PanguPakavu Amy
Senior Member
- Jul 7, 2007
- 145
- 8
Christianity in China http://en.wikipedia.org/wiki/Christianity_in_China
Ndugu Christianity in China is as scarce as democracy.
Christianity in China http://en.wikipedia.org/wiki/Christianity_in_China
acha kuwadanganya watu wewe china kuna makanisa na dini
wewe ndie unaedanganya watu;kama umepelekwa uko kulinda
magodown ya watu watu wanapita huko kwa trainning monthly
wewe kama uamini uitaji kuwadanganya watu kwa uwepowako huko,..
ndugu with due respect to you naomba nitajie huduma moja tu ya kijamii inayofanywa na makanisa uyoga...ie lusekelo,wa ubungo,kakobe and the like....moja tu ...!! Na ndio maana hawahitaji misamaha ya kodi na wala hawastahili!!!
katika miaka 10 iliyopita:
wenzao anglikan wana chuo kikuu st john dodoma[wanafunzi karibu 4,000],wanajenga hospitali ya macho,wanachimba visima..etc
walutheri wamejenga tumaini university ..[wanafunzi karibu 10,000]...mahospitali mengi tu,visima ,miradi ya yatima..etc...acha mbali mahospitali na mashule yaliyokuwapo...kcmc,selian etc..
wa menonite wanacho chuo kikuu mbeya ...kinaitwa kisanji...na miradi mingi mingi ya jamii kama ilivyo aic...
wasabato wanacho chuo kikuu cha arusha...
waislamu ndugu zetu wanamiliki dispensary nyingi tu,wanachimba visima na mashule ..na karibuni chuo kikuu...
waismailia wanamahospitali,chuo kikuu na miradi mingi tu...na wanamiliki benki..
wakatoliki ...wana mashule kuanzia ya awali hadi vyuo vikuu....st augustine[wanafunzi 10,000],st joseph technology,...acha mashule lukuki ...sasa kila parokia ..inayo shule au iko mbioni kukamilisha [nchi nzima],acha shule za watawa,kuna hospitali za wilaya nyingi tu zinategemea rc,.almost 40% of health service in tanzania...na mwaka huu wanafungua chuo kikuu cha kilimo songea.....na wanamiliki benki
tungependa kuona sadaka za ndugu zetu zikitumika kujenga miradi ya kusaidia watanzania....sadaka siku hizi ni kama kodi ..wakristo au waislamu wanaozitoa wanayo haki ya kuambiwa zimetumikaje[tunatambua kuwa watumishi wa mungu pia wanastahili kuishi maisha mazuri ...lakini iwe baada ya kutumia vema sadaka za waumini]
mimi naenda makanisa mbali mbali kuna aliyesema wanatumbua[hawakosekani ni wanaadamu]...lakini mwisho wa siku ..kazi ya kuudumia kondoo na kutoa huduma inaonekana.........na ukweli na kuwa makanisa kama katoliki,lutherani,anglikan, morovian etc ..siku hizi hao mapadre hawashiki sadaka ...kamati ya sadaka inaongozwa na waumini na wao ndio huwapangia matumizi....sasa ukiongelea kula sadaka ..labda wale viongozi wa waumini......na pesa benki signitories ni baraza la wazee..na padre au mchungaji.
watu wanatoa sadaka na wanaona kazi..kwani makundi maalumu kama wazee,wajane ,na yatima na walemavu..yanatambuliwa kila kaya na wale wasiojiweza kwa chakula hupatiwa chakula bure kila wiki...na siku hizi havitokki ulaya ..nguo na vyakula wanatoa watanzania wenyewe!!
kuna watumishi kama mama rwakatare natambua anazo huduma za kijamii anatoa[pamoja na kuwa katika siku za karibuni ..zimehojiwa] lakini angalau zipo!!
mwingira ...anayo miradi ya uzalishaji mali ....na benki..sijui kuhusu huduma za jamii na sijui kama ni miradi inayomilikiwa kwa pamoja kama ministry au ni yake na familia yake..
kwa kifupi sadaka lazima zinufaishe watoaji...kwa kupelekea kupanua huduma kiroho na kutoa huduma za kimwili;;.....kwani miili yetu ni hekalu la mungu na watumishi au washungaji tunapotoa sadaka wanawajibika kwa miili na roho zetu....!!!
pamoja na utajiri wote wa kanisa katoliki, kardinali pengo anatumia suzuki escudo, interest yake ni kusaidia watu kwa sasa amejenga dispensari kisiju mkuranga.
Hamwoni kuwa something is wrong with these bishops who thrills for high life/
Rafiki kama una muda nenda pale KANISANI UBUNGO sasa hivi utawakuta wajapani na wachina WANAJIFUNZA UCHUNGAJI, Lisilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana Biblia inasema lazima injili ihubiriwe duniani kote kabla Yesu hajarudi. Je sheia za wachina na za Mungu ni nani zaidi. Amini usiamini injili imeshaingia japani na chinaACHA UONGO WEWEEEEE!!!china hakuna DINI,hairuhusiwi mtu kuingia Airport ya China na BIBLIA zaidi ya 2,HAIRUHUSIWI kumhubiria mchina injili ya aina yoyote!Makanisa yamepigwa marufuku,chinese do not observe christianity,there are only few moslems in western part of china named uighurs(tamka wigars),sasa hizo injili huko china alikuwa anamhubiria nani??!!
Tatizo nyie watu mnafikiri kila mtu yupo kariakoo,ukiropoka kwa kuorordhesaha manchi ya watu basi easy ride huh!
Kama huu ndio utetezi wenu,this is extremely fishy.
Unashangaa Hummer? ALIPEWA HUMMER MBILI NA MAGARI MENGINE YA KIJAPANI AMEWAGAWIA WACHUNGAJI WENZAKE. Hummer ingine inauzwa kama kuna mtu anataka pesa yake tu. Pia bei mmekuza sana siyo 250 milioni uje na 80 milioni tu! kwani siyo mpya zote ni used.
Subirini miaka mitano mbele mtaona mambo makubwa na magumu ambayo Mungu anaenda kutenda kupia lile Kanisa. Wengi walio kinyume leo kesho wanaenda kuwa wapendwa palepale kilimani mwa Bwana
Rafiki kama una muda nenda pale KANISANI UBUNGO sasa hivi utawakuta wajapani na wachina WANAJIFUNZA UCHUNGAJI, Lisilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana Biblia inasema lazima injili ihubiriwe duniani kote kabla Yesu hajarudi. Je sheia za wachina na za Mungu ni nani zaidi. Amini usiamini injili imeshaingia japani na china
Sijakataa wachina kujifunza injili tanzania,Mbona unachanganya mambo!!nimekwambia hilo jambo haliwezekani china,Watanzania/waafrika wengi hawawezi kutofautisha kati ya wachina,wasingapore,wataiwan,wajapan na wakorea.hivyo wewe kila ukiona macho madogo wajua ni wachina tu.
si vizuri ku-generalize vitu usivyovifahamu,hasahasa mbele ya kadamnasi,mimi sijalinganisha sheria za mungu na china.nimekupa taarifa kuwa katiba ya nchi yao hairuhusu christianity in all means.nchi zenye uhuru wa kuabudu sio zote ndugu.
kuhusu huyu askofu kuwa na Hummer mie simuonei wivu BUT haya ni magari ya ma PIMP,sasa kapewaje na waumini wa kikorea/kijapan?christian families in these countries drive IPSUM/RAUM type of cars.how did they get hold of these hummers?!
kuna vitu vinatia shaka kadri vinavyozidi kutafutiwa maelezo.kama kanunua kwa fedha zake ni hewala pia,sio kudanganya watu kapewa china..,aaaaaaaagh.
Hawa unaoona wanapinga ni wabaili hakuna lolote;hawa wamejaa roho za uchoyo ukiona mtu kama huyu hata kanisani atoi sadaka akijua ya mchungaji huyuhuyu hata nyumbani anunui vyakula watoto wale akihisi mkewe atapeleka kwa wazazi wake;hii ni roho chafu penda kutoa uzidi kuongezewa hiyo ni biblia mtasema sana mafisadi wajanja wameanza kupeleka hela kwenye madhabahu nyie bakini na makesi mahakamani mpaka jakaya aondoke aiishi na siku anaondoka makanisa yamejengeka vibaya sana na watu wanaachiwa huru,...ukiwa mbaili hotiendelea,hawa watu wanaoogopa zaka hata wazazi wao ndio wale wako vijijini wanateseka wanakosa hela huku dar wanawagawia machangu kwa kuitwa mapredeshe
msimruhusu shetani fungue roho zenu;mungu akawafune leo hii akwahifadhi in jesus name
Sijakataa wachina kujifunza injili tanzania,Mbona unachanganya mambo!!nimekwambia hilo jambo haliwezekani china,Watanzania/waafrika wengi hawawezi kutofautisha kati ya wachina,wasingapore,wataiwan,wajapan na wakorea.hivyo wewe kila ukiona macho madogo wajua ni wachina tu.
si vizuri ku-generalize vitu usivyovifahamu,hasahasa mbele ya kadamnasi,mimi sijalinganisha sheria za mungu na china.nimekupa taarifa kuwa katiba ya nchi yao hairuhusu christianity in all means.nchi zenye uhuru wa kuabudu sio zote ndugu.
kuhusu huyu askofu kuwa na Hummer mie simuonei wivu BUT haya ni magari ya ma PIMP,sasa kapewaje na waumini wa kikorea/kijapan?christian families in these countries drive IPSUM/RAUM type of cars.how did they get hold of these hummers?!
kuna vitu vinatia shaka kadri vinavyozidi kutafutiwa maelezo.kama kanunua kwa fedha zake ni hewala pia,sio kudanganya watu kapewa china..,aaaaaaaagh.
ILI KUONDOA UBISHI TULETEENI ADDRESS ZA MAKANISA YA HUYU BWANA CHINA,JAPAN NA KOREA.sio mnatufanya wajinga hapa.
nyie mnafikiri kutaja nchi za mashariki ya mbali ndio mmemaliza mjadala..,sidhani
Nitakuletea Subiri niende Church Kesho,
Najua mambo ya Mungu kwa wenye Akili, elimu na Hekima ni brain washe d. Hata Mungu anajua unalowaza. Ndiyo sababu biblia inasema katika kitabu cha 1Wakorinto 1:26 to 28Ur sick....brain washed
Najua mambo ya Mungu kwa wenye Akili, elimu na Hekima ni brain washe d. Hata Mungu anajua unalowaza. Ndiyo sababu biblia inasema katika kitabu cha 1Wakorinto 1:26 to 28
26[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Ndugu zangu, kumbukeni mlivyokuwa mlipoitwa. Kwa kipimo cha kibinadamu, si wengi wenu mliokuwa na hekima. Si wengi waliokuwa na nguvu, si wengi waliozaliwa katika jamaa zenye vyeo. [/FONT][/FONT]27[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Lakini Mungu alichagua vitu vipumbavu vya ulimwenguni ili aviaibishe vyenye hekima, Mungu alichagua vitu dhaifu vya ulimwengu ili aviaibishe vyenye nguvu. [/FONT]
[/FONT]
Najua mambo ya Mungu kwa wenye Akili, elimu na Hekima ni brain washe d. Hata Mungu anajua unalowaza. Ndiyo sababu biblia inasema katika kitabu cha 1Wakorinto 1:26 to 28
26[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Ndugu zangu, kumbukeni mlivyokuwa mlipoitwa. Kwa kipimo cha kibinadamu, si wengi wenu mliokuwa na hekima. Si wengi waliokuwa na nguvu, si wengi waliozaliwa katika jamaa zenye vyeo. [/FONT][/FONT]27[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Lakini Mungu alichagua vitu vipumbavu vya ulimwenguni ili aviaibishe vyenye hekima, Mungu alichagua vitu dhaifu vya ulimwengu ili aviaibishe vyenye nguvu.
[/FONT][/FONT]
Umesema jambo hili haliwezekani China! Je Biblia inadanganya? Matayo 24:14
14[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Injili ya Ufalme itahubiriwa ulimwenguni pote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote. Ndipo ule mwisho utakapokuja.....Je China siyo Duniani?
[/FONT][/FONT]