dosama JF-Expert Member Dec 25, 2010 912 957 Jul 14, 2020 #1 "Uhalali na uongozi haviachani. Ukiona matumizi ya mabavu na maguvu vinaongezeka, ujue uhalali wa uongozi umetoweka. Ili kutumia mabavu ni sharti utu uwekwe pembeni na unyama uvaliwe"-Askofu Bagonza #ChangeTanzania
"Uhalali na uongozi haviachani. Ukiona matumizi ya mabavu na maguvu vinaongezeka, ujue uhalali wa uongozi umetoweka. Ili kutumia mabavu ni sharti utu uwekwe pembeni na unyama uvaliwe"-Askofu Bagonza #ChangeTanzania
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Aug 7, 2014 80,710 93,456 Jul 14, 2020 #3 Mzee anatumia nguvu kubwa ili aonekane anapendwa, ana kuwa na hasira sana pamoja na sifa zote za wateule wake lakini wananchi hawa mkubali.
Mzee anatumia nguvu kubwa ili aonekane anapendwa, ana kuwa na hasira sana pamoja na sifa zote za wateule wake lakini wananchi hawa mkubali.
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Aug 7, 2014 80,710 93,456 Jul 14, 2020 #4 Maaskofu Tz ni Bagonza, Shoo na Mwamakula, wengine ni wajasiriamali wa dini.