Mbona Jiwe ni Mrundi. Nani asiyejua hilo? Naibu waziri wa kilimo ndugu Bashe ni wa nchi gani? Yule mwanaCCM aliyedakwa na Takukuru Tabora akitoa rushwa ni raia wa wapi? Mbona baraza la mawaziri ni mchanganyiko wa watu toka mataifa mbalimbali. Nani anabisha? Anayebisha atwambie Bashe ni wa taifa lipi?Huyu mzee ishu ya uraia inamnyima usongizi .bangoza ni mganda pure