johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Askofu Gamanywa amesema Tanzania imeletewa Rais Magufuli na Mungu ili aikomboe kutoka mikononi mwa mabeberu.
Gamanywa amesema baada ya kufanya utafiti huko Ulaya amegundua mabeberu wametuibia sana na Rais Magufuli ameletwa na Mungu kuja kutuokoa watanzania.
Gamanywa alikuwa katika majadiliano yaliyorushwa mubashara na Shalom tv yakimuhusisha pia mwanasiasa machachari aliyekuwa Chadema na sasa yuko CCM Dr David Kafulila aka tumbili.
Chanzo: Shalom tv
Maendeleo hayana vyama!
Gamanywa amesema baada ya kufanya utafiti huko Ulaya amegundua mabeberu wametuibia sana na Rais Magufuli ameletwa na Mungu kuja kutuokoa watanzania.
Gamanywa alikuwa katika majadiliano yaliyorushwa mubashara na Shalom tv yakimuhusisha pia mwanasiasa machachari aliyekuwa Chadema na sasa yuko CCM Dr David Kafulila aka tumbili.
Chanzo: Shalom tv
Maendeleo hayana vyama!