Kwahiyo gereza ni korodaniexpand...
Hahahaaaaa........ Hawa wachungaji wetu bhana!jamaa kaongea ki-PhD zaidi..... so wauza tisheti za njano na kijani pale barabarani mtaa wa Lumumba hawawezi kuelewa chochote!
Ubarikiwe sana Baba Askofu Bagonza. Wewe ni dokta (PhD) wa ukweli... hakuna wa kufanana nawe kwenye tasnia yote ya kichungaji and beyond!
Mbowe kasema anasamehe na kumwachia MUNGU. Huyu yeye anawakumbusha watue kwenye korodani.Huyu jamaa sio askofu akagombee uenyekiti chadema maana mbowe kashapigwa chake kachokwa hana jipya .
MWAMBIE AACHE KUIBA MAANDIKO YA WENZAKE! ASKOFU FAKE
bora siafu au chawa ila mbu hawezi fika hukoUbarikiwe sana Baba Askofu Bagonza. Wewe ni dokta (PhD) wa ukweli... hakuna wa kufanana nawe kwenye tasnia yote ya kichungaji and beyond!
Kwani kutoa tafsida kwa kiswahili ndio kuiba mimi mwenyewe nilikuwa siijui hii nimecheka sana kaniongezea siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee kipapa!, Kwani hujaona alama za nukuu!?MWAMBIE AACHE KUIBA MAANDIKO YA WENZAKE! ASKOFU FAKE
So utampiga kofi akiwa kwa korodani? HahaahahahahHiii !! Huyo mbu ataenda kuwasimulia hao waliomtuma, korodani kabisa aziguse!!
bora siafu au chawa ila mbu hawezi fika huko
mkuu nimewaza tu huyo mbu anavyopenya kwenye boksa....Mkuu yani wewe uwezo wako umekomea hapo?? Hahahhahaha na wewe nakuweka kundi moja na ccm kama bado hujajiunga huko
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nimewaza tu huyo mbu anavyopenya kwenye boksa....