Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,735
- 6,284
"Tangu uingie madarakani, tumeshuhudia serikali yako ikichukua hatua dhidi ya viongozi mbalimbali wenye tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka." Askofu Alinikisye Cheyo.
My Take:
Ukiondoa Kakoko na Sabaya who is the other?
Kasome ripoti ya CAG halafu mngemuuliza mama vipi kuhusu kina Kigwangala na Clouds media na wengineo kibao mpaka wale wa kwenye ripoti ya BOT.
Vip kuhusu matumizi ya nguvu toka kwa vyombo vya Dola yaliyoshuhudiwa katika awamu ya 5. Hamuoni kuwa Sabaya amekuwa kama Mbuzi wa kafara. Kwani tukio la Bashite kuvamia Clouds lilikuwa ni Siri?
Oparesheni Kibiti nayo imekuwa siri mpaka leo? Nani alimuua Akwilina?
Inshort uliowataja ni kama 1% ya wanaopaswa kushughulikiwa. Tunajua gia zilizotumika ni kwa ajili ya ku-gain popularity. Ni kwamaba ninyi hamjui?
Tafadhalini watumishi, tunawapenda na kuwaheshimu sana, katika hili hapana tusipende kutoa cheap cedits for cheap popularity, propagandaz na Spins nyepesi hivi.
My Take:
Ukiondoa Kakoko na Sabaya who is the other?
Kasome ripoti ya CAG halafu mngemuuliza mama vipi kuhusu kina Kigwangala na Clouds media na wengineo kibao mpaka wale wa kwenye ripoti ya BOT.
Vip kuhusu matumizi ya nguvu toka kwa vyombo vya Dola yaliyoshuhudiwa katika awamu ya 5. Hamuoni kuwa Sabaya amekuwa kama Mbuzi wa kafara. Kwani tukio la Bashite kuvamia Clouds lilikuwa ni Siri?
Oparesheni Kibiti nayo imekuwa siri mpaka leo? Nani alimuua Akwilina?
Inshort uliowataja ni kama 1% ya wanaopaswa kushughulikiwa. Tunajua gia zilizotumika ni kwa ajili ya ku-gain popularity. Ni kwamaba ninyi hamjui?
Tafadhalini watumishi, tunawapenda na kuwaheshimu sana, katika hili hapana tusipende kutoa cheap cedits for cheap popularity, propagandaz na Spins nyepesi hivi.