Mama Amon
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 2,021
- 2,478
- Thread starter
- #21
Siku moja tumekaa kijiweni watu watano. Tunaongea hili na lile. Mmoja wetu akasema: Mnajua mimi sikusoma lakini mambo yangu supa. Nilishangaa sana. Supa anaongelea chumba kimoja na bodaboda boxer. Aliuza shokora alilopewa na marehemu babu yake.
Mexicana ana elimu ya mavyuma. Hakusoma. Elimu haijamponza. Yupo yupo kama hayupo. Mji wake supa. Mipango miji ni watoto wa chekechea!
Siwezi endelea. Naishia hapa. Kichefuchefu. Huyu naye great thinker!
Kuna tofauti kubwa kati ya Yesu aliyezaliwa kijiweni na askofu mwenye kanisa lililoezekwa kwa mabati yanayoshilikiwa kwa kuta za mabati huku akikusanya sadaka na kujenga orofa nyumbani kwake kwa ajili ya mke, watoto na ukoo wake.
Yesu wa kijiweni ni bora kuliko askofu tapeli anayeishi orofani.
Homeless Jesus was born in KICHEFUCHEFU LABOR WARD at Bethlehem