johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Askofu Gamanywa amemuomba waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene aishauri serikali iunde chombo cha kusimamia maadili ya viongozi wa dini kama ilivyo Tume ya Maadili ya Watumishi wa Umma.
Gwajima ameomba chombo hicho kiitwe Tume ya Maadili ya viongozi wa dini na mwenyekiti wake awe anateuliwa na Rais wa JMT.
Waziri Simbachawene ni mgeni rasmi katika kongamano la Wapentecoste.
Source: Wapo Radio/ Shallom tv
Gwajima ameomba chombo hicho kiitwe Tume ya Maadili ya viongozi wa dini na mwenyekiti wake awe anateuliwa na Rais wa JMT.
Waziri Simbachawene ni mgeni rasmi katika kongamano la Wapentecoste.
Source: Wapo Radio/ Shallom tv