Askofu Gwajima amehukumiwa kwa mahubiri yake au kama Mbunge? Je, angekuwa siyo Mbunge ingekuwaje?

ZALEMDA

JF-Expert Member
Aug 15, 2017
1,647
1,884
Sijaelewa embu nielimishwe

Askofu Gwajima alianza kutilia shaka chanjo hii akiwa bungeni. Akiwa kanisani ameendelea kutia shaka. unajua tutofautishe kutia shaka na kupinga.

Sasa kwa sababu mahubiri take kama mbunge yameonyesha kudhalilisha bunge, je angekuwa RAIA wa kawaida hukumu yake ingekuwaje?

Uhuru wa kutoa maoni uko wapi?
 
Angekuwa raia wa kawaida tungemwokota Coco beach kwenye sandarusi

Angekuwa mpinzani angekuwa gerezani kwa kosa la ugaidi

Ila kwakuwa ni mbunge wa fisiem tumemsimamisha mikutano miwili ili ajirekebishe na kumheshimu mwenyekiti wetu...
 
ndio unauliza swali gani ilo sasa? mtu ni mbunge unauliza je angekua sio mbunge,

angekua sio mbunge napo ungeuliza je angekua ni mbunge
 
Sijaelewa embu nielimishwe

Askofu Gwajima alianza kutilia shaka chanjo hii akiwa bungeni. Akiwa kanisani ameendelea kutia shaka. unajua tutofautishe kutia shaka na kupinga.

Sasa kwa sababu mahubiri take kama mbunge yameonyesha kudhalilisha bunge, je angekuwa RAIA wa kawaida hukumu yake ingekuwaje?

Uhuru wa kutoa maoni uko wapi?
Akili zako unazijua wewe mwenyewe sasa hapo umeuliza swali gani?
 
ndio unauliza swali gani ilo sasa? mtu ni mbunge unauliza je angekua sio mbunge,

angekua sio mbunge napo ungeuliza je angekua ni mbunge
Huyu jamaa akili zake sidhani kama zipo sawa
 
Back
Top Bottom