Askofu anamiliki HAMMER ya 250million!

Status
Not open for further replies.
wewe jamaa unaongea upuuzi mtupu, na umetumwa na shetani.angalia, watumishi wengine hao ukiwagusa, unakuwa unagusa mboni ya jicho la Mungu, unaweza ukajikuta unalaaniwa milele, imeandikwa "washindanao na Bwana watapondwa kabisa, Mungu akiwa upande wetu hakuna aliye juu yetu", hivyo ukianza kushindana na mtu wa Mungu, unashindana na Mungu mwenyewe na utapondwa kabisa hakika.

kama wana magari mazuri, waache, unajuaje kama Mungu ndo amewaambia wafanye hivo, ulitaka wavae kandambili zilizotoboka kama mashehe wenu? Mungu anasema mtenda kazi astahili posho lake, akifanyia kanisani, kuna share imewekwa kabisa itakayoenda moja kwa moja kwenye account yako. kama umekuwa na waumini wengi, ina maana share itakuwa kubwa, na unaweza kuitumia vyovyote upendavyo, kuhusu waumini, hakuna hata anayelalamika, huyo anayelalamika ni mnafiki mtumishi wa shetani na hajaokokoka na mwisho wake u karibu. WACHUNGAJI WENGINE wanapewa tu magari hayo. kuna mmoja ana makanisa Japan, yule wa Ubungo, gari alipewa na wajapani, makanisa ya kule yalimnunulia, kama ndo mnamsema yeye, kwasababu yeye ndo mwenye hio gari. ILE GARI ALIPEWA JAPAN, ana branch ya makanisa Korea, Japan na china, na anazungu dunia nzima kama beny hinn, watu wanaopona wanawapa magari na chochote anachotaka. fumba mdomo wako.

ACHA UONGO WEWEEEEE!!!china hakuna DINI,hairuhusiwi mtu kuingia Airport ya China na BIBLIA zaidi ya 2,HAIRUHUSIWI kumhubiria mchina injili ya aina yoyote!Makanisa yamepigwa marufuku,chinese do not observe christianity,there are only few moslems in western part of china named uighurs(tamka wigars),sasa hizo injili huko china alikuwa anamhubiria nani??!!

Tatizo nyie watu mnafikiri kila mtu yupo kariakoo,ukiropoka kwa kuorordhesaha manchi ya watu basi easy ride huh!

Kama huu ndio utetezi wenu,this is extremely fishy.
 
I have nothing personal against these so called preachers,BUT when they prey on the weak that is when i have something against them.

What kakobe,this hummer Guy,and many others are doing is trying so hard to potray that being a pastor pays as well!

A hummer is a status car,same as a Ferrari,you don't buy a ferrari and complain about Fuel Consumption,the fact that an average hummer MPG is less than 10MPG(4km per liter) says a lot about what type of a car it is.

a Hummer buying person is an attention seeker.just look at that lady on the above picture!PERIOD,do we need these for our religious leaders?!
My problem here is why are you people banking your blames on Pentecostal priests and not protestant priests. Please stop this evil
speculations.
Do you want us to believe that pentecoastals priests have no rights over offerings while protestants have rights?
Mshindwe kwa jina la Yesu.
 
My problem here is why are you people banking your blames on Pentecostal priests and not protestant priests. Please stop this evil
speculations.
Do you want us to believe that pentecoastals priests have no rights over offerings while protestants have rights?
Mshindwe kwa jina la Yesu.

we are building our talk around the parameters presented in front of us.

-this guys is a preacher in a 3rd world country
-he definitely knows what poverty means
-he accepts a 250M car,which consumes 300K gasoline a day,which amounts to more than 100M a year to be spent on gas alone!!
-his supporters come here try to brainwash us that the car was given by his friends in Japan,because he has churches in Japan as well as CHINA and Korea.(this careless fella forgets that china is a country that forbids christianity at all costs).
-Japanese are one of the most down to earth people,honest,enivronmental friendly Christians around,i would expect a PIRUS from a japanese christian,NOT A HUMMER!!culturally japanese never give gifts not made in Japan,or that has no Japanese influence.A HUMMER looks like a gift from VEGAS,not Tokyo,nagoya,or kyoto!!
-Apparently these supporters failed to realize that in JF there are well connected people from all dots of life,i won't be supprised if one day i read of how he got the car in these forums.
-hamna anayemkataza kuwa na HUMMER lakini it's morally incorrect,same way we hold our politicians to higher standards,we do hold our religious leaders to even higher standards,

NO FREE RIDE,NEVER.
 
Bado nasisitiza kuwa Bwana Yesu ambaye wachungaji,maaskofu nk wanajaribu kumu emulate kiuongozi hakumiliki punda wala farasi kwa kuwa si mambo ya msingi kwa kiongozi wa kiroho.Unapokuja kanisani na Hummer na waumini wako wako wamekuja kwa miguu utaeleweka kweli?
Twambie itakuwaje muumini akija na hummer na waumini wenzake wakaja kwa miguu inakuwaje? Si ni swala la upendo siyo? Jibu inakuwaje?
 
Tatizo ninaloliona kwa hawa Wachungaji, mitume, maaskofu, manabii ni kwamba wanaowakamua ni watu masikini kabisa katika jamii yetu, watu wenye elimu na uelewa mdogo kabisa, wengi wao wanawake wa majumbani na mitaani.
Kuna namna ya kuwadhibiti brainwashers hawa?
Wakomboe watanzania kwanza kutoka kwenye wizi wa wazi wazi. Wadhibiti sisi m kwanza kama utaweza alafu njoo ujaribu kanisani uone kama utaweza.!
 
Ni kweli ndugu yangu wako wanaofanya hivyo lakini je kama unaamini Mungu basi ifunike kwa damu ya Yesu na ombea hela yako imfikie mlengwa na kzia Mungu amkemee yule mwovu asiile hiyo sadaka yako, ukiona mtumishi wako ni mwizi basi ondoka, mwombe Mungu akupatie mahali sahihi pa kuabudu.
Mfano kwangu sasa hivi kuna list kabisa ya yatima, wajane na wasiojiweza inawekwa kwenye notisi board na mtu ukivutwa waweza toa, mchukua au saidia chochote, lakini moyo wa kutoa sio lazima iwe kanisani hata mitaani tunaishi nao na tunapaswa kuwasaidia pia bila ubaguzi, kwa hiyo Mungu anaona bila kujali umetolea wapi.
Mama Joe swala la ubadhirifu liko kote au niseme hata makanisa yasiyo ya kiroho na hata waislamu kotehuko kwenye masinagogi yao kuna walio na ubadhirifu maana wengi tumetoka huko tunapafahamu. Si unasikia vurugu za kila siku mara Arusha mara wapi!
Point hapa ni je kila mpentekosti ni mbadhirifu? hivi ndivyo hawa wanavyotaka kutuaminisha wakati si kweli.
 
Ndo dini hizi hzi mfano katoliki wanaweka sheria watumishi wao wa mungu wa sio na wajitoe kwenye mambo ya dunia.. ili iwapunguzuie vishawishi.. hivi fikiri wale tenashara(wanafunzi w yesu ) wangekuwa wameoa au wakio oa tayari wangewarudia wake zao wangepata mda na yesu kweli.. wangeweza kuzunguka na yesu from place to place huku wakijua nyumbani wameacha mke na watoto amabo wanahitaji kwenda shule, wanahitaji huduma muhimu.. wamevaa nguo.. je wanaumwa.. nadhani yesu alionyesha wazi hw a preacher or Priest should be..
Luke 6:12-19.. when out of all his disciples he chooses 12 as his Apostles nowing that these should be examples of Preachers. sasa sisi wote ni disciples of Jesus and today's Preachers are the Apostles so do they look any similar to Jesus' apostles
Nani alikudanganya kwamba wale disciples hawakuwa na wake? Kasome vizuri biblia yako.
Kwa taarifa tu kuna waliokuwa na wake. Tena wale prominent na hatuoni Yesu akilikemea hilo. Sana sana aliwambia jambo la kuoa au kutooa si jambo rahisi hivyo. Akawashauri kila mtu abebe atakachosikia anakiweza!
 
Hee mbona kazi, kumbe ana branch ya makanisa mpaka japan, china na korea, hebu tujiulize jamani, vijiji vyetu vingapi vinahitaji kujengewa makanisa, barabara, shule, hospitali na kadhalika? Au hizo ni kazi za serikali tu? Wewe utaachaje kuhudumia kwanza wale wa nyumbani kwako wenye shida kupita kiasi uende kusaidia watu wenye uchumi mkubwa kama wa waasia kama sio unafuata maslahi? Na kama alipewa hiyo gari na wajapan, si angekuwa MTUMISHI BORA ZAIDI kama angewaambia ukweli kuwa, hii gari ni expensive mnaonaje tukinunua gari ya kawaida na kuwapa misaada watoto yatima wenye virusi vya ukimwi? Mnatapeliwa mkiwa macho kabisa...
Wale wale walioona yule mwanamke akimpaka Yesu mafuta expensive na wakaja na hoja ya kiwizi kama hii. ( Haya mafuta yangeuzwa yangeleta pesa nyingi ya kutunza yatima) Yeye aliwashushua.Naamini biblia haikuacha kitu nyuma!
Nyie mnao pioneer kuuzwa hilo gari ili pesa za ziada zitunze yatima mmetunza wangapi? Kwa mwaka jana umetoa kiasi agani kwa ajili ya yatima?
Kwa kuwa hatujui wewe ulichotoa usitake kujua kama huyu mtumishi wa Mungu aliye juu alitoa kwa ajili ya yatima au la?
 
we are building our talk around the parameters presented in front of us.

-this guys is a preacher in a 3rd world country
-he definitely knows what poverty means
-he accepts a 250M car,which consumes 300K gasoline a day,which amounts to more than 100M a year to be spent on gas alone!!
-his supporters come here try to brainwash us that the car was given by his friends in Japan,because he has churches in Japan as well as CHINA and Korea.(this careless fella forgets that china is a country that forbids christianity at all costs).
-Japanese are one of the most down to earth people,honest,enivronmental friendly Christians around,i would expect a PIRUS from a japanese christian,NOT A HUMMER!!culturally japanese never give gifts not made in Japan,or that has no Japanese influence.A HUMMER looks like a gift from VEGAS,not Tokyo,nagoya,or kyoto!!
-Apparently these supporters failed to realize that in JF there are well connected people from all dots of life,i won't be supprised if one day i read of how he got the car in these forums.
-hamna anayemkataza kuwa na HUMMER lakini it's morally incorrect,same way we hold our politicians to higher standards,we do hold our religious leaders to even higher standards,

NO FREE RIDE,NEVER.
Have seen sheiks and Imams driving brand new VX's what comment do you have over them?
 
acha uongo weweeeee!!!china hakuna dini,hairuhusiwi mtu kuingia airport ya china na biblia zaidi ya 2,hairuhusiwi kumhubiria mchina injili ya aina yoyote!makanisa yamepigwa marufuku,chinese do not observe christianity,there are only few moslems in western part of china named uighurs(tamka wigars),sasa hizo injili huko china alikuwa anamhubiria nani??!!

Tatizo nyie watu mnafikiri kila mtu yupo kariakoo,ukiropoka kwa kuorordhesaha manchi ya watu basi easy ride huh!

Kama huu ndio utetezi wenu,this is extremely fishy.

acha kuwadanganya watu wewe china kuna makanisa na dini
wewe ndie unaedanganya watu;kama umepelekwa uko kulinda
magodown ya watu watu wanapita huko kwa trainning monthly
wewe kama uamini uitaji kuwadanganya watu kwa uwepowako huko,..
 
Anybody can be a thug as long as pesa zina kumiminikia, tena huyo mchungaji yuko HONEST ndio maana hata kaweka mambo yake wazi.......lakini wapo viongozi na wachungaji wengine wamejilimbikizia mapesa mafichoni ukionyeshwa unaweza kutamani kujiua.
 
askofu hawa hufanyia brain damage waumini wala hawashtuki na mafungu ya 10 teh teh teh teh


mpwa hiyo sio brain demage,ufahamu ukilijua neno unakula mema ya nchi,,soma malaki 3 : 10
zaka ni uaminifu wako kwa mungu wewe tu
 
Mponjoli si kweli kwamba makanisa ya kiroho huwa hayatoi huduma za kijamii kama inavyotaka kuaminishwa na wengi.
Haya madhehebu yanatoa huduma za kijamii kama ulivyoshauri. fuatilia mwenyewe.

Ndugu with due respect to you naomba nitajie huduma moja tu ya kijamii inayofanywa na makanisa uyoga...ie lusekelo,wa ubungo,kakobe and the like....moja tu ...!! na ndio maana hawahitaji misamaha ya kodi na wala hawastahili!!!
KATIKA MIAKA 10 ILIYOPITA:
wenzao anglikan wana chuo kikuu st john dodoma[wanafunzi karibu 4,000],wanajenga hospitali ya macho,Wanachimba visima..etc

walutheri wamejenga Tumaini university ..[wanafunzi karibu 10,000]...mahospitali mengi tu,visima ,miradi ya yatima..etc...acha mbali mahospitali na mashule yaliyokuwapo...kcmc,selian etc..

wa menonite wanacho chuo kikuu mbeya ...kinaitwa KISANJI...Na miradi mingi mingi ya jamii kama ilivyo AIC...

WASABATO wanacho chuo kikuu cha Arusha...

waislamu ndugu zetu wanamiliki dispensary nyingi tu,wanachimba visima na mashule ..na karibuni chuo kikuu...

waismailia wanamahospitali,chuo kikuu na miradi mingi tu...na wanamiliki benki..

wakatoliki ...wana mashule kuanzia ya awali hadi vyuo vikuu....st augustine[wanafunzi 10,000],st joseph technology,...acha mashule lukuki ...sasa kila parokia ..inayo shule au iko mbioni kukamilisha [nchi nzima],acha shule za watawa,kuna hospitali za wilaya nyingi tu zinategemea RC,.Almost 40% of health service in tanzania...na mwaka huu wanafungua Chuo kikuu cha kilimo songea.....na wanamiliki benki

Tungependa kuona sadaka za ndugu zetu zikitumika kujenga miradi ya kusaidia watanzania....sadaka siku hizi ni kama kodi ..wakristo au waislamu wanaozitoa wanayo haki ya kuambiwa zimetumikaje[tunatambua kuwa watumishi wa Mungu pia wanastahili kuishi maisha mazuri ...lakini iwe baada ya kutumia vema sadaka za waumini]

mimi naenda makanisa mbali mbali kuna aliyesema wanatumbua[hawakosekani ni wanaadamu]...lakini mwisho wa siku ..kazi ya kuudumia kondoo na kutoa huduma inaonekana.........na ukweli na kuwa makanisa kama katoliki,lutherani,anglikan, morovian etc ..siku hizi hao mapadre hawashiki sadaka ...kamati ya sadaka inaongozwa na waumini na wao ndio huwapangia matumizi....sasa ukiongelea kula sadaka ..labda wale viongozi wa waumini......na pesa benki signitories ni baraza la wazee..na padre au mchungaji.

watu wanatoa sadaka na wanaona kazi..kwani makundi maalumu kama wazee,wajane ,na yatima na walemavu..yanatambuliwa kila kaya na wale wasiojiweza kwa chakula hupatiwa chakula bure kila wiki...na siku hizi havitokki ulaya ..nguo na vyakula wanatoa watanzania wenyewe!!

kuna watumishi kama mama rwakatare natambua anazo huduma za kijamii anatoa[pamoja na kuwa katika siku za karibuni ..zimehojiwa] lakini angalau zipo!!

Mwingira ...anayo miradi ya uzalishaji mali ....na benki..sijui kuhusu huduma za jamii na sijui kama ni miradi inayomilikiwa kwa pamoja kama MINISTRY au ni yake na familia yake..

KWA KIFUPI SADAKA LAZIMA ZINUFAISHE WATOAJI...Kwa kupelekea kupanua HUDUMA KIROHO na kutoa huduma za KIMWILI;;.....kwani miili yetu ni hekalu la MUNGU na watumishi au washungaji tunapotoa sadaka wanawajibika kwa miili na roho zetu....!!!
 
Prosperity pastors and private jets
By Tunde Thompson [ozem1234@yahoo.co.uk]
Tuesday, March 17, 2009
bible.gif
[FONT=Times New Roman, Times, serif]Photo: Sun News Publishing[/FONT]
The life of a pastor, or better put, a disciple of God, and that of a banker is like a public service: You can’t have everything; you have to make some choices and make them carefully. If you fail to do so, you may become your own hubris, your own private enemy. But the mission of the two, that of the disciple of God and the banker, is, remarkably distinct.

The former’s mission is much more nobler and higher in the spiritual realm. It is primarily an altar call, and the reward is measured beyond cash and sequinned suits that stand a banker out. Forget that today, many Pastors are looking even more dandy and dapper than many bank executives.

Very few men of God in Nigeria possess that gift of presence, that aura to inspire people to act, to be active participants in the things concerning God’s word, as Pastor Enoch A. Adeboye, General Overseer of the Redeemed Christian Church of God (RCCG), and Bishop David Oyedepo of the Living Faith Word Outreach (aka Winners’ Chapel). They are without doubt, not in the same class as one of their former colleagues (now deceased), Bishop Gabriel Oduyemi of the Bethel Ministries, Inc. Oduyemi, while alive, preached more about the vanishing things of life. like how to wear a perfume and a bow-tie than how to gain salvation through Jesus Christ.

Indeed, many who had watched or listened to the preachings of either Pastor Adeboye or Oyedepo, confessed, they came out feeling like the two preachers were talking to them personally. That’s what in Christian circles, is called the “power of anointing.” Their crusades, many have also testified, command gigantic audiences, larger than a football match involving our national team.

Over the years, both Adeboye and Oyedepo continue to use their gift as apostles of Christ as critical tools in reaching the hearts and minds of millions of people in Nigeria and beyond. I had been at Adeboye’s “Holy Ghost” Night sometime in 1999 as a reporter detailed to see what makes that monthly event special. I was inspired by what I heard; by what I experienced. He moved me by his humility, his simplicity, spirituality and the love of God. I came out of that event drenched in the early morning rain, but strong. The experience that still remains fresh with me is this question: what actually is moving thousands of people to come willingly on the invitation of just one man? Adeboye simply exuded so much warmth that rarefied night. I haven’t had the privilege of experiencing Bishop Oyedepo live, but as editor of Sunday Champion for over five years, he wrote for my paper on Faith every Sunday. Many readers who wrote in said their lives were “touched” positively by many of the things he writes.

Today, he shepherds arguably one of the largest and fastest growing churches in Africa. I know he has built a 50,000 seater auditorium, christened Faith Cathedral (I supposed, named after his wife, Faith). He currently runs a private university known as Covenant University, same as Pastor Adeboye. Both are Pro-chancellors of their universities. I am sure that the recognition of international newsmagazine, Newsweek to put Adeboye on its list of the “50 most Influential People” in the world, is a rewarding honour for his (Adeboye) accomplishments, especially in soul-winning which is the most demanding and priceless requirement of a Christian. This is one area that another influential man of God, Pastor Christ Oyakhilome of the Christ Embassy calls, “each one, reach one.”

But lately, I have noticed something somewhat not really fine in my own thinking, with Pastor Adeboye and Bishop Oyedepo. It is in their rush to acquire private jets and yachts. They are beginning to behave like some CEOs of banks, who despite plummeting value in their equities in the capital market and general global financial crunch, have bought private jets for themselves at astonishing cost. I will come back to that soon, but let’s go back to Adeboye and Oyedepo.

According to ThisDay, Tuesday, March 10, the Redeemed Christian Church of God (RCCG) has acquired a new aircraft at a staggering cost of N4 billion (about $28 million) for their revered Pastor. The aircraft, ThisDay says, is a Gulfstream AXP, with number 707EA. The aircraft is said to have arrived Lagos nine days ago, from the Bahamas. Gulfstream, aviation experts say, is a transatlantic aircraft that has the capacity of about 15 passengers only. It is for the topmost class in society. The report remarked that the RCCG acquired the aircraft years after Bishop Oyedepo acquired his own, a challenger aircraft, with number D6640, which was parked a few metres away from Adeboye’s Gulfstream at the General Aviation Terminal (GAT), Lagos.

ThisDay also claims that Oyedepo “has ordered for another aircraft bigger than the one acquired by Adeboye.” What’s the interpretation of ThisDay report? Simple answer: that there is a rat-race on luxury items between these two men of God. This, it can be insinuated, could incite the faithful of both preachers. Beyond any innuendo that can be imputed in the news report, the likely insidious effect may be more far reaching than the leadership of the two churches can imagine.

But it makes some moral sense to ask: of what lasting benefit is such an aircraft which parts, aeronautical engineers say, are changed after every 12 or 15 months? Whose money is it any way, that of the church or the personal wealth of the preachers? These are the questions that were repeatedly asked few years ago, when three former governors – Peter Odili, James Ibori and Attahiru Bafarawa, were reported to have bought private jets. The same questions were also asked in cold anger by concerned public when recently, five commercial banks in the country were said to have bought private jets for their MDs/CEOs.
Well, I know that the two churches involved – RCCG and Living Faith – are bound to put up a defence that the private jets will leverage the spread of the gospel by their pastors. It makes sense, but it doesn’t make much sense.

First, I know for sure that good life is part of human desire. I also know that the supporters of both Adeboye and Oyedepo will argue, indeed, must insist that ‘nothing is too much for our Papa (as they fondly called them), I maintain, as Billy Graham, one of the foremost evangelists once wrote that life is temporary and fleeting, we are here for just a short time. Therefore we shouldn’t waste our resources on ephemery things. Buying a private jet at a whooping N4 billion does less to the spiritual life.

On this, I have been reminded to quickly look at the seven-point vision of Bishop Oyedepo which includes the desire to possess “wings passing across nations”. This has been variously interpreted to mean an airplane carrying the gospel. Those who support this view, say that since Bishop Oyedepo, for instance, has realized six of his seven-point vision, among them, the “liberation of the world from oppression, “to expand the ministry of God beyond the shores of Nigeria, “to build a tent that can contain 50,000 people and to “telecast the gospel across the nation,” what else remains, if not to cruise on a swanky private jet carrying the gospel? Before I am misunderstood, let me restate that I am not against a pleasurable life, I clearly endorse it through the most legitimate and decent ways.

I don’t mind it for bank CEOs if every other fundamentals of their books and the economy are right, but junketing across the globe in private jets when you are in dire straits is equivalent to the story of the man whose house is on fire and he embarks on a rat expedition. In the case of an apostle of God, the matter of pleasurable lifestyle needs even a much more delicate balancing.

It should be weighed against other exigencies that God demands of you and your obligation to the flock in your care. For me, a private jet, either for a bank executive or a preacher of God’s word makes little sense except the false sense of ego that it gives. I have heard Bishop Oyedepo say that everything he owns, including perhaps the private jets, belong to God, “ I am only holding them in trust to God and for the benefit of mankind.” Yes, it may rhyme, but it doesn’t quite wash. Truly, the most valuable things on earth are neither exotic cars nor airplanes, it’s human beings. And not all things that are legal are acceptable: Common somebody.
 
Hawa unaoona wanapinga ni wabaili hakuna lolote;hawa wamejaa roho za uchoyo ukiona mtu kama huyu hata kanisani atoi sadaka akijua ya mchungaji huyuhuyu hata nyumbani anunui vyakula watoto wale akihisi mkewe atapeleka kwa wazazi wake;hii ni roho chafu penda kutoa uzidi kuongezewa hiyo ni biblia mtasema sana mafisadi wajanja wameanza kupeleka hela kwenye madhabahu nyie bakini na makesi mahakamani mpaka jakaya aondoke aiishi na siku anaondoka makanisa yamejengeka vibaya sana na watu wanaachiwa huru,...ukiwa mbaili hotiendelea,hawa watu wanaoogopa zaka hata wazazi wao ndio wale wako vijijini wanateseka wanakosa hela huku dar wanawagawia machangu kwa kuitwa mapredeshe

msimruhusu shetani fungue roho zenu;mungu akawafune leo hii akwahifadhi in jesus name
 
Teh Teh Teh Askofu anamiliki HAMMER ya 250million! itabidi huku nilipo na mimi nichukue kozi ya Uaskofu au Uchungaji ili na mimi nije nifunguwe kanisa langu ili
watu wanipatie michango yao ama kweli wajinga ndio waliwao Maaskofu Bongo wanatajirika? Ahhh Duniani kuna mambo
 
ACHA UONGO WEWEEEEE!!!china hakuna DINI,hairuhusiwi mtu kuingia Airport ya China na BIBLIA zaidi ya 2,HAIRUHUSIWI kumhubiria mchina injili ya aina yoyote!Makanisa yamepigwa marufuku,chinese do not observe christianity,there are only few moslems in western part of china named uighurs(tamka wigars),sasa hizo injili huko china alikuwa anamhubiria nani??!!

Tatizo nyie watu mnafikiri kila mtu yupo kariakoo,ukiropoka kwa kuorordhesaha manchi ya watu basi easy ride huh!

Kama huu ndio utetezi wenu,this is extremely fishy.

Christianity in China [ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Christianity_in_China[/ame]
 
wahubiri maarufu kama askofu Moses Kulola ..wangependa kuwa na makanisa na magari au majumba ya kifahari wangeweza..kwani wao ndio waazilishi wa huduma za mahubiri na uponyaji hapa nchini ....lakini kamwe hawakuingiwa na tamaa ya kufungua makanisa yao wenyewe,hawakutukana watu ,...wanaheshimika sana ....na hadi leo wanaishi maisha ya kawaida kabisa kama watu wanaowahubiria .....pamoja na kuwa wangeweza kuwa na utajiri wautakao....wamebaki watii mbele ya makanisa yao kama TAG ...badala ya kuanzisha makanisa ovyo.....hawa wa sasa kila mmoja anataka uaskofu ndo maana kila mmoja anaanzisha kanisa lake...

Tazama pia mtumishi kama Mwakasege ....anao watu wengi wanofuatilia mahubiri yake Tanzania na hata nje ...lakini daima hajautaka uchungaji sembuse uaskofu...amebaki mtii ndani ya kanisa lake la Kilutheri...

Hata Padre Nkwera pamoja na kutofautiana na kanisa katoliko .....ameshinda majaribu ya kutakiwa aanzishe kanisa lake sambamba ...pamoja na ukiritimba wote kama ilivyo kawaida ya kanisa katoliki...amebaki mkatoliki na hakutaka uaskofu bali anaendesha kituo cha maombezi ambacho jumapili hutoa fursa watu kwenda kanisani maparokiani.....na siku hizi kule kutengwa kumeondolewa...pamoja na kuwa bado kituo chake hakijatambuliwa rasmi ndani ya kanisa ....amesaidia kanisa kukubali mabadiliko na kukubali mapadre wenye vipaji wawe na vituo vya maombezo vinavyoratibiwa na kanisa ...na tayari vipo vingi vya namna hiyo...ikiwemo kuundwa vyama vya kusali na maombi ndani ya makanisa ie wakarisimatiki[ni kama walokole fulani] ambacho kinatoa fursa kwa waumini wanaopenda kuomba zaidi [wanasali kila siku na kumlilia Mungu kwa masaa mengi ]na kufanya uponyaji kufanya hivyo ndani ya kanisa bila kuhitaji kuhama kanisa .....kufuata huduma hiyo kama zamani....

Msingi wa haya niliyoeleza ni kuwa haya makanisa mapya yangeweza kubakia chini ya mwavuli mmoja wa TAG au Pentekoste ....na kuwa na Askofu mmoja mkuu na wengine waandamizi ...ingeweza kutoa mfumo rasmi na hata kurahisisha mawasiliano na serikali au wadau na wangeweza kuwa tishio na kupanuka zaidi na wangeweza kuwa na miradi mikubwa ya kijamii ....na zaidi wangekuwa endelevu...kuliko kujenga kanisa juu ya mwanadamu ..siku akiwa hayupo kwa sababu yeyote kanisa litakufa na jengo kujeuka Ghala...tofauti na wangekuwa kwenye mwavuli mmoja wa makanisa yao!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom