Mgodo Mgodoki
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,399
- 1,365
Anasubiri ufike kitovuni chato akamfufue akiwa nyumbani kabisa alipozaliwa.mwili ushafika hapa dodoma,aje amfufue hapa makao makuu!
Anasubiri ufike kitovuni chato akamfufue akiwa nyumbani kabisa alipozaliwa.mwili ushafika hapa dodoma,aje amfufue hapa makao makuu!
Hili lijamaa lilikuwa likikejeli maaskofy walipotoa tahadhari kuhusu Corona na kusema wamekosa Imani, anajifanya mcha mungu, amepata alichostahiliJohn Pombe Magufuli Mwenyewe alishafanya mazungumzo na Mungu wake kwa imani yake. Mwacheni apumzike kwa amani kwa Mungu wake aliyemtumikia
Maneno yake ya mwisho yanajieleza
View attachment 1731036
HAUWEZI SHINDANA na BINADAMU MWENYE KINYWA/ PINDI AKIJITOA UFAHAMU.. ASIWE na NIDHAMU na HESHIMA/Askofu Gamanywa amesema watu wasitegemee mama Samia kufanana na hayati Magufuli kwa sababu Mungu amemuumba kila mtu na kipawa chake.
Rais Samia atatimiza majukumu yake vizuri sana kulingana na kipaji alichobarikiwa na Mungu, amesema.
Askofu Gamanywa amesema wao walimuombea hayati Magufuli hivyo ana uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba.
Source Shallom tv
Utahamia makaburini tu maana korona ushaivaaTukimaliza hapa tunahamia kwako inshallah, sisi hatuna ubaya na mtu
Alimuombea wakati anaumwa au wakati ameshatangazwa kufariki? Hapa nataka nijue msimamo wa walokole kuhusu kumuombea marehemu, maana huwa wanatuponda Wakatoliki halafu wao wanatekeleza hicho hichoAskofu Gamanywa amesema wao walimuombea hayati Magufuli hivyo ana uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba.
Mama D credible source ya hili ni ipiJohn Pombe Magufuli Mwenyewe alishafanya mazungumzo na Mungu wake kwa imani yake. Mwacheni apumzike kwa amani kwa Mungu wake aliyemtumikia
Maneno yake ya mwisho yanajieleza
View attachment 1731036
Kifo ni stahiki ya kila kiumbe. Jiulize wewe unaipata lini????Hili lijamaa lilikuwa likikejeli maaskofy walipotoa tahadhari kuhusu Corona na kusema wamekosa Imani, anajifanya mcha mungu, amepata alichostahili
Kaburi lako litakua wapi nianzie hapo?Utahamia makaburini tu maana korona ushaivaa
Indeed.Alijaaliwa Kifo chema
Tunaoumia ni sisi tunaompenda
Gamanywa ni opportunist, PeriodAskofu Gamanywa amesema watu wasitegemee mama Samia kufanana na hayati Magufuli kwa sababu Mungu amemuumba kila mtu na kipawa chake.
Rais Samia atatimiza majukumu yake vizuri sana kulingana na kipaji alichobarikiwa na Mungu, amesema.
Askofu Gamanywa amesema wao walimuombea hayati Magufuli hivyo ana uhakika amepokelewa mbinguni kwa Baba.
Source Shallom tv
Jiandae tu na hilo zigoKaburi lako litakua wapi nianzie hapo?
We si unafufuaga wafu wewe sasa?
Hivi huyu si Kanisa lake ni la ufufuo na uzima??? Anasubiri nini mpaka saa hii???
mwili ushafika hapa dodoma,aje amfufue hapa makao makuu!
kanisa la ufufuo na uzima imekuwaje limeshindwa kufanya miracle wa ufufuo?
The same to GwajimaGamanywa ni opportunist, Period
Wangemuombeaje wakati tuliambiwa sio mgonjwaHuyo askofu haileweki hapo.
Ni kama mnafiki fulani hivi anayetafuta umaarufu.
Hivi mbinguni watu wanakwenda kwa kuombewa na maaskofu?
Sasa walimuombea akiwa hai au akiwa amekufa?
Kwanini hawakumuombea wakati akiumwa ili apone na kuendelea kuwatumia watanzania?
He is a motherchuckerJamaa ana drama nyingi mpaka kuna muda najiulizaga hivi huyu kibopa ni akofu au ni ask-off?
Kila mtu atakufa. Mimi najua muda ukifika umefika... Hata wewe Mmawia utakufa jipange na mizigo yako ya roho na nafsiJiandae tu na hilo zigo
Ndio ni stahiki ya kila kiumbe ila kifo chake kisichotarajiwa kimetokana na ukaidi wake zaidiKifo ni stahiki ya kila kiumbe. Jiulize wewe unaipata lini????
Tena yeye ameugua wewe unaweza kuta usiku wa leo ndio pumzi yako ya mwisho. Mungu hapangiwi wala hatoi notice
Ndio ni stahiki ya kila kiumbe ila kifo chake kisichotarajiwa kimetokana na ukaidi wake zaidi
Hivi huyu askofu anaelewa maandiko? Mtu anaenda mbinguni kwa kuombewa kweli? Yeye ni nani hadi amuondolee mtu dhambi zake na kuingia mbinguni. Ni huyu Gamanywa ninaye mfahamu kweli, ameanguka wapi huyu mtumishi?Hao ni waganga njaa tu na waongo wakubwa tu