Askofu Gwajima anafaa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Dkt. Kimei Waziri wa Fedha, Tarimba Abbas Waziri Viwanda na Biashara!

Katika hawa wote uliowataja na hadi kuwapigia Chapuo hapa japo Mimi Kura yangu JPM na CCM wameipata ila akiwateua wote au hata tu kumteua mmoja wapo hapa nitamdharau kuliko Mwenyekiti wangu CCM na Rais wangu Dk. Magufuli kwakuwa hakuna anayemfaa hapa.

Kweli Elimu ni muhimu sana, unamchaguaje mtu Halafu una challenge uwezo wake wa maamuzi?

Ukimchagua mtu una maana kwamba 100% unakubaliana na maamuzi yake bila wasiwasi!
 
Ni mapendekezo tu kutokana na viwango vyao vya elimu na uzoefu wao katika kutumikia watanzania.

1. Askofu Dr Gwajima........ Waziri wa mambo ya ndani

2. Dr Kimei........Waziri wa Fedha

3. Mh Abbas Tarimba.......Waziri viwanda na biashara

4. Mh Babu Tale........Waziri wa Habari, Sanaa na michezo

5. Mh Mrisho Gambo....... Waziri wa Tamisemi

6. Mh Godwin Kunambi........Waziri wa Katiba na Sheria

Unaweza kuendeleza orodha

Maendeleo hayana vyama!
Sio kila mbunge anasifa ya kuwa Waziri. Kama Huyo no 4. Vigezo na masharti kuzingatiwa. Hasa swala la Elimu
 
Kweli Elimu ni muhimu sana, unamchaguaje mtu Halafu una challenge uwezo wake wa maamuzi?

Ukimchagua mtu una maana kwamba 100% unakubaliana na maamuzi yake bila wasiwasi!
Kichwani mwako una uhakika zimekutimia na zinakutosha sawa sawa?
 
Back
Top Bottom