Askofu anamiliki HAMMER ya 250million!

Status
Not open for further replies.
Watumishi kama hawa wanaowakamua waumini wao sadaka huku wao wakitumia sadaka hizo kuishi kama wapo peponi hapa duniani ndio watakaokuwa kuni zetu huko mbinguni.,bora Jesus arudi tu..
 
4/20/09

JOEL OSTEEN




J
oel Osteen, professional con man- liar- cheat. There aren't enough derogatory words in the English language to describe just how deceitful- how malicious this man- and many others like him- really are.

My regular audience knows full well that I am indeed a proud Atheist. Sure, some consider my views to be extremely "conservative", but I cross the lines- no, I blur the lines (and quite frequently, I might add). The point is, my personal outlook upon life is comprised of various philosophies that I've carefully studied then have adopted as my own. Just like it says on the main page of my website, I am neither "liberal" nor "conservative". Just wanted to clear the air.

Okay, back to Mr. Osteen. Joel Osteen is a wealthy son-of-a-bitch. And I have no qualms with the rich. I say, people should be allotted the freedom to make as much money as they so desire (a philosophy held by the American founding fathers- who incidentally, were quite Atheistic themselves). But when someone makes millions of dollars through deceit and all manner of trickery- THEN I have a problem with that person.

Joel Osteen is nothing more than a motivational speaker- yet he attracts HUGE audiences- stadium sized crowds in fact (that rival the scope of Obama's 2008 campaign rallies). And here's where the trickery comes into play- Mr. Osteen passes a collection plate (or several hundred). In one night, the many thousands of gullible patrons to Mr. Osteen's church donate at least ten percent of their personal incomes (because that's what the Bible demands one ought to give to a religious institution).

osteens.jpg

Above: Joel and his wife, Vikki.Don't get me wrong- this is not just an attack on Mr. Osteen. It's an attack on every goddamned preacher who walks around in thousand dollar suits, with diamond rings, preaching the gospel- the "good word" which was originally spread by a homeless man- Jesus- who wore robes and sandals- a man who said that it was "easier for a camel to pass through the eye of a needle than for a rich man to enter into the Kingdom of God".

Mr. Osteen's "church" is a multi-million dollar stadium-sized establishment equipped with surround-sound speakers, gigantic video screens, and a huge rotating globe on stage. It's ridiculous. And every time I turn on the television and see this clown working the audience, I cringe. I can't believe people are unable to see through this perfectly legal con operation- and that they just throw their money at this guy like it was nothing.

Both Joel Osteen and his wife, Victoria have books out- best sellers. I wouldn't lower myself to read these pieces of garbage, but I'm certain that they're full of shit. I won't attempt to "disprove" religion in this particular article- that's a subject I've covered many times in the past. But here's the deal- if you're pulling in truck-loads of cash by pushing fairy-tales upon the ignorant public, then you're the lowest piece of dirt imaginable.

Joel Osteen has a private jet, a mansion, a fleet of vehicles, personal trainers, house maids, secretaries, and more. And here he is, preaching about how if your business is doing bad, fear not- for "God will turn things around for ya". Hmmm. Wonder why God isn't "turning things 'round" for all those kids in Africa- you know, the ones with the bloated stomachs- who have flies buzzing around their heads- who haven't eaten in weeks (if not years). Tisk tisk, Mr. Osteen.

The bottom line- Joel Osteen and everyone else in his league- are malicious cancers in the World. In my opinion, the best way to eradicate these cancers is through the dissemination of knowledge. It's not that I personally "care for my fellow man" and want to rescue him from his delusions- but by psychologically disconnecting people, we will create a chain reaction that has the potential to destroy religion once and for all. Joel Osteen will then have to try something else- like flipping burgers.

GRANT J. KIDNEY
 
Kondoo wa sku hizi kweli wabishi! mnamtolea bwana halafu mnahoji matumizi!!!!!??
mimi naona ni haki kabisa mtumishi wa bwana kununua hummer, angenunua lambo ingekuwa balaa! nachotaka kuwaambia waumini wenzangu ni kwamba kama unatoa kwa moyo mmoja hautarudi nyuma kumsengenya mchungaji wako!! na kama unamashaka naye ongea na wazee wa kanisa muwe mnasomewa mapato na matumizi!!! lakini kuongelea nyuma ya mgongo wake na wakina shigongo haina maana, unakuwa ni UNAFKI wa hali ya juu. Na kama unahisi kuipeleka sadaka yako kanisani ni kupoteza, wape maskini wapo barabarani kibao! HAKUNA MTU ananilazimisha kutoa sadaka wala fungu la kumi kanisani.
 
Ndugu Ujengelele I dont agree with most of what you have written. These are people who are preaching the word of GOD. They preach for people to turn away from doing sins and live good prosperous lives. Dont you wonder why the churches where they preach become full? It is because they have found truth in the gospel that is preached. Many had gone to other places such as witchdoctors but did not get any success. I request you to allocate some time to just listen to what is being preached and I am sure you will be surprised at what you have been missing for a long time. I pray that you change from being an Atheist to become a good Christian.
 
Mwacheni mchungaji wa watu,ila nashauri pia haya makanisa ya kiroho yatoe huduma za jamii kama elimu na afya kama katoliki na lutheran.

Maana mbinguni kweli tunaenda lakini elimu na afya hapa duniani ni muhimu kabla hatujafika kwa baba muumba.
 
mungu aendelee kumuongezea na mengine maandiko yenyewe yanasema aliyenacho na atazidi kuongezewa ;)
 
Kuna Bro 'angu ana sali kwa huyu askofu anae miliki hilo Hammer tena jekundu akaniambia alipewa zawadi, nilipo jaribu kumuuliza nani alitoa zawadi hakuwa na majibu maana waaumini hawaruhusiwi kumhoji askofu.
 
"Tajiri kuingia peponi ni vigumu kuliko ngamia kupenya katika Tundu la sindano"

Huu msamiati wameufuta nini kwenye bible zao??!
 
lol.....Cha ajabu nini askofu kumiliki hammer!!! Mtumishi wa Mungu anakula madhabahuni kwake.

Asante Pretty!Umenena vema kabisa.
Wandugu... kuna ishu nyingine hata siyo za kujadili.

1.Huyo askofu kwanza hajamwibia mtu... amejenga hoja watu wakatoa lile fungu la kumi! Fungu hili huyo mtumishi atawajibishwa na yule aliye juu na siyo wewe na mimi.Tuwashangae wale wanaonunua magari hayo kwa kodi za wananchi badala ya kujenga mabarabara na huduma nyingine muhimu maana uwajibishwaji uko mikononi mwetu wanadamu na hatujaweza kuwawajibisha!
2. Hivi kununua Hummer ni ishu sana ki hivyo? Jaribuni kufanya utafiti muone badala ya kuja hapa na kuonyesha ignorance waziwazi. Kila gari hata kama ina jina kubwa, gharama yake inategemea.Kuna Hummer mpaka za $20,000! sasa unaweza kulinganisha na shangingi la $125,000 na haya ni magari ambayo yapo barabarani thanks to u and me kwa kulazimishwa kulipa kodi.Kodi haitolewi kwa hiari kama fungu la kumi.

3. Watumishi wa Mungu waacheni wawe na maisha yao kama ambavyo wewe na mimi tunatafuta maisha mazuri kwa kazi zetu.Utumishi huo pamoja na kuwa huduma ya kiroho pia ni kazi - lets face it .period!
 
Asante Pretty!Umenena vema kabisa.
Wandugu... kuna ishu nyingine hata siyo za kujadili.

1.Huyo askofu kwanza hajamwibia mtu... amejenga hoja watu wakatoa lile fungu la kumi! Fungu hili huyo mtumishi atawajibishwa na yule aliye juu na siyo wewe na mimi.Tuwashangae wale wanaonunua magari hayo kwa kodi za wananchi badala ya kujenga mabarabara na huduma nyingine muhimu maana uwajibishwaji uko mikononi mwetu wanadamu na hatujaweza kuwawajibisha!
2. Hivi kununua Hummer ni ishu sana ki hivyo? Jaribuni kufanya utafiti muone badala ya kuja hapa na kuonyesha ignorance waziwazi. Kila gari hata kama ina jina kubwa, gharama yake inategemea.Kuna Hummer mpaka za $20,000! sasa unaweza kulinganisha na shangingi la $125,000 na haya ni magari ambayo yapo barabarani thanks to u and me kwa kulazimishwa kulipa kodi.Kodi haitolewi kwa hiari kama fungu la kumi.

3. Watumishi wa Mungu waacheni wawe na maisha yao kama ambavyo wewe na mimi tunatafuta maisha mazuri kwa kazi zetu.Utumishi huo pamoja na kuwa huduma ya kiroho pia ni kazi - lets face it .period!

I have nothing personal against these so called preachers,BUT when they prey on the weak that is when i have something against them.

What kakobe,this hummer Guy,and many others are doing is trying so hard to potray that being a pastor pays as well!

A hummer is a status car,same as a Ferrari,you don't buy a ferrari and complain about Fuel Consumption,the fact that an average hummer MPG is less than 10MPG(4km per liter) says a lot about what type of a car it is.

a Hummer buying person is an attention seeker.just look at that lady on the above picture!PERIOD,do we need these for our religious leaders?!
 
Sawa, Mkuu. lakini hakuna anayesema kuwa Mtumishi wa Mungu awe masikini. Tunachosema ni kuwa ni vizuri Mtumishi wa Mungu akawa na Kiasi, hata Mungu mwenyewe ameyasema haya. Kuwa na Kiasi.
Hatusemi Watumisghi wa Mungu wasiwe na Uwezo la hasha. Tunachosisitiza ni kuwa na kiasi, neno ambalo hata Mungu mwenyewe ametuasa nalo.

kama jamii nzima inakubaliana kwamba gari la aina ya Hummer ni gari la kifahari, pamoja na mwenzetu kusema ni trekta la kazi, kwa nini mtumishi wetu wa Mungu asiamue kununua Landrover, Toyota Surf na kadhalika??

Anapanda Hummer la mamilioni anakwenda kuhubiri injili wapi, for Heaven's sake??

Mkuu Babadesi nakubaliana na wewe kabisa juu ya hili.
But that was to put the records straight, hakuna HAMMER kuna HUMMER.
Vile vile bei iliyowekwa ya 250 million ni suspect , ndo maana nikaweka bei current.
Baada ya kusema hayo nakubaliana nawe 100% kuwa katika makanisa haya ya kileo ni PESA MBELE.
In actual fact wangeweza kuwa kama Yohanna Mbatizaji aliyeishi kwa kula nzige, kuvaa mgolole na viatu vya mishipi, na Ujembe wa Mungu ungefika kama ambavyo Yohanna Mbatizaji aliufikisha.
Naye Yohanna wala hakuwa na punda.
Hawa jamaa are preying on weak minds.
 
I have nothing personal against these so called preachers,BUT when they prey on the weak that is when i have something against them.

What kakobe,this hummer Guy,and many others are doing is trying so hard to potray that being a pastor pays as well!

A hummer is a status car,same as a Ferrari,you don't buy a ferrari and complain about Fuel Consumption,the fact that an average hummer MPG is less than 10MPG(4km per liter) says a lot about what type of a car it is.

a Hummer buying person is an attention seeker.just look at that lady on the above picture!PERIOD,do we need these for our religious leaders?!

I hear you PK...and nothing personal....
1.The bottomline is, no one has been robbed of his/her money at gun point!If I am a follower ( meaning i went there of my own free-will) and I contributed in facilitating Kakobe to ride expensive wheels while im treading on my two feet, then the likes of Kakobe should be left alone to face judgement at the end of time.

2.Lets not engage in trivialities - a hummer, ferrari,bentley - it doesnt matter.If it is a status car - its us who gives that interpretation maana mimi binafsi I dont give a hoot kama mtu anaendesha gari gani, anavaa nini au anaishi kwenye nyumba gani.Attention seeker... let him get the attention- so what i would say.

3.Before reading this thread and your post, i never even knew that Kakobe ana baiskeli let alone a Hummer maana kwangu he is just Kakobe doing his business ( yes running a church is a business dont raise eye-brows hahah) kama ambavyo mimi ni Wos naendesha my own business!
 
Mnapoweka bei ni vyema mkasema na masoko manake bei ya Hummer marekani haiwezi kuwa sawa na Dar, hatujui kama hiyo bei inajumlisha na kodi au lah kubwa kuliko yote kuna customerzation inaweza pia kuongeza bei.

Ninavyowajua wabongo kama Hummer ingekuwa inauzwa $ 32,000 basi pasingetosha zingekuwa kibao lakini Hummer inazidi $ 100,000 bongo hapa tena used.
 
Askofu anamiliki Hummer ya 250 million!

Najiuliza maswali kadhaa:

-Tatizo hapa ni umiliki au jinsi lilivyopatikana?
-Ni vibaya (katika nchi kama Tanzania!) kwa askofu/kanisa kumiliki vitu vyenye thamani kubwa?
-Je ni kweli mmiliki ni askofu na sio kanisa analoliongoza?
-Je hili gari limenunuliwa au kuna mtu/watu/taasisi imelitoa kama msaada?
-Kama limenunuliwa, pesa hizo zimetoka wapi? Ni zaka/sadaka/michango ya waumini au ni pesa binafsi za askofu?
-Je waumini wana haki ya kujua/kuamua jinsi zaka/sadaka/michango yao inavyotumika/wa?
-Je ni sahihi kwa vyombo vya habari (na hata serikali kupitia PCCB) kumulika ufisadi unaotokea kwenye taasisi za kidini?
 
I hear you PK...and nothing personal....
1.The bottomline is, no one has been robbed of his/her money at gun point!If I am a follower ( meaning i went there of my own free-will) and I contributed in facilitating Kakobe to ride expensive wheels while im treading on my two feet, then the likes of Kakobe should be left alone to face judgement at the end of time.

2.Lets not engage in trivialities - a hummer, ferrari,bentley - it doesnt matter.If it is a status car - its us who gives that interpretation maana mimi binafsi I dont give a hoot kama mtu anaendesha gari gani, anavaa nini au anaishi kwenye nyumba gani.Attention seeker... let him get the attention- so what i would say.

3.Before reading this thread and your post, i never even knew that Kakobe ana baiskeli let alone a Hummer maana kwangu he is just Kakobe doing his business ( yes running a church is a business dont raise eye-brows hahah) kama ambavyo mimi ni Wos naendesha my own business!

Kazi kweli kweli viongozi wa dini!! Ukitaka kuwachambua baadhi yao, unaweza hata ugome kwenda kanisani. Ni kwa vile tu, tuna imani kuwa kuhudhuria kanisani na kushika neno la Mungu ni sehemu ya imani zeti na wala tusikwazike kwa matendo ya watumishi hao. Inasemwa "Usitizame matendo yao bali fuata neno la Mungu lisemavyo".

WoS, karibu sana and happy new year 2010. You disappeared for a while!!!! Ha ha. I always respect your contribution to this forum, so sincere!!
 
Unapokwenda kutoa sadaka Kanisani au Msikitini, semea maneno unayoyataka kwa Mungu wako akutimizie, auangalie moyo wako na kukurehemu na kukupa furaha ya maisha. Mwambie Mungu unataka unahotoa kifanye ktu gani kwa utukufu wake. Kama askofu wako atafanya tofauti na uliyoyanenea, mwambie Mungu aifanye kazi yake na ajitetee mwenyewe. Mungu anaishi na anao wivu unaokula moto. Nakuhakikishia atamrudi mwzi anayemuibia kilicho zaka kamili cha watu wake.

Biashara zote fanya utakavyo, lakini kamwe usilitumie Jina la Mungu katika biashara kujinufaisha wewe. Angalia, akikulaani Mungu nani atakubariki?

Leka
 
WAPENDWA KATIKA BWANA
Nawasalimu katika jina la YESU,
Nimepitia Post zote, kiukweli kila mtu ana mtizamo wake, Kwa kweli Utumishi wa Mtu uko ndani ya Mtu. Kama ulivyo udhaifu wa Mtu.
Mungu ni Mungu wa kanuni, Mungu wa maongezeko, Mungu anayebariki.
Suala la watumishi wa Mungu kumiliki vitu vya thamani kwangu mimi naliona kwa mtizamo tofauti kidogo. Nimepata kuwa mhasibu kwenye makanisa ya kiroho tena kwa muda mrefu. Wako watumishi waanzilishi wa Huduma ambao wamejitenga sana na sadaka na fungo la kumi, na wamekuwa wakifanya kazi kwa uaminifu. Lakini Pia wako wenye udhaifu.Ule udhaifu wa kibinadamu ndio unaotawala maisha yao. Kanisa ni kusanyiko la watu wa mungu, ni mahali ambapo watu wanatakiwa kupata faraja.
Si vyema watu wakawa na uhitaji wakati wengine wanaishi katika utele. Waumini wanatakiwa kuangaliana, mwenye nacho ampe muhitaji, mwenye ziada aangalie na wengine.Usimwangalie mtumishi peke yake bali hata sisi ni kati ya hao, kanisa si la mtumishi peke yake, wakati waumini wengine wanakuja kanisani na magari ya kifahari ndani ya kiyoyozi wengine wanakuja kwa miguu. Wenye nacho hata lifti hawatoi kwa wale walalahoi. Huo sio ukristo. Tuwe na upendo kwa wenzetu, tusiukumiane. Kama kuna mapungufu ya mchungaji aitwe kwenye kikao cha wazee wa kanisa na aelezwe masdhaifu yake, Kanisa lazima limbane mtumishi juu ya matumizi, akiwa kweli ameitwa kwa kazi ya bwana lazima atabadilika. Maana roho wa mungu anafanya kazi ndani yetu. Ikiwa muumini anaitaji kumbariki mtumishi wa Mungu basi na aombe ili mungu aseme naye juu ya kile ambacho anaenda kufanya. Kama ni HUMMER, NISSAN PATROL basi na aombe hekima ya mungu imtangulie katika kile anachotaka kumpa mtumishi wa mungu, Na nyie mnaohukumu watumishi wa Mungu Ole kwenu maana yuko anayehukumu naye hajaomba kusaidiwa.
Mungu awabariki na muwe na moyo mkuu.
Amen
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom