Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,815
- 20,659
CIA operative a.k.a NWO sleeper agentMagu masalia a.k.a. sukuma gang
a.
CIA operative a.k.a NWO sleeper agentMagu masalia a.k.a. sukuma gang
Mkuu science ya haya mambo ni complex,ni vigumu sana kama sio scientists nguli kuelewa.Labda niseme hivi in very simple terms,ili C-19 ingredients ziweze ku-trigger the required impact,kulikuwa na lazima ya kutanguliza ingredients zingine zilizoko kwenye compounds zingine kama Chloroquine kwa mfano au medications zingine etc.Nina maana gani,bila sumu zingine zilizotangulia,hii ya C-19 isingefanya kazi.Mkuu bado sijakuelewa. Kwamba wameona hatua nzuri ya kupandikiza hizo microchip ni kupitia chanjo ya korona na siyo ALU au chanjo ya Mgongo wazi kwa mama wajawazito ambazo hizo dawa zote hospitali zinatolewa kwa wagonjwa bila hata kuwa na wasi wasi. Ebu endelea kutoa elimu mkuu na elimu ikigusa uhalisia itakuwa imeeleweka zaidi kwamba kwanini watumie complex way kutumaliza/kutucontrol wakati kuna simple ways??
Tupe taarifa ambazo sio pumba.Wewe ulichoandika ndio pumba,kwa kuwa hakuna chochote cha kujifunza.Pumba
Mambo haya huwa yanaanzaga taratibu na Leo hii babu zetu wa enzi za miaka 1880s wakifufuka wakayaona haya ambayo leo hii tunayafanya kwa kushabikia kila kitu tunacholetewa ni aibu kubwaIla tukijaga hapo kwenye kuingizwa microchip ndo nachekaga kufa
Me angekua mume wangu hiyo aibu hata siiwezi aisee
Wazungu wanatupenda sana sisi watu rangi ya coka.Ndo kwenye hiyo sindano?