Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,783
- 28,799
Hivi Ndugai haoni aibu? Hana familia imshauri? Wazeē wa chama chake je? Au wamemuacha ili tuujue ujinga wake
SOMO LA UTAWALA: MWAKA WA KWANZA
Kanuni za Utoaji Adhabu
1. Usitoe adhabu usiyoweza kuisimamia mpaka mwisho;
2. Usimpe adhabu wala amri mtu ambaye endapo atasema HAPANA, huna cha kumfanya.
Mkimaliza kuandika insha, kusanyeni madaftari, nitasahihisha baada ya Pasaka. Atakayegoma kufanya, sina la kumfanya.
PASAKA NJEMA
Nampenda Baba AskofuSOMO LA UTAWALA: MWAKA WA KWANZA
Kanuni za Utoaji Adhabu
1. Usitoe adhabu usiyoweza kuisimamia mpaka mwisho;
2. Usimpe adhabu wala amri mtu ambaye endapo atasema HAPANA, huna cha kumfanya.
Mkimaliza kuandika insha, kusanyeni madaftari, nitasahihisha baada ya Pasaka. Atakayegoma kufanya, sina la kumfanya.
PASAKA NJEMA
Askofu huyu ni ntu makini sanaSOMO LA UTAWALA: MWAKA WA KWANZA
Kanuni za Utoaji Adhabu
1. Usitoe adhabu usiyoweza kuisimamia mpaka mwisho;
2. Usimpe adhabu wala amri mtu ambaye endapo atasema HAPANA, huna cha kumfanya.
Mkimaliza kuandika insha, kusanyeni madaftari, nitasahihisha baada ya Pasaka. Atakayegoma kufanya, sina la kumfanya.
PASAKA NJEMA
Lolote likitokea kwa professor tutajua wasiojulikana kazini,Serekali inayoongoza wananchi wanyonge ila yenyewe si dhaifu.Tukubali kuitwa wanyonge,mabeberu nk. Maana wenzetu si wananchi.Wajitambulishe tu wao ninani katika nchi hii.La kumfanya wanalo, TL alipowashinda katika nyanja zote za kisheria walikuja na utaratibu wa watu Wasiojulikana.
Hata CAG ni mtu wa kuombewa na kuwekwa mbele za Mungu. Kikao cha Wabunge fulani na M/kiti wao kikimwacha salama lazima DAB aingie kazini Katekeleza majukumu.