Askofu Dk Shoo: Naipongeza hatua ya kufufua njia ya reli ya Dar es Salaam hadi Moshi mkoani Kilimanjaro

Penye kustahili pongezi tupongeze, lakini haya mazuri yote yanafutwa na utekaji ulioshamiri. Laiti huyu jamaa angefuata sheria za nchi kidogo tu he would have left the legacy of being the best president.
Kama waliomtangulia walivyofuata sheria na kutuachia legacy za - reli kung'olewa na kuuzwa kama vyuma chakavu?, Twiga kupakiwa kwenye ndege pale KIA, Kenya, india na South Afrika wakawa ndo kujulikana kwenye uuzaji wa Tanzanite kuliko inakotoka Tanzania.
Kweli huyu jamaa aanze kufuata sheria.
Tulikuwa vizuri saana tupoongozwa na wafuata sheria.
 
Yes, vitu lazima vitangulie kabla ya watu. Hata Mwenyezi Mungu alianza kwanza kuumba vitu kabla ya binadamu kama tunavyoelezwa kwenye Biblia. Hii haikuwa na maana kuwa vitu vilikuwa muhimu zaidi ya binadamu.

Tafsiri kwa muktadha wa kila jambo, haya wajengee watoto wako ghorofa la kulala halafu usiwapeleke shule, utaonekana mpumbavu mbele ya majirani na marafiki.
 
Tafsiri kwa muktadha wa kila jambo, haya wajengee watoto wako ghorofa la kulala halafu usiwapeleke shule, utaonekana mpumbavu mbele ya majirani na marafiki.
Kwa tafsiri ya muktadha wako unataka kusema serikali imefufua reli kati ya Dar na Moshi halafu ikakataza wananchi kusafiri na usafiri wa reli hiyo!
 
Kama waliomtangulia walivyofuata sheria na kutuachia legacy za - reli kung'olewa na kuuzwa kama vyuma chakavu?, Twiga kupakiwa kwenye ndege pale KIA, Kenya, india na South Afrika wakawa ndo kujulikana kwenye uuzaji wa Tanzanite kuliko inakotoka Tanzania.
Kweli huyu jamaa aanze kufuata sheria.
Tulikuwa vizuri saana tupoongozwa na wafuata sheria.

Your argument is not logically valid. Kwa hiyo sasa hivi kufuata sheria ni kikwazo? Watangulizi hawakukwama kwa sababu ya kufuata sheria inawezekana walikwama kwa kutotekeleza sheria. Kama reli imeg'olewa je alishindwa nini kumtafiuta aliyeng'oa? je sheria iliyokuwepo ilikuwa inamfavour mwizi? jibu ni hapana. Kwa hiyo argument ya kusema kufuata sheria ni kikwazo it is simply null and void
 
Yaan hii imekua habar kubwa kwenu kwamba wote tumewapata na wamejiunga na praise team but mlivyoyaajabu mkiparuliwa kidogo tu mnashika mtutu wa bunduki,hii ni abnormality kwenu.KKKT yakubali kishindo cha JPM "huu ni uhariri wa sintofaham kwamba hapo mwanzo kkkt walikua hawamkubali wakati kila mnalofanya Ask Malasusa yupo.Hoja hapa ni misimamo thabiti ya askofu Shoo hvy baada ya pongez mmeona habar kubwa so far,maovu ya serkali ya jpm hayawez kuhqlqlishwa na mazuri,Lait JPM angekubali kutibiwA ugonjwa wa kiburi na kutojishusha angekua kiongozi mzuri.
Kiburi chake ndo kinamfanya ayafanye haya maajabu.
Tulishaongozwa na wanyenyekevu tukapigwa na maESCROW, Twiga wetu wakapakiwa kwenye ndege pale KIA, Reli zikang'olewa na kuuzwa kama vyuma chakavu.
UNYENYEKEVU kwenye mambo SERIOUS ya maendeleo ya NCHI watanzania HATUUHITAJI.
Mwacheni JPM na KIBURI chake.
Wanyenyekevu wametuingiza shimoni vya KUTOSHA.
 
Kwangu mie sina,ndege za kumwaga kia,barabara mkeka,ukuta mirerani umeongeza thamani ya Tanzanite,
Ninashukuru kama huna la kupinga kwa sababu ni bora mtu anayekosoa kuliko yule anayepinga!

Kumbuka wakosoaji hujenga lakini wapingaji hubomoa!
 
Punguza mahaba yaliyopitiliza, matukio ya utekwaji yameongezeka sana kwa wakati huu, haiwezekani ndani ya siku 4 watu wawili waripotiwe kutekwa, halafu wewe una simplify eti lazima huo utekwaji uripotiwe maeneo mengi ya nchi ndio tuanze kupiga kelele!, kwasababu hauna ndugu au rafiki alietekwa sio? una kiwango kikubwa sana cha ubinafsi, fikiria na wenzio wacha kutetea kwa kila jambo wanaokulisha ugali hata kama wanaokosea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi mwananchi akikamatwa inakuwa ametekwa!

Kina nani hao waliotekwa ndani ya siku 4?
 
N mim nishasema siwez kumpongeza huyu atavimba kichwa sana kuna nin kipya amefanya wenzake wasingeweza. Akisifiwa kidogo tu inakua habar ya kimataifa, akikemewa/akikosolewa kidogo anachukua jeshi, bunduki na usalama kudhibiti huyu ni mshamba kiwango cha lami.

Barabara alizojenga mwenzake anataka asifiwe yeye, madaraja na airport alzojenga mwenzake yeye ndo anataka asifiwe.

Ana maovu mengi kuliko mazur sema akifanya jambo dogo anataka dunia nzima ijue kua kafanya. Maovu yake angekua anayatangaza cjui ingekuaje. Amejaa kiburi na dharau kwa raia waliompa dhamana, haambiliki hashaurik anataka tu kusikia sifa huyu ni mfalme Juha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiburi chake ndo kinamfanya ayafanye haya maajabu.
Tulishaongozwa na wanyenyekevu tukapigwa na maESCROW, Twiga wetu wakapakiwa kwenye ndege pale KIA, Reli zikang'olewa na kuuzwa kama vyuma chakavu.
UNYENYEKEVU kwenye mambo SERIOUS ya maendeleo ya NCHI watanzania HATUUHITAJI.
Mwacheni JPM na KIBURI chake.
Wanyenyekevu wametuingiza shimoni vya KUTOSHA.
Uzombie mtupu huelew hata mantiki ya hoja yangu unakurupuka tu km ilivyosifa ya vuvuzera
 
Your argument is not logically valid. Kwa hiyo sasa hivi kufuata sheria ni kikwazo? Watangulizi hawakukwama kwa sababu ya kufuata sheria inawezekana walikwama kwa kutotekeleza sheria. Kama reli imeg'olewa je alishindwa nini kumtafiuta aliyeng'oa? je sheria iliyokuwepo ilikuwa inamfavour mwizi? jibu ni hapana. Kwa hiyo argument ya kusema kufuata sheria ni kikwazo it is simply null and void
Kuna mikwamo mingi saaana katika kudeal na MAFISADI kwa sababu ya sheria na haki za binadamu.
Africa inaibiwa saaana na hakuna hatua zinachukuliwa kwa sababu wezi walijifunza kuiba kwa kutumia sheria.
Walituibia kwenye RICHMOND /DOWANS na kwenye kesi wakatushinda. Walituibia kwenye RADA lakini kwa sababu waliiba kwa kufuata sheria hakuna aliye gerezani. EPA watu walipiga hela lakini zilipigwa kisheria tukienda mahakamani tutashindwa vibaya sana ndo maana RAIS MNYENYEKEVU JK ikabidi awapigie magoti watuonee huruma WAZIRUDISHE kwa HIARI yao. vinginevyo tungewapeleka mahakamani wangetushinda na tungewalipa fidia kama tulivyowalipa RICHMOND/DOWANS.
Matatizo mengi ya Africa hayawezekaniki kutatuliwa kwa sababu wezi wenyewe watakwambia TWENDE MAHAKAMANI!
 
N mim nishasema siwez kumpongeza huyu atavimba kichwa sana kuna nin kipya amefanya wenzake wasingeweza. Akisifiwa kidogo tu inakua habar ya kimataifa, akikemewa/akikosolewa kidogo anachukua jeshi, bunduki na usalama kudhibiti huyu ni mshamba kiwango cha lami.

Barabara alizojenga mwenzake anataka asifiwe yeye, madaraja na airport alzojenga mwenzake yeye ndo anataka asifiwe.

Ana maovu mengi kuliko mazur sema akifanya jambo dogo anataka dunia nzima ijue kua kafanya. Maovu yake angekua anayatangaza cjui ingekuaje. Amejaa kiburi na dharau kwa raia waliompa dhamana, haambiliki hashaurik anataka tu kusikia sifa huyu ni mfalme Juha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu;
Kwani kuna mtu amekulazimisha umpongeze? Ninasoma andiko lako lenye ''mapovu'' mengi kama vile kuna mtu amekulazimisha kutoa pongezi!

Waache wenye kupongeza watoe pongezi na wewe endelea tu kuzisoma au kuzisikiliza pongezi zao kwa sababu huna uwezo wa kuepuka kuzisikia au kuzisoma pongezi zao!
 
Punguza mahaba yaliyopitiliza, matukio ya utekwaji yameongezeka sana kwa wakati huu, haiwezekani ndani ya siku 4 watu wawili waripotiwe kutekwa, halafu wewe una simplify eti lazima huo utekwaji uripotiwe maeneo mengi ya nchi ndio tuanze kupiga kelele!, kwasababu hauna ndugu au rafiki alietekwa sio? una kiwango kikubwa sana cha ubinafsi, fikiria na wenzio wacha kutetea kwa kila jambo wanaokulisha ugali hata kama wanaokosea.

Sent using Jamii Forums mobile app
alipata elimu ya kuondoa ujinga bila ya kuongeza maarifa.(Bagonza)
 
Back
Top Bottom