Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,570
- 25,627
Daah kazi kweli kweli...
Aagize waumini wake (kama anao), waingie barabarani.Maaskofu uchwara kama hawa wasiachwe tu kusambaza uongo na uzushi
Lutheri.Dhehebu gani
Ewe Kilaza lini utaacha upumbavu? Uzuri wa sheria ni kuwa kila sheria inafahamika kwa namba yake katika mwaka ilipotungwa. Unazungumzia sheria zipi? Kudai katiba mpya ya watu au kudai tume huru ya uchaguzi ni kutokufuata sheria?Sheria zitakusaidia ikiwa ulizifuata
Polisi wamethibitisha kumkamata Asko Mwamakula una lipi la kusema wewe mwimba pambio?Labda walimwambia aandike Kwanza msg ndo wamkamate! hii nayo ipo kwenye comedy, mbna wengine huwa hawapewi huo muda
...ikiwa kudai katiba mpya ni kosa la jinai basi sasa wakawakamate wanaosherehesha Rais aongezwe mda wa kukaa madarakani kinyume cha katiba na Shelia zetu....
Akimaliza tu kusali anaota mshipa yeye mwenyewe chezea wazee wa ziwani weyeKwa sheikh watachemka maana yule selo Kwake ni kama nyumbani. Pole baba askofu piga mistari ya ufunuo aote busha yule jamaa wa chato.
Amefanya nini?Hapo anatafutwa Shekh Ponda
umeandika kwa kiwango cha chini sana !Aagize waumini wake (kama anao), waingie barabarani.
Sasa mtu kama Peter Msigwa uchungaji alipewa na nani?Eti "Anayejiita Askofu" , Mambosasa kiburi cha uzima na madaraka kitakupeleka pabaya sana
Huyu apitishwe kugombea urais chadema, anafaa kuliko yule lafa aliyesepa baada ya maandamano yake kufulia.heee yamekuwa hayo tena !!!! wanaogopa mtembezi yako ya kudai KATIBA askofu....
Hivi kosa lake hadi akamatwe ni kudai katiba mpya au kuitisha maandamano yasiyo na kibali? Mimi naona ni vyote viwili.Ukitaka katiba mpya unakamatwa! Nchi hii hii bana!