- Thread starter
- #181
Kapotoka kama Bagonza kuingia kwenye siasa wote sawa
Akijenga visima, shule au hospitali je?
Askofu Bagonza: Msajili wa vyama Jaji Mutungi sio mtu sahihi kuandaa kikao cha wadau wa siasa Tanzania
Ila akionya?
Hiyo ni hadithi iliyopitwa na wakati, asema Bagonza.