Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,881
- 4,993
Mimi sio mwisilamu! Ila acha tu mashekhe wakae kimya! Yale maneno ya kakobe yangesemwa na mtu kama Shekhe Ponda sa hizi angeshapimwa mkojo! Kifupi angeonekana gaidiSisi waislamu jamani tuna bahati mbaya,,
hii miviongozi yetu imebakia unafiki tu,, lkn yote sababu haina elimu ya dunia,,, walichokijua wao kufuga midevu ,,,aisee inakera,,aswa Hawa bakwata,,, bora sheikh ponda ndo angekuwa mkuu wa waislamu