Askofu Gamanywa amuomba Waziri Simbachawene serikali iunde Tume ya Maadili ya Viongozi wa Dini na mwenyekiti ateuliwe na Rais!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,616
141,447
Askofu Gamanywa amemuomba waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene aishauri serikali iunde chombo cha kusimamia maadili ya viongozi wa dini kama ilivyo Tume ya Maadili ya Watumishi wa Umma.

Gwajima ameomba chombo hicho kiitwe Tume ya Maadili ya viongozi wa dini na mwenyekiti wake awe anateuliwa na Rais wa JMT.

Waziri Simbachawene ni mgeni rasmi katika kongamano la Wapentecoste.

Source: Wapo Radio/ Shallom tv
 
Acjal na mwenyekiti atakuwa yy bwashee
Askofu Gamanywa amemuomba waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene aishauri serikali iunde chombo cha kusimamia maadili ya viongozi wa dini kama ilivyo Tume ya Maadili ya Watumishi wa Umma.

Gwajima ameomba chombo hicho kiitwe Tume ya Maadili ya viongozi wa dini na mwenyekiti wake awe anateuliwa na Rais wa JMT.

Source: Wapo Radio/ Shallom tv
 
Wivu mtupu
Anaona gere jinsi Kuhani Musa Mwacha anvyopiga pesa ndefu kuliko yeye aliyeanza miongo mitano nyuma
 
Askofu Gamanywa amemuomba waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene aishauri serikali iunde chombo cha kusimamia maadili ya viongozi wa dini kama ilivyo Tume ya Maadili ya Watumishi wa Umma.

Gwajima ameomba chombo hicho kiitwe Tume ya Maadili ya viongozi wa dini na mwenyekiti wake awe anateuliwa na Rais wa JMT.

Waziri Simbachawene ni mgeni rasmi katika kongamano la Wapentecoste.

Source: Wapo Radio/ Shallom tv
Nyoooooo
 
Askofu Gamanywa amemuomba waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene aishauri serikali iunde chombo cha kusimamia maadili ya viongozi wa dini kama ilivyo Tume ya Maadili ya Watumishi wa Umma.

Gwajima ameomba chombo hicho kiitwe Tume ya Maadili ya viongozi wa dini na mwenyekiti wake awe anateuliwa na Rais wa JMT.

Waziri Simbachawene ni mgeni rasmi katika kongamano la Wapentecoste.

Source: Wapo Radio/ Shallom tv
Serikali inashindwa kusimamia mashirika yake na bila kujali manufaa yake kwa wananchi wanaamua kuyaua kwa makusudi bila sababu yoyte ya msingi.

Mfano waziri wa fedha Mwingulu anatangaza kufilisi shirikalaa PRIDE africa ambalo bado ni tishio kwenye soko na wamama wengi wa chini wanahangaika na wanaendelea kulingojea, pamoja na kuwa nje ya ulingo kwa miaka kadhaa.

Badala ya kufanya taratibu za kitaalmu wanaamua kwa mihemuko na kujihani eti linamadeni mengi. Wamezembea wenyewe na sasa wanataka kudhurumu haki za hao kina mama maskini.
Bila aibu kwamb amwaka huu mwezi wa tatu mapka wa tano wizara ya fedha imekwiba kwa kughushi mabilioni ya fedha kama alivyotangaza waziri mkuu. Baada ya hapo kimya!. Wanaua PRIDE, kwa ujasiri bila hata lepe la huruma. Hawa ni watu wa kuwaongezea majukumu mengine zaidi?

Yako wapi majukumu ya tume y amaadili ya umma ikiwa ufisadi mkubw kama wizara ya fedha uanfanyika hadharani na unapotezewa bila hata aibu? Fedha zinaozibiwa kwa kughushiwa na malipo ya hovyo hapo wizara ya fedha zisingetumika kulilpa hawa wanawake wajasiriamali na kuliinua tena hili shirika? Uwajibikaji wa watumishi waumma uko wapi?

Serikali inashindwa kuyafanya, majukumu yake kwa sasa. Hata kuwajibisha hao wahalifu wa nidhamu hakupo. Watu wanapata stress na wengine wakuwa katika hali tete. Wakipigwa huko, hukimbilia kwa Mungu ili wakapate tiba, halatu leo tena unataka wakikimbilia kwenye Imani nako waikute serikali ya ccm ile ilie isiyowajali!.

Mnataka kusababisha watanzania wengi wapoteze maisha. Waache watu waabudu na kuomba Mungu wao kwa uhuru kwa imani zao na kwa kuwa ndiyo sehemu pekee inayowasaidia waendelee kuishi. Ukiwafungamanisha na serikali tena hata katika uwanja wa roho, sehemu pekee wanayokimbilia,, utaongeza death rate.

Serikali haiwezi kusimamia masuala ya kiroho na imani wa watu kwa kuwa inahitaji kusimamiwa. Ubadhirifu kama wa wizara ya fedha ni mkubwa, Kukosa ubinadamu kama nia ya mwigulu ya kuua shirika la PRIDE kibabe bila kujali Watanzania wanyonge na maskini wenye madai yao na wanaohitaji huduma za shirka hilo, ni kukosa utu na usaliti kwa wananchi. Katika hali kama hizi tena ukute kuna watu hao wao eti wanaongoza mambo ya kiroho, hii ni tauni kwa taifa. Acheni
 
Wivu mtupu
Anaona gere jinsi Kuhani Musa Mwacha anvyopiga pesa ndefu kuliko yeye aliyeanza miongo mitano nyuma
Nadhani hujafamu vizuri uwezo alionao Mch. Gamanywa kwa uhalisia hata Kakobe aliyekutwa na bil 6 bank hampati. Huyo analingana na hadhi ya Mwingira wa efatha.

Ana pesa ya kutosha tuu. Ana uwezo wa kununua kiwanja mil 400. Yuko vizuri mpakwa mafuta wa bwana. Nadhani hata gwajima hampati kwa pesa huyo mtumishi.
 
Amesema viongozi wa dini wanakengeuka sana kimaadili.
Maadili ni nini? Neno maadili linatumiwa ki-manupulation sana kuendena na lengo la anayelitafsiri. Kwa mfano wanayoona ni maadili ya kawaida waumini wa Gwajima (ya kiongozi wao kuzini), ni maadili mabaya kwa makanisa mengine. Wa kupima maadili ya viongozi wa dini ni waumini wenyewe, japo kuna baadhi ya makanisa/misikiti waumini wake ni kama nyumbu.
 
Back
Top Bottom