Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 719
Jibu kwa adabu.Sio kujionyesha hunamajibu juu hoja za askofu.Nyamaza kama huna hekima ya kujibu hoja ilio enda shule
Bagonza nlimuonya kwamba yeye ni kiongozi wa tasisi kubwa nchini, sasa kwakuwa amejichagulia upande wa kushabikia ataumia sana.
Alikuwa akipanda kwenye jukwaa kwa Lisu anasema uchaguzi huu ni kati ya mungu aliemuokoa Lisu na risasi 16 na wa Mungu wa Magu alieondoa korona kwa maombi.
Bagonza mpaka leo haamini kama Mungu ni mkubwa kuliko corona. Ndio maana mimi nakonaga kale kajamaa hata hirizi katakuwa nazo. Ndio maana wakati wenzie wameungana na Magu kufunga kwa maombi yeye aliungana na shetani akafunga makanisa.
Wahaya wana shida sana, kwa dharau zile za Bagonza kisa ule udokta wake, basi yeye kwake Mungu si lolote mbele ya phd yake.