Askofu Bagonza: Wanaodhani wana furaha hawana furaha. Wapinzani hawana furaha, wapinzani wa wapinzani hawana furaha

Nakuelewa mkuu. Lakini huyu bwana bado kwenye utendaji napo ni majanga haswa.

1. Rais kwa nafasi yake si mtendaji wa moja kwa moja,ndio maana kuna wataalam kwenye maeneo mbalimbali ili watende kwa kuzingatia ueledi. Sasa yeye anapotaka kuwa mtaalam wa kila eneo hilo ni tatizo kubwa sana ndio maana analazimisha vitu vya ajabu, mfano mzuri ni juzi kwa boss wa TBA.

2. Anafanya mambo kwa sifa na mihemko, mfano akiwa ziarani Kusini alimtumbua Kamanda wa Takukuru kisa tu hayupo kwny mkutano wake.

Sasa unajiuliza mtu wa level ya PhD anakosaje maarifa kwenye vitu vidogo namna hii ambavyo havihitaji hata tochi kuona?
Sipingani nawa mkuu ila ukweli ni kwamba Phd ya jiwe inaonekana kiasi kwenye utendaji, ila linapokuja suala la matamko yake yaani ni borea angekaa tu numbani wakatu mwingine kuificha aibu yake binafsi au anayo wasababishia wengine kwa kutokua na simile kwa baadhi ya mambo. Hua anaropoka sana hadi inaharibu ile level aliyonayo.
 
Kuna watu humu watamuunga mkono Askofu Bagonza wakidai ana uhuru wa kutoa maoni yake kwa anayoyaona , na wakati huo huo wakipinga Mhashamu Pengo kutoa maoni yake. Halafu wanadai wanatetea demokrasia!
 
Nakuelewa mkuu. Lakini huyu bwana bado kwenye utendaji napo ni majanga haswa.
1. Rais kwa nafasi yake si mtendaji wa moja kwa moja,ndio maana kuna wataalam kwenye maeneo mbalimbali ili watende kwa kuzingatia ueledi. Sasa yeye anapotaka kuwa mtaalam wa kila eneo hilo ni tatizo kubwa sana ndio maana analazimisha vitu vya ajabu, mfano mzuri ni juzi kwa boss wa TBA.
2. Anafanya mambo kwa sifa na mihemko, mfano akiwa ziarani Kusini alimtumbua Kamanda wa Takukuru kisa tu hayupo kwny mkutano wake.
Sasa unajiuliza mtu wa level ya PhD anakosaje maarifa kwenye vitu vidogo namna hii ambavyo havihitaji hata tochi kuona?
Hapo tupo sawa sana mkuu.

Kwangu mimi ni afadhali alipokua waziri maana ninaamini kiutendaji ndo nafasi aliyostahili sana.
Alichokifanya mstaafu Mkapa nadhani hata yeye sasa anayaona matunda yake.
 
Kati ya Bagonza na wewe na yule mapengo nani anapigania tumbo lake? Wanaoipamba serikali hata ilipokosea ndiyo wapigania matumbo!
Askofu Bagonza nyie ndio mna jukumu lukufanya Watanzania wawe na Amani na furaha

Ila mmeacha kazi yenu mmegeukia siasa za tumbo
 
Nilishawahi sema PHd ya Bagonza Ni feki .Huo utafiti wa wasio na furaha nchi nzima kaufanya wapi?

PhD kazi yake ni kushusha takwimu sio hisia au halucinations

Chuo gani kilimtunuku hiyo PhD? Anaongea Kama mlevi Hana takwimu hata moja veriafiable na reliable
Wewe mpinzani wa wapinzani huna furaha ndiyomaana umepanic.
 
Nilishawahi sema PHd ya Bagonza Ni feki .Huo utafiti wa wasio na furaha nchi nzima kaufanya wapi?

PhD kazi yake ni kushusha takwimu sio hisia au halucinations

Chuo gani kilimtunuku hiyo PhD? Anaongea Kama mlevi Hana takwimu hata moja veriafiable na reliable
Chuo kilichomtunuku shehe alhad na zubery
 
Laiti kama angemsifia jiwe ungeandika kinyume cha hayo uliyoyaandika?
Issue sio kusifia yeyote mtu mwenye PHd akisifia huto takwimu Mfano kardinali.Pengo ni.msomi akisifia anataka vitu vya Maendeleo anavyoona vimefanyika hasifii tu hewani!!! Nani anataka sifa hewa zisizo na takwimu toka kwa msomi? Na hakuna anayekataa lawama lakini ziwe na takwimu hasa zikitolewa na mtu mwenye Phd
 
Yes angalau kwenye uwaziri anakuwa na watu juu yake kumcheck anapokosea ila kwa hapo alipo duh ni tatizo aisee.
Hapo tupo sawa sana mkuu.

Kwangu mimi ni afadhali alipokua waziri maana ninaamini kiutendaji ndo nafasi aliyostahili sana.
Alichokifanya mstaafu Mkapa nadhani hata yeye sasa anayaona matunda yake.
 
Askofu Bagonza nyie ndio mna jukumu lukufanya Watanzania wawe na Amani na furaha

Ila mmeacha kazi yenu mmegeukia siasa za tumbo

Angeshabikia “juhudi” isingekua “siasa”!

Ila kakosoa “juhudi” imekua eti kachanganya “siasa”!
 
Mkuu,tatizo sio kutoa maoni bali kutoa maoni kuhusu jamii fulani ambayo hayaakisi uhalisia wa jamii husika. Kwa yaliyojiri jana kwenye uchaguzi,inaonesha mchakato mzima haukuwafurahisha hata wanaccm walio wengi ndio maana hata hawakuitikia wito wa Pengo.
Kuna watu humu watamuunga mkono Askofu Bagonza wakidai ana uhuru wa kutoa maoni yake kwa anayoyaona , na wakati huo huo wakipinga Mhashamu Pengo kutoa maoni yake. Halafu wanadai wanatetea demokrasia!
 
Mwenye PhD before kutoa statement lazima awe na data reliable na verifiable huyo askofu Koko Na PhD yake Koko aondoe neno DR. Kwenye jina lake anadhalilisha digrii za Phd
Na yule mwenye Phd fake na hawezi kutamka neno entrepreneur
 
Sipingani nawa mkuu ila ukweli ni kwamba Phd ya jiwe inaonekana kiasi kwenye utendaji, ila linapokuja suala la matamko yake yaani ni borea angekaa tu numbani wakatu mwingine kuificha aibu yake binafsi au anayo wasababishia wengine kwa kutokua na simile kwa baadhi ya mambo. Hua anaropoka sana hadi inaharibu ile level aliyonayo.
PhD yake sijui nimkumbuke 8 kasoro

Ile ya korosho hajaitendea lolote na ina laana

Utendaji labda alikua nao Sokoine nao pia tunapata story maana habari hazikutapakaa sana
 
Back
Top Bottom