Bornventure
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 529
- 523
We we huelewi lolote kuhusu kauli hii ya Yesu , wala usiiunganishe na mtazamo wako kuhalalisha ujinga nchi hiiYesu alishawahi kusema ya kaisari muachie kaisari naona viongozi wa dini wanasahau hapa.