IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,330
Safi!Magu hapati tani tena hutaki andamana
Kila mtu na choice yake...
I stick to my guns,stick to yours!
Kila mtu abaki na maoni yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi!Magu hapati tani tena hutaki andamana
Kila mtu na choice yake...
I stick to my guns,stick to yours!
Nini maana ya kanisa tuanze na hapoHapa namuulizia Bagonza....ni askofu wa Kanisa au wa Huduma?
Yesu alituasa kwamba YAACHENI MAGUGU YAKUE NA NGANO.....Nimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!
Picha ya Nini amesimama juu ya Jukwaa na Ni mshauri wa Kiroho wa TL ,unasemaje!?Ahsante kwa ushuhuda wa picha bwashee!
Ushamaliza kusoma Katiba ya KKKT haya tuambir umeona Nini!Nimekuelewa bwashee..... Ngoja nipitie katiba ya KKKT!
2015 walisema ilikuwa zamu ya mtu wao, labda ni mwendelezo wa hasira za mtu wao kukataliwa na wananchi mwaka ule.Ingependeza kama Chadema wangempa jimbo akagombea ubunge huyu kada wao.
Ni typing error au umedhamiriaAnahudumia kanisa la Dakta Choo.
Typo. Ni Dakta Shoo.Ni typing error au umedhamiria
Typo. Ni Dakta Shoo.
UmetishaNi askofu na mtumishi wa Mungu ambaye ametumwa kumpaka mafuta matakatifu mteule wake Daudi, ili akapate kuliongoza taifa letu la Tanzania. Hii inatokana na Mungu kumkataa mfalme Sauli.
Kuna tofauti gan kati ya kanisa na huduma?Hapa namuulizia Bagonza....ni askofu wa Kanisa au wa Huduma?
Unamfahamu Askofu Gwajima? Ulikua unamfahamu Askofu wa Mlima wa moto Marehemu Getrude Rwakate(rip) ss usiwe unapost bila kufikiriNimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!