Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,757
- 156,821
NampongezaImekaa kiigizo igizo maana unakataa kiti na mike halafu unawaomba hao hao uliowakatalia wakupe nyingine.
NampongezaImekaa kiigizo igizo maana unakataa kiti na mike halafu unawaomba hao hao uliowakatalia wakupe nyingine.
Aliona kikao cha malaika wakimuitaGwajima si jasusi limetumwa kutoka "mbinguni" atakuwa amepewa intelijensia na "malaika"
Sio kweli, mangula siku za karibuni tu hapa alipewa sumuNi ujinga tu ulee bosi. Zipo njia nyingi sana za kutoa roho mwanadamu hasa ambaye hana ulinzi wa dola na anachangamana kwenye jamii. Thanks to God watanzania ni waungwana na hawana tabia hiyo kwa saaaana.
Gwajima yeye kila siku anajinadi ni mtumishi wa kweli na ana imani kiasi cha kutoiogopa hata Corona maana ni shetani....imekuaje tena aogope kiti na mic huku yeye anaroho mtakatifu anamlinda aka ulinzi wa kiroho.
Nimejaribu kujjifikirisha kuhusu hili la Askofu Gwajima kukwepa kutumia kiti alichoandaliwa na pia kukataa kutumia microphone katika kikao alichoitwa hapo mjini Dodoma kuhusiana na suala la chanjo ya Corona.
Je, kuna hisia gani zilimpata bwa Gwajima mpaka kufikia kufanya tofauti na alivyopangiwa ikiwemo kukataa kukalia kiti pia na kukataa kutumia kipaza sauti.
Je, alihisi amewekewa yale mambo yetu? au aliwekewa sumu ? au vipi?
Hii imenikumbusha kitimoto kilee alichowekewa Marehemu Kolimba matokeo yake akayeyuka.
Hii inanifikirisha kuwa hawa CCM hii mambo za kupotezana kwa style hii ndio njia wanayoitumia sana hawa CCM katika kuwamaliza wale wanaojaribu kuwatunishia kifua kama alivyofanya Kolimba kipindi hicho na wengineo wengi na sasa ni Gwajima nae amejaribu.
Ila kwa sasa Gwajima amestuka mapema kwa kumbukizi zao za matukio ya nyuma kuwa ukiitwa kwenye kiti moto cha hawa wajuba wanakuwa na mengi ya kukufanyia ikiwemo hata kukudhuru.
Ni kweli tupu kwa sababu MUNGU YEHOVA ni KWELI na hawezi kudanganya...!!Ni hisia tu au inawezekana ni kweli? Je, Gwajima amekwepa mtego au ndio hofu tu ilimjaa?
Gwajima ni mpenda kiki tangu aanzishe hicho kikoba chake anachokiita Kanisa.Nimejaribu kujjifikirisha kuhusu hili la Askofu Gwajima kukwepa kutumia kiti alichoandaliwa na pia kukataa kutumia microphone katika kikao alichoitwa hapo mjini Dodoma kuhusiana na suala la chanjo ya Corona.
Je, kuna hisia gani zilimpata bwa Gwajima mpaka kufikia kufanya tofauti na alivyopangiwa ikiwemo kukataa kukalia kiti pia na kukataa kutumia kipaza sauti.
Je, alihisi amewekewa yale mambo yetu? au aliwekewa sumu? Au vipi?
Hii imenikumbusha kitimoto kilee alichowekewa Marehemu Kolimba matokeo yake akayeyuka. Hii inanifikirisha kuwa hawa CCM hii mambo za kupotezana kwa style hii ndio njia wanayoitumia sana hawa CCM katika kuwamaliza wale wanaojaribu kuwatunishia kifua kama alivyofanya Kolimba kipindi hicho na wengineo wengi na sasa ni Gwajima nae amejaribu.
Ila kwa sasa Gwajima amestuka mapema kwa kumbukizi zao za matukio ya nyuma kuwa ukiitwa kwenye kiti moto cha hawa wajuba wanakuwa na mengi ya kukufanyia ikiwemo hata kukudhuru.
Ni hisia tu au inawezekana ni kweli? Je, Gwajima amekwepa mtego au ndio hofu tu ilimjaa?
Nimejaribu kujjifikirisha kuhusu hili la Askofu Gwajima kukwepa kutumia kiti alichoandaliwa na pia kukataa kutumia microphone katika kikao alichoitwa hapo mjini Dodoma kuhusiana na suala la chanjo ya Corona.
Je, kuna hisia gani zilimpata bwa Gwajima mpaka kufikia kufanya tofauti na alivyopangiwa ikiwemo kukataa kukalia kiti pia na kukataa kutumia kipaza sauti.
Je, alihisi amewekewa yale mambo yetu? au aliwekewa sumu? Au vipi?
Hii imenikumbusha kitimoto kilee alichowekewa Marehemu Kolimba matokeo yake akayeyuka. Hii inanifikirisha kuwa hawa CCM hii mambo za kupotezana kwa style hii ndio njia wanayoitumia sana hawa CCM katika kuwamaliza wale wanaojaribu kuwatunishia kifua kama alivyofanya Kolimba kipindi hicho na wengineo wengi na sasa ni Gwajima nae amejaribu.
Ila kwa sasa Gwajima amestuka mapema kwa kumbukizi zao za matukio ya nyuma kuwa ukiitwa kwenye kiti moto cha hawa wajuba wanakuwa na mengi ya kukufanyia ikiwemo hata kukudhuru.
Ni hisia tu au inawezekana ni kweli? Je, Gwajima amekwepa mtego au ndio hofu tu ilimjaa?
Anaogopa kulolimbiwa...Kolimba
chama cha mashetani aka ccmNimejaribu kujjifikirisha kuhusu hili la Askofu Gwajima kukwepa kutumia kiti alichoandaliwa na pia kukataa kutumia microphone katika kikao alichoitwa hapo mjini Dodoma kuhusiana na suala la chanjo ya Corona.....
Kiwete yupi huyo!?Kiwete aliwahi kusema wanaCCM hawaachiani maji mezani
Asante mkuu, Nimependa ulivyochangia na naomba msamaha kwa kuuona mchango wako kama umejaa chuki kumbe ni mtazamo tusijui hapo chuki iko wapi....au tafsiri ya neno "chuki" mimi au wewe mmoja wetu halifahamu vizuri..
Binafsi nimezungumza kulingana na matendo na matukio ya Gwajima...siwezi kumchukia Gwajima kwa lolote chief ila tu sipendezwi na matendo yake mfano, alituahidi kumfufua Amina chifupa hakumfufu, anapotosha watu juu ya chanjo ilihali sio mtaalam wa Afya....nk ila Gwajima in personal sina chuki naye kama ambavyo sina chuki na mwanadamu yeyote yule duniani..
Unawezaje kutenganisha Bunge hili na CCM?! Gwaji anafanyiwa kushughurikiwa na kikundi cha CCM Bungeni kisha taarifa hiyo hiyo itaenda kutumika kushughurikia nae ndani ya vikao vya CCM.Bunge ni la wananchi siyo CCM!
Ni bunge la watanzania linalowakilishwa na wabunge wa CCM. Kwenye hiyo kamati kulikua na wabunge wengine tofauti na wabunge wa CCM?Bunge ni la wananchi siyo CCM!