Askofu Benson Bagonza (PhD): Mungu ainue nabii ili kurekebisha hili siyo Nabii ajiinue ili mfalme na makuhani wasimame katika zamu zao

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
"Tangu Agano la Kale, Wafalme na Makuhani walipokutana, ilikuwa faragha. Mfalme alibeba siri nyingi kuhusu taifa. Makuhani kwa asili ni mawakili wa siri za Mungu, na pia hutunza moyoni siri za wafalme.

Hata leo, wakutanapo hawa kwa mashauriano, si busara kufanya "mubashara". Malumbano yanayoendelea ni matokeo ya "mubashara".

Mfalme akutane na Makuhani faragha ili washauriane, waonyane, na kutiana moyo. Mungu ainue nabii ili kurekebisha hili.

Narudia tena, Mungu ainue nabii (siyo nabii ajiinue) ili mfalme na makuhani wasimame katika zamu zao."

Bishop Benson Bagonza (PhD)

askofu.jpg
 
"Tangu Agano la Kale, Wafalme na Makuhani walipokutana, ilikuwa faragha. Mfalme alibeba siri nyingi kuhusu taifa. Makuhani kwa asili ni mawakili wa siri za Mungu, na pia hutunza moyoni siri za wafalme. Hata leo, wakutanapo hawa kwa mashauriano, si busara kufanya "mubashara". Malumbano yanayoendelea ni matokeo ya "mubashara". Mfalme akutane na Makuhani faragha ili washauriane, waonyane, na kutiana moyo. Mungu ainue nabii ili kurekebisha hili. Narudia tena, Mungu ainue nabii (siyo nabii ajiinue) ili mfalme na makuhani wasimame katika zamu zao."

Bishop Benson Bagonza (PhD)

View attachment 1007135
Huu ni ufunuo kutoka kwa Mungu, na hii ni juhudi binafsi za kuwa Katibu na Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Tangu Agano la Kale, Wafalme na Makuhani walipokutana, ilikuwa faragha. Mfalme alibeba siri nyingi kuhusu taifa. Makuhani kwa asili ni mawakili wa siri za Mungu, na pia hutunza moyoni siri za wafalme. Hata leo, wakutanapo hawa kwa mashauriano, si busara kufanya "mubashara". Malumbano yanayoendelea ni matokeo ya "mubashara". Mfalme akutane na Makuhani faragha ili washauriane, waonyane, na kutiana moyo. Mungu ainue nabii ili kurekebisha hili. Narudia tena, Mungu ainue nabii (siyo nabii ajiinue) ili mfalme na makuhani wasimame katika zamu zao."

Bishop Benson Bagonza (PhD)

View attachment 1007135
Exactly na ndivyo ilivyokuwa kweli enzi na enzi...

Lakini kwa mtindo huu kinachofanyika ni "show off", si kingine

Inasikitisha kuwa wachungaji na maaskofu wetu, viongozi wetu wa kiroho wamerubunika kirahisi na kuingia ktk mtego huu wa Ibilisi...

Tusiwalaumu, tuwaombee warudi ktk njia kuu ili nasi tusije ingia kwenye mtego wa dhambi hii!!
 
Exactly na ndivyo ilivyokuwa kweli enzi na enzi...

Lakini kwa mtindo huu kinachofanyika ni "show off", si kingine

Inasikitisha kuwa wachungaji na maaskofu wetu, viongozi wetu wa kiroho wamerubunika kirahisi na kuingia ktk mtego huu wa Ibilisi...

Tusiwalaumu, tuwaombee warudi ktk njia kuu ili nasi tusije ingia kwenye mtego wa dhambi hii!!
Ndoano Imenasa Bila Chambo
Ikulu Iliwazunguuka Haraka Sana
 
Exactly na ndivyo ilivyokuwa kweli enzi na enzi...

Lakini kwa mtindo huu kinachofanyika ni "show off", si kingine

Inasikitisha kuwa wachungaji na maaskofu wetu, viongozi wetu wa kiroho wamerubunika kirahisi na kuingia ktk mtego huu wa Ibilisi...

Tusiwalaumu, tuwaombee warudi ktk njia kuu ili nasi tusije ingia kwenye mtego wa dhambi hii!!
Lakini mi naona ni wengi sana kuwaombea. Hatutaweza. Tutamkasirisha Mungu wakati yeye anawasubiria kwenye kona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi wa dini anayejitambua na mapenzi ya kweli na nchi yetu, huwezi kulinganisha na wale matapeli bendera fuata upepo akina kakobe na wenzie.

"Tangu Agano la Kale, Wafalme na Makuhani walipokutana, ilikuwa faragha. Mfalme alibeba siri nyingi kuhusu taifa. Makuhani kwa asili ni mawakili wa siri za Mungu, na pia hutunza moyoni siri za wafalme. Hata leo, wakutanapo hawa kwa mashauriano, si busara kufanya "mubashara". Malumbano yanayoendelea ni matokeo ya "mubashara". Mfalme akutane na Makuhani faragha ili washauriane, waonyane, na kutiana moyo. Mungu ainue nabii ili kurekebisha hili. Narudia tena, Mungu ainue nabii (siyo nabii ajiinue) ili mfalme na makuhani wasimame katika zamu zao."

Bishop Benson Bagonza (PhD)

View attachment 1007135
 
"Tangu Agano la Kale, Wafalme na Makuhani walipokutana, ilikuwa faragha. Mfalme alibeba siri nyingi kuhusu taifa. Makuhani kwa asili ni mawakili wa siri za Mungu, na pia hutunza moyoni siri za wafalme. Hata leo, wakutanapo hawa kwa mashauriano, si busara kufanya "mubashara". Malumbano yanayoendelea ni matokeo ya "mubashara". Mfalme akutane na Makuhani faragha ili washauriane, waonyane, na kutiana moyo. Mungu ainue nabii ili kurekebisha hili. Narudia tena, Mungu ainue nabii (siyo nabii ajiinue) ili mfalme na makuhani wasimame katika zamu zao."

Bishop Benson Bagonza (PhD)

View attachment 1007135
Mwanahabari Huru najifunza kucomments, sijaelewa kabisa unamaana gani kupoti hii habari? Au ndiyo JF yenyewe?
 
Back
Top Bottom