Askofu Bagonza: Jakaya Kikwete hana ushawishi wowote kwenye Awamu ya Sita

Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.

Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Ila ukiona kiongozi wa siasa Kama Magufuli kila jumapili amesima madhabahuni anaongelea siasa unafarijika sana
 
Maneno ya hekima kabisa haya ya baba askofu. Kwa hakika Askofu Bagonza ana hoja nzito:

View attachment 1983684

View attachment 1983686

View attachment 1983687

Kwa hakika kumvisha JK yanayojiri awamu ya sita ni kumkosea sana. Anamalizia baba askofu kwa kusema:

View attachment 1983688

Barikiwa sana baba askofu kwa kuendelea kutuchotea busara na uzoefu uliopewa na Mola wetu kila inapowezekana.
FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Akhsante sana kwa kututhibitishia kuwa huna elimu, huna busara, huna hata "common sense" ya kujua jema na baya la kuandika hadharani.
Matusi ni kwa vilaza na wenye matatizo ya kiakili, kiroho, kielimu, kijamii na kimaisha.
Ulipoanza kutukana ulitegemea nini na elimu, busara na common sense ni nini? I didn't know I am arguing with a goon who doesn't know what he/she saying. Keep off this forum if you are not ready to accommodate the views of others
 
Kwani askofu kaongelea ubora wa awamu ya 4 au katoa utofauti wa awamu ya 4 na 6.Vip kichwa chako ni kidogo sana kuelewa au shida nini?
Askofu alichoeleza hakina shaka. Kilicho na shaka ni ile hali ya kujifanya mwanasiasa. Kwa nafasi yake sitaki aonekane wa hovyo kama akina Gwajima matapeli wanaotumia majoho ya kujipachika kuishi
 
Nenda kafungue darasa ufundishe usitupigie kelele hapa
Nilichoandika ni darasa tosha,ndiyo maana nawe umefundishika sasa, kwani badala ya kuandika "dalasa", umeandika "darasa", na hii imeonyesha umeanza kujifunza.
Hongera kwa kujifunza. Elimu haina mwisho na kujifunza ni popote.
 
Nikisikia kiongozi wa dini anajihusisha na masuala ya siasa huwa nakwazika sana.

Sana sana nafarijika napoona anahimiza waamini wajikite katika kufuata misingi yote pasipo kuvunja sheria za nchi.
Kibano kikikolea utasikia "Halafu viongozi wa Dini wapo kimya tu bila kukemea".
Kumbe tunataka kusikia sauti zao ila wasiongee.
 
Ila ukiona kiongozi wa siasa Kama Magufuli kila jumapili amesima madhabahuni anaongelea siasa unafarijika sana
Yeye sio kiongozi wa dini popote akienda anaongea na wapiga kura wake haingizi dini kanisani ulitaka ahubiri wakati sio kiongozi wa dini.

Askofu pia anatakiwa akiwa mahali ahubiri sio aongee siasa sababu hiyo ndio kazi yake kuhubiri asiongelee siasa . Bagonza anakosea
 
Kwa msengeee kama wewe ni rahisi kusema usemayo. Hakuna malaya wa kisiasa kama viongozi wa kiroho wenye uroho wanaojifanya wakosoaji wakati ni wezi kwa waumini wao. Mwl Nyerere alitufundisha kutochanganya dini na siasa. Huwezi tumikia mabwana wawili kwa usawa. Umeelewa fwaki you kuku?
Badala ya kujibu hoja umekimbilia kutukana, hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo empty kichwani... Kubwa jinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom