Askofu Gwajima alikataa kutumia kiti alichoandaliwa kukwepa mtego au ndio hofu tu ilimjaa?

Ni ujinga tu ulee bosi. Zipo njia nyingi sana za kutoa roho mwanadamu hasa ambaye hana ulinzi wa dola na anachangamana kwenye jamii. Thanks to God watanzania ni waungwana na hawana tabia hiyo kwa saaaana.

Gwajima yeye kila siku anajinadi ni mtumishi wa kweli na ana imani kiasi cha kutoiogopa hata Corona maana ni shetani....imekuaje tena aogope kiti na mic huku yeye anaroho mtakatifu anamlinda aka ulinzi wa kiroho.
Sio kweli, mangula siku za karibuni tu hapa alipewa sumu
 
Nimejaribu kujjifikirisha kuhusu hili la Askofu Gwajima kukwepa kutumia kiti alichoandaliwa na pia kukataa kutumia microphone katika kikao alichoitwa hapo mjini Dodoma kuhusiana na suala la chanjo ya Corona.

Kwa sababu Gwajima ni mtu wa rohoni [Jasusi la mbunguni]. Watu wa rohoni hawaongozwi na MWILI bali huongozwa na ROHO MTAKATIFU...
Je, kuna hisia gani zilimpata bwa Gwajima mpaka kufikia kufanya tofauti na alivyopangiwa ikiwemo kukataa kukalia kiti pia na kukataa kutumia kipaza sauti.

Je, alihisi amewekewa yale mambo yetu? au aliwekewa sumu ? au vipi?

Soma hapo juu 👆 👆👆👆. Wewe unafikiri na kisha kuandika kwa kutumia hisia za mwili contrary na mtu aongozwaye na Roho mtakatifu ambaye huyaona mambo ya hatari au mazuri kabla...
Hii imenikumbusha kitimoto kilee alichowekewa Marehemu Kolimba matokeo yake akayeyuka.

Kumbe jibu la kutumia fikra za kawaida tu unalo ndugu? Mbona sasa wauliza maswali yenye majibu tayari...?
Hii inanifikirisha kuwa hawa CCM hii mambo za kupotezana kwa style hii ndio njia wanayoitumia sana hawa CCM katika kuwamaliza wale wanaojaribu kuwatunishia kifua kama alivyofanya Kolimba kipindi hicho na wengineo wengi na sasa ni Gwajima nae amejaribu.

Ndivyo ilivyo..

Kama kuna watu hatari na wabaya wa namna hii, basi ni lazima Mungu awalinde WENYE HAKI wake...!!
Ila kwa sasa Gwajima amestuka mapema kwa kumbukizi zao za matukio ya nyuma kuwa ukiitwa kwenye kiti moto cha hawa wajuba wanakuwa na mengi ya kukufanyia ikiwemo hata kukudhuru.

Ni Mungu Yehova anayemtumkia ndiye amlindaye. SIFA, HESHIMA na UTUKUFU ni vyake yeye milele na milele. Amina
Ni hisia tu au inawezekana ni kweli? Je, Gwajima amekwepa mtego au ndio hofu tu ilimjaa?
Ni kweli tupu kwa sababu MUNGU YEHOVA ni KWELI na hawezi kudanganya...!!
 
Nimejaribu kujjifikirisha kuhusu hili la Askofu Gwajima kukwepa kutumia kiti alichoandaliwa na pia kukataa kutumia microphone katika kikao alichoitwa hapo mjini Dodoma kuhusiana na suala la chanjo ya Corona.

Je, kuna hisia gani zilimpata bwa Gwajima mpaka kufikia kufanya tofauti na alivyopangiwa ikiwemo kukataa kukalia kiti pia na kukataa kutumia kipaza sauti.

Je, alihisi amewekewa yale mambo yetu? au aliwekewa sumu? Au vipi?

Hii imenikumbusha kitimoto kilee alichowekewa Marehemu Kolimba matokeo yake akayeyuka. Hii inanifikirisha kuwa hawa CCM hii mambo za kupotezana kwa style hii ndio njia wanayoitumia sana hawa CCM katika kuwamaliza wale wanaojaribu kuwatunishia kifua kama alivyofanya Kolimba kipindi hicho na wengineo wengi na sasa ni Gwajima nae amejaribu.

Ila kwa sasa Gwajima amestuka mapema kwa kumbukizi zao za matukio ya nyuma kuwa ukiitwa kwenye kiti moto cha hawa wajuba wanakuwa na mengi ya kukufanyia ikiwemo hata kukudhuru.

Ni hisia tu au inawezekana ni kweli? Je, Gwajima amekwepa mtego au ndio hofu tu ilimjaa?

Gwajima ni mpenda kiki tangu aanzishe hicho kikoba chake anachokiita Kanisa.
 
Nimejaribu kujjifikirisha kuhusu hili la Askofu Gwajima kukwepa kutumia kiti alichoandaliwa na pia kukataa kutumia microphone katika kikao alichoitwa hapo mjini Dodoma kuhusiana na suala la chanjo ya Corona.

Je, kuna hisia gani zilimpata bwa Gwajima mpaka kufikia kufanya tofauti na alivyopangiwa ikiwemo kukataa kukalia kiti pia na kukataa kutumia kipaza sauti.

Je, alihisi amewekewa yale mambo yetu? au aliwekewa sumu? Au vipi?

Hii imenikumbusha kitimoto kilee alichowekewa Marehemu Kolimba matokeo yake akayeyuka. Hii inanifikirisha kuwa hawa CCM hii mambo za kupotezana kwa style hii ndio njia wanayoitumia sana hawa CCM katika kuwamaliza wale wanaojaribu kuwatunishia kifua kama alivyofanya Kolimba kipindi hicho na wengineo wengi na sasa ni Gwajima nae amejaribu.

Ila kwa sasa Gwajima amestuka mapema kwa kumbukizi zao za matukio ya nyuma kuwa ukiitwa kwenye kiti moto cha hawa wajuba wanakuwa na mengi ya kukufanyia ikiwemo hata kukudhuru.

Ni hisia tu au inawezekana ni kweli? Je, Gwajima amekwepa mtego au ndio hofu tu ilimjaa?



Morani katimba disko, shughuli ipo.

Hiiiiii bagosha!
 
Nimejaribu kujjifikirisha kuhusu hili la Askofu Gwajima kukwepa kutumia kiti alichoandaliwa na pia kukataa kutumia microphone katika kikao alichoitwa hapo mjini Dodoma kuhusiana na suala la chanjo ya Corona.....
chama cha mashetani aka ccm
 
sijui hapo chuki iko wapi....au tafsiri ya neno "chuki" mimi au wewe mmoja wetu halifahamu vizuri..

Binafsi nimezungumza kulingana na matendo na matukio ya Gwajima...siwezi kumchukia Gwajima kwa lolote chief ila tu sipendezwi na matendo yake mfano, alituahidi kumfufua Amina chifupa hakumfufu, anapotosha watu juu ya chanjo ilihali sio mtaalam wa Afya....nk ila Gwajima in personal sina chuki naye kama ambavyo sina chuki na mwanadamu yeyote yule duniani..
Asante mkuu, Nimependa ulivyochangia na naomba msamaha kwa kuuona mchango wako kama umejaa chuki kumbe ni mtazamo tu

Lkn! kwenye ishu ya Marehemu Amina Chifupa yeye Gwajima kuahidi angelimfufua, Je kulikuwepo ushirikiano kati yake, Serikari na ndugu za marehemu?

kwa sabb nachofahamu, ili kifanyike hicho, ni lazima pande hizo zikubali na zitoe ridhaa na wao kuchukua imani kuupeleka mwili wa marehemu sehemu husika ya tukio, Je kilifanyika hiko?
 
Ni wasiwasi wake tu kwa kutafuta umaarufu. Kama kweli ni mchungaji wa kweli Mungu anamlinda, basi nimegundua uchungaji wake ni fake.
 
IMG-20210824-WA0000.jpg
 
Jana nvwajima aliitwa na kamati ya bunge ya maadili,ajabu amekataa kutumia vilivyoandaliwa,kiti na mic kwa madai ya kulinda usalama wake.

Kwa kitendo kile ameudhihirishia umma wa watanzania na ulimwengu kwa ujumka kuwa ccm in wauwaji.
(Mwenye tafsiri nyingine alete)

Inatisha sana,mwanaccm kuogopa vilivyoandaliwa na viongozi wa chama chake!!

Baada ya kifo cha kolimba,kila anayeitwa kuhojiwa yeye mwenyewe na hata watanzania wanaojua fulani kaitwa na kamati ya bunge wanajaa woga.

Ccm mmevuliwa nguo na ngwajima,mmechtama?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom