Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balaa tupuTena CCM lialia.
Asante basi iwekwe sheria kabisa Mungu atunusuru jamaniNi makosa makubwa sana kugeuza Kanisa ama msikikiti kuwa jukwaa la kampeni za kisiasa.
Ikiwa jambo hili halitakemewa basi hatutabaki na nchi. Hata nchi zilizoendelea Kuna sheria kabisa kuwa mtu yeyote ni makosa kutumia jukwaa la kidini kumpigia kampeni mgombeaji yeyote.
NdoAsante basi iwekwe sheria kabisa Mungu atunusuru jamani
Ndo inavyotakikana kuwa. Baada ya Kampeni tunataka tubaki na nchi moja inayoitwa Tanzania. Maana kuna maisha baada ya uchaguzi.Asante basi iwekwe sheria kabisa Mungu atunusuru jamani
tindo sasa tuwaache watuharibie nchi kwa jina vyama?Umechelewa, hii tabia ilianza muda mrefu kwa viongozi wa dini kuisifia ccm lakini ikaonekana ni sawa tu. Lakini sasa hivi inaonekana hata vyama vya upinzani vimepata viongozi wa dini ndio busara ya kinafiki inajitokeza.
Ni makosa makubwa sana kugeuza Kanisa ama msikikiti kuwa jukwaa la kampeni za kisiasa.
Ikiwa jambo hili halitakemewa basi hatutabaki na nchi. Hata nchi zilizoendelea Kuna sheria kabisa kuwa mtu yeyote ni makosa kutumia jukwaa la kidini kumpigia kampeni mgombeaji yeyote.
Aliyesoma masomo ya kemia akaibukia kwa wenye sayansi ya siasa umemsahau au unajichetua?Haya ndio madhara ya malezi , wazazi tunapaswa kushiriki kikamilifu katika kulea watoto wetu familia ndio msingi wa Taifa lolote.
Unakuta mtu alipaswa kuwa mwanasiasa lakini kwa bahati tu ikatokea akawa kiongozi wa dini,
Au unakuta alipaswa kuwa askari unamkuta ni muuguzi, lazima upate huduma mbovu.
Au unakutana na trafiki ambaye alipaswa kuwa mhubiri, badala ya kutimiza majukumu yake anaishia kukupiga Injili,
Mgawanyo wa majukumu jamani.
Na ya gwajima imekaaje? Sheikh tuanzie hapo.Kamati ya amani nchini inayoongozwa na Mwenyekiti wake na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhadi Mussa, imepiga marufuku makanisa na misikiti, kutumika kumfanyia kampeni mgombea yoyote wa chama cha siasa kwa kuwa kufanya hivyo ni kuwanyima haki waumini wake.
EastAfricaTV
Ngojeni sasa GENTAMYCINE nishinde Uchaguzi huu mtaona hilo Kanisa Mwenge Jeshini litaondoka tu na nitamchafua Mtu kwa KKKT wamuondoe.
Unafiki uliotukuka..
Huyu si Pimbi tu. Safari hii hio Bakwata ndio mwisho wao.Kamati ya amani nchini inayoongozwa na Mwenyekiti wake na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhadi Mussa, imepiga marufuku makanisa na misikiti, kutumika kumfanyia kampeni mgombea yoyote wa chama cha siasa kwa kuwa kufanya hivyo ni kuwanyima haki waumini wake.
EastAfricaTV
Ngojeni sasa GENTAMYCINE nishinde Uchaguzi huu mtaona hilo Kanisa Mwenge Jeshini litaondoka tu na nitamchafua Mtu kwa KKKT wamuondoe.
Ila askofu Gwajima yeye anaruhusiwa !Asante basi iwekwe sheria kabisa Mungu atunusuru jamani
Ndio maana upinzani huwa naona ni hovyo kuliko hata hao ccm wenyewe,yani badala ya wao kuonesha utofauti ndio kwanza nao wanafanya yaleyale wanaofanya ccm halafu ukiuliza unajibiwa mbona ccm anafanya/alifanya. Sasa hapo kuna chama mbadala au ni vilevile tu kasoro majina.Umechelewa, hii tabia ilianza muda mrefu kwa viongozi wa dini kuisifia ccm lakini ikaonekana ni sawa tu. Lakini sasa hivi inaonekana hata vyama vya upinzani vimepata viongozi wa dini ndio busara ya kinafiki inajitokeza.
Huyu sheikh wa hovyo Sana kila siku alikuwa na bashite baada ya kuona mkono mtupu aulambwi anajifanya yupo kwenye mstari hata Kama amepotea maagizo toka juu arudishe hela zao gari ilishawaka hairudi nyumaKamati ya amani nchini inayoongozwa na Mwenyekiti wake na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhadi Mussa, imepiga marufuku makanisa na misikiti, kutumika kumfanyia kampeni mgombea yoyote wa chama cha siasa kwa kuwa kufanya hivyo ni kuwanyima haki waumini wake.
EastAfricaTV
Ngojeni sasa GENTAMYCINE nishinde Uchaguzi huu mtaona hilo Kanisa Mwenge Jeshini litaondoka tu na nitamchafua Mtu kwa KKKT wamuondoe.