Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
siku hizi kuna marais wengi mbona hajaeleza asipokuwa rais wa wapi.
longido.
siku hizi kuna marais wengi mbona hajaeleza asipokuwa rais wa wapi.
by daway who is nyerere? Si mtu kama mim wewe vipi sio kila aliosema yeye ni sheria mengine aliongea kwa interest zake binafsi.na chuki zake za kizanaki hasa kwa mtu aliyeona atamfunika nani asiyemjua huyu dikteta na mroho wa madaraka
shame upon yourself, Naona hata wewe utafanya hivo unavotarajia fanya kwa interest zako binafsi, na sio za watz wote.by daway who is nyerere? Si mtu kama mim wewe vipi sio kila aliosema yeye ni sheria mengine aliongea kwa interest zake binafsi.na chuki zake za kizanaki hasa kwa mtu aliyeona atamfunika nani asiyemjua huyu dikteta na mroho wa madaraka
Lowasa asipokuwa Rais 2015 mniue - Askofu (Gazeti la Nyakati,10th Julai). Ngoma imeanza!
Atauwawa kweli,namuhurumia sana, maana nijuwavyo Rais wa 2015 atachaguliwa na Mungu,hata kikwete hamjuwi!
hahaha najua mmetishika na title ya ASKOFU, unless tungetajiwa hapa ni askofu gani, huenda ni askofu ya kama Remmy alivyokuwa akiitwa Doctor!Lowasa asipokuwa Rais 2015 mniue - Askofu (Gazeti la Nyakati,10th Julai). Ngoma imeanza!