Hakuna mwanadamu anayefufua watu bali Yesu Kristo ndiye afanyaye hayo kupitia wewe na mimi kama tukimkiri kuwa Bwana na Mwokozi wetu.sasa mtu anayesema anafufua watu anaachaje kuwa muongo..
Hakuna mwanadamu anayefufua watu bali Yesu Kristo ndiye afanyaye hayo kupitia wewe na mimi kama tukimkiri kuwa Bwana na Mwokozi wetu.sasa mtu anayesema anafufua watu anaachaje kuwa muongo..
kwahiyo kama ni MUONGO tufanye nini?
10000
Tena uongo wa mtu ambaye waumini wake wanaamini maneno yake halafu leo anakanusha huo ni uhuni ambao ni mbaya sana hakuna tofauti na ibilisi mwenyewe. Tena katika clip anasikika akisema Askofu Mkuu Pengo ni sawa na mtoto anayevaa pampas. Inashangaza leo anakana hayo, kama kiongozi wa dini ilifaa sana awe mkweli kwani ingekuwa ni ushuhuda na mfano bora kwake nabkwa kanisa lake.
Wewe nenda ukawe hakimu/jaji kama unadhani mahakama imedanganywa...
Yetu macho na masikio.kesi ambayo mlalamikaji ni jamhuri mara nyingi jamhuri huwa anapigwa chini
Ninyi waumini wake mjue kuwa huyo njemba ni Mropokaji tu,na hana Roho Mtakatifu bali Roho mtaka fujo.
Awe mkweli mbele ya nani. Sheria haiendi hivyo, lazima ukatae ili kesi iendelee upate muda wa kujieleza/ utetezi. Ukisema ndio kesi inaisha unapangiwa siku ya hukumu.
achana na imani za watu wewe fanya yako
Hakuna mwanadamu anayefufua watu bali Yesu Kristo ndiye afanyaye hayo kupitia wewe na mimi kama tukimkiri kuwa Bwana na Mwokozi wetu.
Jamhuri bila shahidi anayethibitisha athari za neno mtoto kwake?
Hivi mtoto ni tusi?
Hapa naona hata shetani anasingiziwa! Shetani ni cha mtoto!
Katika uchambuzi wa mageziti asubui ya leo nimesikia gazeti moja likiandika kwamba;
Askofu wa kanisa la ufufuo na uzima Gwajima amekanusha mashtaka aliyoshtakiwa kwayo na JMT kufuatia kumtukana Askofu mkuu wa jimbo kuu katoliki la Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo.
Uongo aliousema askofu Gwajima ni kukataa mbele ya hakimu kwamba hakumuita askofu Pengo mtoto, mpuuzi. Maneno ambayo yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani.
Kukataa kwake kusema ukweli inadhihirishia umma wa Tanzania kwamba Askofu Gwajima ni mtu muongo.
CHANZO: MWANANCHI
Awe mkweli mbele ya nani. Sheria haiendi hivyo, lazima ukatae ili kesi iendelee upate muda wa kujieleza/ utetezi. Ukisema ndio kesi inaisha unapangiwa siku ya hukumu.
Imani gani hiyo wewe?,ya kudanganya watu!!,halafu siwezi kunyamaza wakati uhuni unafanyika na kiongozi mkubwa namna ile huo utakuwa ni uzuzu.
Vizuri kumbe unakubali ni kiongozg mkubwa
Mtoa mada bila shaka hajui sheria ni bora mnavyomuelimisha,yeye amekana anajua ataibana wapi jamhuri.Angekua mtoa mada kila atakaloulizwa bila shaka angekubali
Wewe unajua sheria???,aliyekwambia Sheria ni kukataa kila unaloulizwa ni nani???,Kwanini tunatakiwa kuapa kwa kutumia Biblia au Quaran???.Nyambafu sana wewe.
Mtoa mada una wivu binafsi dhidi ya Askofu Gwajima,habari yako inaonyesha which side you are
huenda tafsiri ya neno mtoto na mpuuzi inamaanisha kitu kingine kwa gwajima na sio hakimu anavyofikiria, atakapoulizwa maana tutamsikia akitoa ufafanuz