelea wapi?
Sumu haionjwi bwashee!
Mimi naishi Mbweni jirani na Halima Mdee lakini kura yangu nilimpigia mtumishi wa Mungu askofu Gwajima!Mpeleke maza ako akaishi hapo
Umeshapanic...... Ukweli unauma meku!Alipotezwa na baba ako
Katika hawa wote uliowataja na hadi kuwapigia Chapuo hapa japo Mimi Kura yangu JPM na CCM wameipata ila akiwateua wote au hata tu kumteua mmoja wapo hapa nitamdharau kuliko Mwenyekiti wangu CCM na Rais wangu Dk. Magufuli kwakuwa hakuna anayemfaa hapa.
Inaonekana wewe ni mtu mzima lakini kichwani ni kweupe, simenti imepanda kwa watu wote siyo kwa Halima pekee. Shame on youMimi naishi Mbweni jirani na Halima Mdee lakini kura yangu nilimpigia mtumishi wa Mungu askofu Gwajima!
Ulaaniwe wewe na kizazi chako choteUmeshapanic...... Ukweli unauma meku!
Baba askofu Gwajima atakuombea wewe na mangi wenzio hapo Ufipa ili mapepo yawatoke!Ulaaniwe wewe na kizazi chako chote
Ila anafiti sana kwenye ukuu wa mkoa, na hasa Dar ilimkaa sana. Nature yake ni utawala zaidi. Nawasilisha!Makonda atateuliwa viti maalumu!
Bora mangi hatuishi kwenye nyumba za tembe kama kwenu kusini, babu mzima huna hata hayaBaba askofu Gwajima atakuombea wewe na mangi wenzio hapo Ufipa ili mapepo yawatoke!
Manka pole sana kwa " kufura"Bora mangi hatuishi kwenye nyumba za tembe kama kwenu kusini, babu mzima huna hata haya
Kafie mbaliManka pole sana kwa " kufura"
Kunywa magadi!
Kunywa magadi na usisahau kufuatilia sherehe za kuapishwa Rais Magufuli.Kafie mbali
Sio kila mbunge anasifa ya kuwa Waziri. Kama Huyo no 4. Vigezo na masharti kuzingatiwa. Hasa swala la ElimuNi mapendekezo tu kutokana na viwango vyao vya elimu na uzoefu wao katika kutumikia watanzania.
1. Askofu Dr Gwajima........ Waziri wa mambo ya ndani
2. Dr Kimei........Waziri wa Fedha
3. Mh Abbas Tarimba.......Waziri viwanda na biashara
4. Mh Babu Tale........Waziri wa Habari, Sanaa na michezo
5. Mh Mrisho Gambo....... Waziri wa Tamisemi
6. Mh Godwin Kunambi........Waziri wa Katiba na Sheria
Unaweza kuendeleza orodha
Maendeleo hayana vyama!
Wewe unatumia nini meku........ndisi au parachichi?Huwa unafikiri kwa kutumia ubongo au makalio?
Kichwani mwako una uhakika zimekutimia na zinakutosha sawa sawa?Kweli Elimu ni muhimu sana, unamchaguaje mtu Halafu una challenge uwezo wake wa maamuzi?
Ukimchagua mtu una maana kwamba 100% unakubaliana na maamuzi yake bila wasiwasi!
Kichwani mwako una uhakika zimekutimia na zinakutosha sawa sawa?