Askofu anamiliki HAMMER ya 250million!

Status
Not open for further replies.
acha kuwadanganya watu wewe china kuna makanisa na dini
wewe ndie unaedanganya watu;kama umepelekwa uko kulinda
magodown ya watu watu wanapita huko kwa trainning monthly
wewe kama uamini uitaji kuwadanganya watu kwa uwepowako huko,..

Wewe Unaonesha ni mmoja kati ya mashabiki wa kuongea usichokifahamu,Google can only help somewhere,most of the time on the ground reality is more important,Narudia Tena unachokisikia CCTV sicho kinachoendelea kule..,it's called Propaganda,wake up dude!
Narudia Seria za China ni marufuku kuhubiri Dini kwa Mchina,Marufuku,na ADHABU YAKE NI KIFO(kama wewe ni mchina) au being expelled.

hizo training zenu mnazopelekwa china na serikali yetu ya kifisadi hazitoshi kukufanya ujue ukweli wa maisha ya wachina,

mnachoona pale ni carefully crafted plot,of maigizo kuanzia mnavyopokelewa hadi mnapofika hotelini kwenu.Hao ndio wachna wewe masters of deceits.

Makanisa(kwa maana ya majengo) yaliyopo china sasa hivi ni mabaki ya OLD china,Before 1949,result of nations occupation of china.sasa hivi ni photo opportunity tu nothing else.

kwa diplomatic missions and families as well as foreigners kuna special places(sio makanisa as in buildings)-more of gathering halls.where you have to present a passport to enter.that means a chinese passport and there goes jail for you!!sasa huyu mchungaji wenu dini alikuwa anahubiria ******??!!

msidanganye watanzania kwa sababu hawana njia ya kuthibitisha uongo wenu,kuna watu wanaipenda Tanzania na wako tayari kufika mbali kuweka checks and balances.

just because tour guide wako alikuwa anitwa catherine au mary it doesn't mean she is christian!!chinese picks western names as forum usernames!totally commercial.biggest reason is probably you wouldnt be able to pronounce her real name even if you saw it written as xiong zhang!
 
ndugu with due respect to you naomba nitajie huduma moja tu ya kijamii inayofanywa na makanisa uyoga...ie lusekelo,wa ubungo,kakobe and the like....moja tu ...!! Na ndio maana hawahitaji misamaha ya kodi na wala hawastahili!!!
katika miaka 10 iliyopita:
wenzao anglikan wana chuo kikuu st john dodoma[wanafunzi karibu 4,000],wanajenga hospitali ya macho,wanachimba visima..etc

walutheri wamejenga tumaini university ..[wanafunzi karibu 10,000]...mahospitali mengi tu,visima ,miradi ya yatima..etc...acha mbali mahospitali na mashule yaliyokuwapo...kcmc,selian etc..

wa menonite wanacho chuo kikuu mbeya ...kinaitwa kisanji...na miradi mingi mingi ya jamii kama ilivyo aic...

wasabato wanacho chuo kikuu cha arusha...

waislamu ndugu zetu wanamiliki dispensary nyingi tu,wanachimba visima na mashule ..na karibuni chuo kikuu...

waismailia wanamahospitali,chuo kikuu na miradi mingi tu...na wanamiliki benki..

wakatoliki ...wana mashule kuanzia ya awali hadi vyuo vikuu....st augustine[wanafunzi 10,000],st joseph technology,...acha mashule lukuki ...sasa kila parokia ..inayo shule au iko mbioni kukamilisha [nchi nzima],acha shule za watawa,kuna hospitali za wilaya nyingi tu zinategemea rc,.almost 40% of health service in tanzania...na mwaka huu wanafungua chuo kikuu cha kilimo songea.....na wanamiliki benki

tungependa kuona sadaka za ndugu zetu zikitumika kujenga miradi ya kusaidia watanzania....sadaka siku hizi ni kama kodi ..wakristo au waislamu wanaozitoa wanayo haki ya kuambiwa zimetumikaje[tunatambua kuwa watumishi wa mungu pia wanastahili kuishi maisha mazuri ...lakini iwe baada ya kutumia vema sadaka za waumini]

mimi naenda makanisa mbali mbali kuna aliyesema wanatumbua[hawakosekani ni wanaadamu]...lakini mwisho wa siku ..kazi ya kuudumia kondoo na kutoa huduma inaonekana.........na ukweli na kuwa makanisa kama katoliki,lutherani,anglikan, morovian etc ..siku hizi hao mapadre hawashiki sadaka ...kamati ya sadaka inaongozwa na waumini na wao ndio huwapangia matumizi....sasa ukiongelea kula sadaka ..labda wale viongozi wa waumini......na pesa benki signitories ni baraza la wazee..na padre au mchungaji.

watu wanatoa sadaka na wanaona kazi..kwani makundi maalumu kama wazee,wajane ,na yatima na walemavu..yanatambuliwa kila kaya na wale wasiojiweza kwa chakula hupatiwa chakula bure kila wiki...na siku hizi havitokki ulaya ..nguo na vyakula wanatoa watanzania wenyewe!!

kuna watumishi kama mama rwakatare natambua anazo huduma za kijamii anatoa[pamoja na kuwa katika siku za karibuni ..zimehojiwa] lakini angalau zipo!!

mwingira ...anayo miradi ya uzalishaji mali ....na benki..sijui kuhusu huduma za jamii na sijui kama ni miradi inayomilikiwa kwa pamoja kama ministry au ni yake na familia yake..

kwa kifupi sadaka lazima zinufaishe watoaji...kwa kupelekea kupanua huduma kiroho na kutoa huduma za kimwili;;.....kwani miili yetu ni hekalu la mungu na watumishi au washungaji tunapotoa sadaka wanawajibika kwa miili na roho zetu....!!!


pamoja na utajiri wote wa kanisa katoliki, kardinali pengo anatumia suzuki escudo, interest yake ni kusaidia watu kwa sasa amejenga dispensari kisiju mkuranga.

Hamwoni kuwa something is wrong with these bishops who thrills for high life/
 
Naona hiyo picha hapo sio yenyewe. Hammer yenyewe ni ya Rangi nyekundu na ukitaka kuiona wewe usicheze mbali sana na maeneo ya Mlimani City. Kila siku lazima lipark pale
 
pamoja na utajiri wote wa kanisa katoliki, kardinali pengo anatumia suzuki escudo, interest yake ni kusaidia watu kwa sasa amejenga dispensari kisiju mkuranga.

Hamwoni kuwa something is wrong with these bishops who thrills for high life/

..ni kweli kwenye jubilee yake waumini waliamua kumuonea huruma wakachanga pesa wakamnunulia LANDCRUIZER VX V8.....akalikataa akaligawa liende MASASI ,,..likafanye kazi huko kwani ndiko wanahitaji gari linalohimili barabara mbovu......yeye kwa kuwa mindombinu ya huku ni mizuri hakulihitaji........
mara nyingi akialikwa inabidi kanisa lilomualika muumini ajitolee gari la kumfuata na kumrudisha ....yeye na ujumbe wake..

na zawadi nyingine alizopewa alipeleka Mafia kisiwani ambako amejenga hospitali ...pamoja na kuipatia vifaa hozpitali ya wilaya ....pamoja na kujenga shule yenye hadhi st joseph...kule mafia kwa ajili ya watoto wa mafia ......ambako watoto walio wengi wanapatiwa elimu ya hadhi ya kimataifa bure....ambako huku mjini shule kama hiyo inalipiwa ada hadi 1million kwa mwaka!!
 
ACHA UONGO WEWEEEEE!!!china hakuna DINI,hairuhusiwi mtu kuingia Airport ya China na BIBLIA zaidi ya 2,HAIRUHUSIWI kumhubiria mchina injili ya aina yoyote!Makanisa yamepigwa marufuku,chinese do not observe christianity,there are only few moslems in western part of china named uighurs(tamka wigars),sasa hizo injili huko china alikuwa anamhubiria nani??!!

Tatizo nyie watu mnafikiri kila mtu yupo kariakoo,ukiropoka kwa kuorordhesaha manchi ya watu basi easy ride huh!

Kama huu ndio utetezi wenu,this is extremely fishy.
Rafiki kama una muda nenda pale KANISANI UBUNGO sasa hivi utawakuta wajapani na wachina WANAJIFUNZA UCHUNGAJI, Lisilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana Biblia inasema lazima injili ihubiriwe duniani kote kabla Yesu hajarudi. Je sheia za wachina na za Mungu ni nani zaidi. Amini usiamini injili imeshaingia japani na china
 
Unashangaa Hummer? ALIPEWA HUMMER MBILI NA MAGARI MENGINE YA KIJAPANI AMEWAGAWIA WACHUNGAJI WENZAKE. Hummer ingine inauzwa kama kuna mtu anataka pesa yake tu. Pia bei mmekuza sana siyo 250 milioni uje na 80 milioni tu! kwani siyo mpya zote ni used.

Subirini miaka mitano mbele mtaona mambo makubwa na magumu ambayo Mungu anaenda kutenda kupia lile Kanisa. Wengi walio kinyume leo kesho wanaenda kuwa wapendwa palepale kilimani mwa Bwana
 
Unashangaa Hummer? ALIPEWA HUMMER MBILI NA MAGARI MENGINE YA KIJAPANI AMEWAGAWIA WACHUNGAJI WENZAKE. Hummer ingine inauzwa kama kuna mtu anataka pesa yake tu. Pia bei mmekuza sana siyo 250 milioni uje na 80 milioni tu! kwani siyo mpya zote ni used.

Subirini miaka mitano mbele mtaona mambo makubwa na magumu ambayo Mungu anaenda kutenda kupia lile Kanisa. Wengi walio kinyume leo kesho wanaenda kuwa wapendwa palepale kilimani mwa Bwana

haya bwana dokta...mjapani au mchina akakupa zawadi ambayo haikutengenezwa japani au china..............ninyi watu mmepofushwa sana.

ana makanisa china wakati kijijini kwake hakuna....asiyewatunza wa nyumbani mwake ni mbaya kuliko asiyeamini.
 
Rafiki kama una muda nenda pale KANISANI UBUNGO sasa hivi utawakuta wajapani na wachina WANAJIFUNZA UCHUNGAJI, Lisilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana Biblia inasema lazima injili ihubiriwe duniani kote kabla Yesu hajarudi. Je sheia za wachina na za Mungu ni nani zaidi. Amini usiamini injili imeshaingia japani na china

Sijakataa wachina kujifunza injili tanzania,Mbona unachanganya mambo!!nimekwambia hilo jambo haliwezekani china,Watanzania/waafrika wengi hawawezi kutofautisha kati ya wachina,wasingapore,wataiwan,wajapan na wakorea.hivyo wewe kila ukiona macho madogo wajua ni wachina tu.

si vizuri ku-generalize vitu usivyovifahamu,hasahasa mbele ya kadamnasi,mimi sijalinganisha sheria za mungu na china.nimekupa taarifa kuwa katiba ya nchi yao hairuhusu christianity in all means.nchi zenye uhuru wa kuabudu sio zote ndugu.

kuhusu huyu askofu kuwa na Hummer mie simuonei wivu BUT haya ni magari ya ma PIMP,sasa kapewaje na waumini wa kikorea/kijapan?christian families in these countries drive IPSUM/RAUM type of cars.how did they get hold of these hummers?!

kuna vitu vinatia shaka kadri vinavyozidi kutafutiwa maelezo.kama kanunua kwa fedha zake ni hewala pia,sio kudanganya watu kapewa china..,aaaaaaaagh.
 
ILI KUONDOA UBISHI TULETEENI ADDRESS ZA MAKANISA YA HUYU BWANA CHINA,JAPAN NA KOREA.sio mnatufanya wajinga hapa.

nyie mnafikiri kutaja nchi za mashariki ya mbali ndio mmemaliza mjadala..,sidhani
 
Sijakataa wachina kujifunza injili tanzania,Mbona unachanganya mambo!!nimekwambia hilo jambo haliwezekani china,Watanzania/waafrika wengi hawawezi kutofautisha kati ya wachina,wasingapore,wataiwan,wajapan na wakorea.hivyo wewe kila ukiona macho madogo wajua ni wachina tu.

si vizuri ku-generalize vitu usivyovifahamu,hasahasa mbele ya kadamnasi,mimi sijalinganisha sheria za mungu na china.nimekupa taarifa kuwa katiba ya nchi yao hairuhusu christianity in all means.nchi zenye uhuru wa kuabudu sio zote ndugu.

kuhusu huyu askofu kuwa na Hummer mie simuonei wivu BUT haya ni magari ya ma PIMP,sasa kapewaje na waumini wa kikorea/kijapan?christian families in these countries drive IPSUM/RAUM type of cars.how did they get hold of these hummers?!

kuna vitu vinatia shaka kadri vinavyozidi kutafutiwa maelezo.kama kanunua kwa fedha zake ni hewala pia,sio kudanganya watu kapewa china..,aaaaaaaagh.

Pangu pakavu--mshauri mwenye hekima atakusifu, bali mpumbavu hatakuelewa bali atakudharau tu.
All this new generations of bishops are well equiped and trained in mind manipulation and brainwashing. hawa wafuasi wao wameshakuwa hivyo ni kama wamelogwa. Wanawaona maaskofu wao kama Musa na Joshua au pengine Yesu mwenyewe. Vyovyote utakavyo waambia hawatakuelewa.
 
Hawa unaoona wanapinga ni wabaili hakuna lolote;hawa wamejaa roho za uchoyo ukiona mtu kama huyu hata kanisani atoi sadaka akijua ya mchungaji huyuhuyu hata nyumbani anunui vyakula watoto wale akihisi mkewe atapeleka kwa wazazi wake;hii ni roho chafu penda kutoa uzidi kuongezewa hiyo ni biblia mtasema sana mafisadi wajanja wameanza kupeleka hela kwenye madhabahu nyie bakini na makesi mahakamani mpaka jakaya aondoke aiishi na siku anaondoka makanisa yamejengeka vibaya sana na watu wanaachiwa huru,...ukiwa mbaili hotiendelea,hawa watu wanaoogopa zaka hata wazazi wao ndio wale wako vijijini wanateseka wanakosa hela huku dar wanawagawia machangu kwa kuitwa mapredeshe

msimruhusu shetani fungue roho zenu;mungu akawafune leo hii akwahifadhi in jesus name

Hakuna ubahili wowote. Waumini wengi ni walala hoi. Wanapeleka kidogo walichokuwa nacho kuwatajirisha viongozi wa makanisa ambao wanaishi maisha ya kifahari ya kupindukia huku waumini wao wakiendelea kutaabiki kwa dhiki kubwa. Kama haya mabilioni ya waumini wangeyaelekeza kwenye SACCOS wangeweza kabisa kuinua viwango vya maisha yao kwa kiasi kikubwa badala ya kufinace maisha ya viongozi wa makanisa. Wajinga ndiyo waliwao. Yesu alitangaza dini akiwa maskini wala hakuutaka kabisa utajiri sasa kipi kilichobadilika hata hawa viongozi kutaka kuishi maisha ya kitajiri wa kupindukia kupitia uchache ya waumini wao?
 
Sijakataa wachina kujifunza injili tanzania,Mbona unachanganya mambo!!nimekwambia hilo jambo haliwezekani china,Watanzania/waafrika wengi hawawezi kutofautisha kati ya wachina,wasingapore,wataiwan,wajapan na wakorea.hivyo wewe kila ukiona macho madogo wajua ni wachina tu.

si vizuri ku-generalize vitu usivyovifahamu,hasahasa mbele ya kadamnasi,mimi sijalinganisha sheria za mungu na china.nimekupa taarifa kuwa katiba ya nchi yao hairuhusu christianity in all means.nchi zenye uhuru wa kuabudu sio zote ndugu.

kuhusu huyu askofu kuwa na Hummer mie simuonei wivu BUT haya ni magari ya ma PIMP,sasa kapewaje na waumini wa kikorea/kijapan?christian families in these countries drive IPSUM/RAUM type of cars.how did they get hold of these hummers?!

kuna vitu vinatia shaka kadri vinavyozidi kutafutiwa maelezo.kama kanunua kwa fedha zake ni hewala pia,sio kudanganya watu kapewa china..,aaaaaaaagh.

Umesema jambo hili haliwezekani China! Je Biblia inadanganya? Matayo 24:14
14
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Injili ya Ufalme itahubiriwa ulimwenguni pote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote. Ndipo ule mwisho utakapokuja.....Je China siyo Duniani?
[/FONT]
[/FONT]
 
ILI KUONDOA UBISHI TULETEENI ADDRESS ZA MAKANISA YA HUYU BWANA CHINA,JAPAN NA KOREA.sio mnatufanya wajinga hapa.

nyie mnafikiri kutaja nchi za mashariki ya mbali ndio mmemaliza mjadala..,sidhani

Nitakuletea Subiri niende Church Kesho,
 
Ur sick....brain washed
Najua mambo ya Mungu kwa wenye Akili, elimu na Hekima ni brain washe d. Hata Mungu anajua unalowaza. Ndiyo sababu biblia inasema katika kitabu cha 1Wakorinto 1:26 to 28
26[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Ndugu zangu, kumbukeni mlivyokuwa mlipoitwa. Kwa kipimo cha kibinadamu, si wengi wenu mliokuwa na hekima. Si wengi waliokuwa na nguvu, si wengi waliozaliwa katika jamaa zenye vyeo. [/FONT][/FONT]27[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Lakini Mungu alichagua vitu vipumbavu vya ulimwenguni ili aviaibishe vyenye hekima, Mungu alichagua vitu dhaifu vya ulimwengu ili aviaibishe vyenye nguvu.
[/FONT]
[/FONT]
 
Najua mambo ya Mungu kwa wenye Akili, elimu na Hekima ni brain washe d. Hata Mungu anajua unalowaza. Ndiyo sababu biblia inasema katika kitabu cha 1Wakorinto 1:26 to 28
26[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Ndugu zangu, kumbukeni mlivyokuwa mlipoitwa. Kwa kipimo cha kibinadamu, si wengi wenu mliokuwa na hekima. Si wengi waliokuwa na nguvu, si wengi waliozaliwa katika jamaa zenye vyeo. [/FONT][/FONT]27[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Lakini Mungu alichagua vitu vipumbavu vya ulimwenguni ili aviaibishe vyenye hekima, Mungu alichagua vitu dhaifu vya ulimwengu ili aviaibishe vyenye nguvu. [/FONT]
[/FONT]

Dr.Mbura, Haki yenu isipozidi haki ya mafarisayo, hamwezi kuingia mbinguni. Ni maneno yake Yesu mwenyewe. kardinali Pengo, mkatoliki na kwa mujibu wa mtazamo wa kipentekoste hajaokoka (maana ya hili unalijua).

kwa sasa
1 - anajenga vocational training na hospital kisiju-mkuranga ambako 99.5% ni waislamu-nimeshuhudia kwa macho yangu.

2-alipewa msaada na shirika moja la kiitaliano, lakini yeye akaamua kutoa msaada huo kujenga modern state of the art labour ward and theater na kuikarabati hospitali yote ya wilaya ya mafia pale kilindoni (note that 98% ya Mafia dwellers ni waislamu)

4-wakati wa jubilei aliomba gari land cruser, but amelipeleka kuhudumia wagonjwa hopitali ya mafia.

3 - kituo cha PASADA kusaidia walioathirika na HIV pale chang'ombe, na vitu kibao.

4 - na nenda Kanisani St joseph uliza gari la kardinali analotumia utaambiwa ni Toyota escudo, linapaki pale karibu na mlango wa kuingilia ofisi za radio tumaini.


Je leo ikiwapo hukumu kwa haya mambo machache niliyokutajia ni nani scale yake ya matendo ya rehema na huruma itakuwa juu na atapata kibali mbele za Mungu.

Mimi si mkatoliki lakini wachungaji wa kipentekoste wanachefua kwa lavish life wanayoikimbilia.

Mwendawazimu peke yake ndiye anayeweza kutetea, maisha ya kianasaanasa ambayo yamekuwa fashioni kwa wachungaji wetu hawa.

Ikiwa huoni shida hapo linganisha maisha hayo ya pengo na ya huyo mchungaji wetu na uone nani anatumika shambani mwa BWANA kwa moyo wake wote na kwa akili na mali zake zote.
Ningependa pia useme mpaka amenunua hiyo hammer (maana kusema amepewa na wajapani huo ni uongo), amefanya tendo gani la huruma na rehema kwa wenye dhiki ndani ya kanisa lake na nje ya kanisa.
 
Najua mambo ya Mungu kwa wenye Akili, elimu na Hekima ni brain washe d. Hata Mungu anajua unalowaza. Ndiyo sababu biblia inasema katika kitabu cha 1Wakorinto 1:26 to 28
26[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Ndugu zangu, kumbukeni mlivyokuwa mlipoitwa. Kwa kipimo cha kibinadamu, si wengi wenu mliokuwa na hekima. Si wengi waliokuwa na nguvu, si wengi waliozaliwa katika jamaa zenye vyeo. [/FONT][/FONT]27[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Lakini Mungu alichagua vitu vipumbavu vya ulimwenguni ili aviaibishe vyenye hekima, Mungu alichagua vitu dhaifu vya ulimwengu ili aviaibishe vyenye nguvu.
[/FONT]
[/FONT]

Ushindwe na ulegee ninashawika umtumishi wa shetani....Nyakati za mwisho kutakuwa na manabii wa uwongo watakaopotosha wengi Mat 24: 11. Hapa umepiga chini Mbula (Mbura)
 
Umesema jambo hili haliwezekani China! Je Biblia inadanganya? Matayo 24:14
14
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Injili ya Ufalme itahubiriwa ulimwenguni pote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote. Ndipo ule mwisho utakapokuja.....Je China siyo Duniani?
[/FONT]
[/FONT]

Shida yako wewe Dr. Mbura una papara. Yaani jinsi unavyoeleza inaonyesha ni jinsi gani wewe ni mmoja wa wale walokole waliochanganyikiwa kabisa, umekuwa brainwashed kiasi kwamba ukiambiwa uuze nyumba yako ukakae ya kupanga ili umjengee bwana kanisa utafanya bila hata kuuliza. Tatizo watu wanaloliongelea hapa ni THAMANI ya gari, huyo mchungaji ni "mwizi limbukeni", na hana aibu na kwa wewe kuweka huo mstari wa Biblia hapo juu ndio umejifunga mwenyewe. kuna vijiji vingapi vinahitaji makanisa hapa Tanzania? Iweje aende china kama sio njaa ya utajiri? Kwa nini asinunue basi hata landcruiser then inayobaki azunguke Tanzania nzima akihubiri Injili kwanza kabla ya kuenda Asia kama mstari wako unavyoeleza?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom