Askofu Bagonza na Mchungaji Mwingira Siku zingine msiwe mnaonyesha 'Mahaba' yenu ya 'Kiroho' wazi wazi kwa 'Kiboko' ya 'Mkemia' wa Ziwa Victoria!

Hawa wachungaji siyo wa kuwaamini, hata Ngwajima alikuwa kipenzi cha UKAWA kipindi kile, akasema yote leo hii kageuka kama pole pole.
 
Ni makosa makubwa sana kugeuza Kanisa ama msikikiti kuwa jukwaa la kampeni za kisiasa.
Ikiwa jambo hili halitakemewa basi hatutabaki na nchi. Hata nchi zilizoendelea Kuna sheria kabisa kuwa mtu yeyote ni makosa kutumia jukwaa la kidini kumpigia kampeni mgombeaji yeyote.
Asante basi iwekwe sheria kabisa Mungu atunusuru jamani
 
Umechelewa, hii tabia ilianza muda mrefu kwa viongozi wa dini kuisifia ccm lakini ikaonekana ni sawa tu. Lakini sasa hivi inaonekana hata vyama vya upinzani vimepata viongozi wa dini ndio busara ya kinafiki inajitokeza.
tindo sasa tuwaache watuharibie nchi kwa jina vyama?
 
Hakuna nchi yoyote yenye maendeleo ya kidemokrasia inayozuia siasa kwenye makanisa na misikiti.Sio Ulaya wala Marekani kuna.
Ni makosa makubwa sana kugeuza Kanisa ama msikikiti kuwa jukwaa la kampeni za kisiasa.
Ikiwa jambo hili halitakemewa basi hatutabaki na nchi. Hata nchi zilizoendelea Kuna sheria kabisa kuwa mtu yeyote ni makosa kutumia jukwaa la kidini kumpigia kampeni mgombeaji yeyote.
 
Mimi ni CCM safi na nimekolea.

Hakuna wa kumkamata Bagonza kwa hoja zake, hajawahi egemea upande mmoja.

Kauli ya "tuchague kati ya 'mitano kwanza au mitano tena' haina tatizo. hapa kabalance kila kitu. Kanishawishi sana nifanye maamuzi sahihi.

Mwingira kaongea ukweli kabisa. Kamwe huwezi shindana na kusudi la Mungu, kupona kwa Lissu ni muujiza, ina maana huyu mtu anapaswa kuishi kwa sababu Mungu ana haja naye. Aisee "mbeba maono hafwi" patamu hapa.

Nitasema kweli daima, fitina kwangu ni mwiko.

#Haki huinua taifa
 
Haya ndio madhara ya malezi , wazazi tunapaswa kushiriki kikamilifu katika kulea watoto wetu familia ndio msingi wa Taifa lolote.

Unakuta mtu alipaswa kuwa mwanasiasa lakini kwa bahati tu ikatokea akawa kiongozi wa dini,

Au unakuta alipaswa kuwa askari unamkuta ni muuguzi, lazima upate huduma mbovu.

Au unakutana na trafiki ambaye alipaswa kuwa mhubiri, badala ya kutimiza majukumu yake anaishia kukupiga Injili,

Mgawanyo wa majukumu jamani.
Aliyesoma masomo ya kemia akaibukia kwa wenye sayansi ya siasa umemsahau au unajichetua?
 
120234626_197027215127132_6318989153086839267_n.jpg

Wakuna nazi kaeni kimya
 
Kamati ya amani nchini inayoongozwa na Mwenyekiti wake na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhadi Mussa, imepiga marufuku makanisa na misikiti, kutumika kumfanyia kampeni mgombea yoyote wa chama cha siasa kwa kuwa kufanya hivyo ni kuwanyima haki waumini wake.

EastAfricaTV

Ngojeni sasa GENTAMYCINE nishinde Uchaguzi huu mtaona hilo Kanisa Mwenge Jeshini litaondoka tu na nitamchafua Mtu kwa KKKT wamuondoe.
Na ya gwajima imekaaje? Sheikh tuanzie hapo.
 
Kamati ya amani nchini inayoongozwa na Mwenyekiti wake na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhadi Mussa, imepiga marufuku makanisa na misikiti, kutumika kumfanyia kampeni mgombea yoyote wa chama cha siasa kwa kuwa kufanya hivyo ni kuwanyima haki waumini wake.

EastAfricaTV

Ngojeni sasa GENTAMYCINE nishinde Uchaguzi huu mtaona hilo Kanisa Mwenge Jeshini litaondoka tu na nitamchafua Mtu kwa KKKT wamuondoe.
Huyu si Pimbi tu. Safari hii hio Bakwata ndio mwisho wao.
 
Umechelewa, hii tabia ilianza muda mrefu kwa viongozi wa dini kuisifia ccm lakini ikaonekana ni sawa tu. Lakini sasa hivi inaonekana hata vyama vya upinzani vimepata viongozi wa dini ndio busara ya kinafiki inajitokeza.
Ndio maana upinzani huwa naona ni hovyo kuliko hata hao ccm wenyewe,yani badala ya wao kuonesha utofauti ndio kwanza nao wanafanya yaleyale wanaofanya ccm halafu ukiuliza unajibiwa mbona ccm anafanya/alifanya. Sasa hapo kuna chama mbadala au ni vilevile tu kasoro majina.
 
Kamati ya amani nchini inayoongozwa na Mwenyekiti wake na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhadi Mussa, imepiga marufuku makanisa na misikiti, kutumika kumfanyia kampeni mgombea yoyote wa chama cha siasa kwa kuwa kufanya hivyo ni kuwanyima haki waumini wake.

EastAfricaTV

Ngojeni sasa GENTAMYCINE nishinde Uchaguzi huu mtaona hilo Kanisa Mwenge Jeshini litaondoka tu na nitamchafua Mtu kwa KKKT wamuondoe.
Huyu sheikh wa hovyo Sana kila siku alikuwa na bashite baada ya kuona mkono mtupu aulambwi anajifanya yupo kwenye mstari hata Kama amepotea maagizo toka juu arudishe hela zao gari ilishawaka hairudi nyuma
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom