waliofungwa wako gerezani na wao wasahay kwamba hawako gerezani?? we ni mbululaTujifunze kusahau
waliofungwa wako gerezani na wao wasahay kwamba hawako gerezani?? we ni mbululaTujifunze kusahau
na huko aliko Shatani anamtwanga mijeredi ya kufa mtu.Marehemu aliharibu sn hii nchi
Surena huko aliko Shatani anamtwanga mijeredi ya kufa mtu.
Askofu endelea kuongea ukweli Mungu yupo naweUpande mwingine linaonekana ni jambo jema limefanyika kuweza kufutia raia wema wengi waliokuwa wakikabiliwa na kesi 147 za kubumba na kuteseka pasipo sababu.
Lakini pia ni aibu kubwa kwa upande mwingine kwa serikali hii ya CCM na ingekuwa nchi hii ni moja ya nchi zilizostarabika ilitakiwa ijiuzulu kwa kushindwa kuchukua hatua thabiti kwa wahusika na tabia hiyo wakiwa watumishi wenye viapo wa umma.
Naungana kwa % na Askofu Mpemba akielezea pamoja na mkasa uliompata wa TAKUKURU na jinsi tunavyo onekana kwa nchi zingine zenye ustaarabu.
Hii ni aibu kwa Rais mwendazake kuachia taasisi hizo kutenda hayo na kwa mama Samia kwa kukubali tuu kesi kufutwa na kuwaacha wahusika ofisini.
Msikilize Askofu Mpemba;
Lawama Zote KwakeRaisi wa mabarabara na madege , Jiwe basi tuu
Jamani jamani baghooshaaaIla mwendazake dah! Wacha wasibomoe kile kibanda umiza kwanza at least wam'banike