Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,940
“Viongozi wengi tulio nao serikalini ni matokeo ya kushindwa,wengine walishindwa shule za msingi ,wengine walifukuzwa huko na ndio hawa wanaosema watoto wetu wakipata mimba basi shule basi, Tumuombe Mungu alete hekima kwa viongozi wetu”-Dr Bagonza
“Hawa viongozi kila kosa walilolifanya mimba tungekuwa na watoto wangapi? Sasa hawa viongozi wanaofanya makosa ndio hao wanaosema watoto wakipata mimba ndio maisha yamekwisha.Tumuombe Mungu alete hekima kwa viongozi hawa” -Askofu Dr. Bagonza
#ArudiShule
“Hawa viongozi kila kosa walilolifanya mimba tungekuwa na watoto wangapi? Sasa hawa viongozi wanaofanya makosa ndio hao wanaosema watoto wakipata mimba ndio maisha yamekwisha.Tumuombe Mungu alete hekima kwa viongozi hawa” -Askofu Dr. Bagonza
#ArudiShule