HahahahahahahaGwajima anajihusisha na siasa Moja kwa Mbili?
HahahahahahahaGwajima anajihusisha na siasa Moja kwa Mbili?
Gwajima hana Kanisa.Askofu Gwajima ni kanisa gani?....Kwann anajihusisha na siasa?
Na wale manabii na mitume wanaoshinda Lumumba kusubiri maelekezo! Wametelekeza makanisa yao wengine wamepewa ugombea kupitia CCM.Nimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!
Basi unatutafuta maneno KKKT...haya Sasa umeshajua fanya basi uwezalo kufanyaNimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!
Itakuwa wanataka kumchunguza uraia wake tuBwasheee mnataka kumuita gaidi au uamsho!?
Askofu Gwajima anahudumu kanisa gani kwanini anajihusisha na siasa za moja kwa moja?Nimemuona mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana Huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!
Kawatoroka kondoo wake!Askofu Gwajima anajihusisha na nini kwa sasa? 🤣 🤣 🤣
Mimi nimemsikia kwa masikio yangu mawili na kumuona kwa macho yangu mawili askofu RC wa huko Kagera akimuombea JPM ashinde uchaguzi.Nimemuona mgombea urais wa CHADEMA Tundu Lissu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!
Askofu Gwajima anajihusisha na nini kwa sasa? 🤣 🤣 🤣
Gwajima anaongoza Huduma bwashee!Askofu Gwajima anahudumu kanisa gani kwanini anajihusisha na siasa za moja kwa moja?
Kuna padre mmoja kaandika hivi "kiongozi wa dini ukionekana umepiga picha au unaambatana na viongozi wa ccm kipindi hiki wewe ni mzalendo, lakini ukionekana umepiga picha na au unaongozana na viongozi wa vyama vya upinzani basi wewe unachanganya dini na siasa" mwisho wa kunukuuNimemuona mgombea urais wa CHADEMA Tundu Lissu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!
Hawana sera tena mkuu wamesha julikanaItakuwa wanataka kumchunguza uraia wake tu
Naomba kufahamishwa maana nashindwa kumuelewa, Hivi Baba askofu Bagonza ni kiongozi wa kisiasa au ni kiongozi wa kidini?!
Hakuna dhambi kwa yeye kuwa mwanasiasa ila kuna hatari kubwa sana kwa yeye kutaka mambo yote siasa na kiongozi wa dini, maana sisi waumini wake tutagawanyika endapo tu ataingiza siasa ktk dini.
sijajua bado kama yeye ni mwanasiasa au kiongozi wa kiroho.
Kama vipi mpigeni risasi tu, mbona kwa Tundu Lissu mliweza?Nimemuona mgombea urais wa CHADEMA Tundu Lissu akiwa mkutanoni na Askofu Bagonza huko Kagera kupitia mitandao ya kijamii.
Tena wamepiga picha kadhaa wakiwa na bashasha.
Ndio nawauliza wadau huyu Bagonza ni Askofu wa Kanisa au ana huduma tu ndogo ndogo kama Gwajima na mchungaji Msigwa?
Majibu Tafadhali, aulizaye anataka kujua.
Maendeleo hayana vyama!