Jioni hii wakati nikiangalia taarifa ya habari, ilifuatia habari iliyomwanyesha Askf. Malasusa aliyeonekana alikuwa akiulilia utawala wa sheria!!
Nikajiuliza mara moja, Je, anaweza kutuambia nini kilijiri hadi wanachuo wa Tumaini mwaka 2010/11 wakaandamana na hata kufukuzwa chuo kwa kudai haki yao ambayo hadi leo hawajaipata, kama si kwenda kwake kinyume na utawala huo wa sheria, akiwa ndiye mkuu wa chuo kikuu cha Tumaini?[ Mimi Danniar nilimaliza masomo yangu ktk chuo kikuu cha Dar (UDSM) years ago.]
Haki waliyokuwa wakidai wanachuo hao ni ile ya kupewa habari ya ni lini wataacha kuchangia Tsh. 1,000,000/= kwa kila mwaka wa masomo watakao hudhuria hapo chuoni? (i.e 3,000,000/= for 3 years).kwa kisingizio cha ujenzi wa chuo.?
Uchangiaji huu sasa umeendelea kwa miaka mingi na hakuna majengo yoyote yanayoonekana kujengwa huko Mikocheni yenye hadhi ya ukusanyaji wa kiwango cha Tsh. 1,000,000 x 300(students in one class) x 3(classes)=900,000,000 /= kila mwaka!!! sasa ni zaidi ya miaka mitano!! Hapo Tumaini Kurasini-cumps office za lecturers ni kotena juu ya kontena. Sijui std za maktaba iko vipi hapo kurasini.
Serikali inaona na imekaa kimya, nasema inaona kwani ni hivi majuzi tu ilikwenda kufunga shule kule Taborapia, iliahidi kufunga nyingine kule Morogoro. Askofu asiyetosheka anajua na anakula humo, pia yuko kimyaaa kabisa. Wazazi wanaumizwa kisa , eti kanisa linatoa mchango wa elimu. Bora Kanisa liache, kama halifuati haki. kwani mwanasheria huyu akiisha ingia ktk system, nina uhakika lazima atapokea rushwa ili kufidia maumivu ambayo wazazi wake waliyapata alipokuwa akiitafuta degree yake. Na kwa mchezo huu rushwa haitakoma kabisa. Huenda ndo maana wazazi wao wako kimya kwani wanajua pesa yao itarudi tu after 3 yrs.
Je, ni haki gani mtu aanzishe business zake na alazimishe wateja wanaokuja ili kuchangia mitaji yake? kwa vipi? Kwa sababu, mbali na Ths. 1M/= bado mwanachuo analipia Tsh. 1,500,000/= kwa elimu yake i.e kwa mwaka mzazi anawajibika kujikamua tsh. 2,500,000/=. Kisa , KANISA!!
Je, hayo si mauaji ya kutisha kwa watanzania wenzio (Askofu) ambao uchumi wao ni mdogo? Na sasa ni miaka mingi inapita kila mwaka ukikusanya pesa yao na chuo hakijengwi huko Mikocheni, ila mnakula interest kila mwaka. Bora kifo cha mwili kuliko kifo unachowafanyia watanzania wenzako na mazingira zahiri ya rushwa unaowajengea watoto hawa na jamii yetu kwa ujumla. Kiasi cha michango hakipungui na chuo hakijengwi. mradi tosha kwa kanisa lako.
Mwogope muumba wako ukatende sawa na sheria za nchi na amri ya 'Usiibe'. Mchezo huu tunauona St Marian bagamoyo pia, lakini kule wazazi huchangia mara moja kwa mwaka tu. Kwa malasusa ni miaka yote, WHY?
Kwa wale wachangiaji wa uzi huu nawashukuru sana. Ila pia nawashauri kuwa hapa JF si mahali pa walevi kupageuza kijiwe kama mlivyochangia uzi huu. Inapotokea mada inamhusu kiongozi wa juu/ kiongozi maarufu, basi fikiria kidogo ndipo uijibu hoja hiyo kwa manufaa ya taifa. Asanteni sana
Nikajiuliza mara moja, Je, anaweza kutuambia nini kilijiri hadi wanachuo wa Tumaini mwaka 2010/11 wakaandamana na hata kufukuzwa chuo kwa kudai haki yao ambayo hadi leo hawajaipata, kama si kwenda kwake kinyume na utawala huo wa sheria, akiwa ndiye mkuu wa chuo kikuu cha Tumaini?[ Mimi Danniar nilimaliza masomo yangu ktk chuo kikuu cha Dar (UDSM) years ago.]
Haki waliyokuwa wakidai wanachuo hao ni ile ya kupewa habari ya ni lini wataacha kuchangia Tsh. 1,000,000/= kwa kila mwaka wa masomo watakao hudhuria hapo chuoni? (i.e 3,000,000/= for 3 years).kwa kisingizio cha ujenzi wa chuo.?
Uchangiaji huu sasa umeendelea kwa miaka mingi na hakuna majengo yoyote yanayoonekana kujengwa huko Mikocheni yenye hadhi ya ukusanyaji wa kiwango cha Tsh. 1,000,000 x 300(students in one class) x 3(classes)=900,000,000 /= kila mwaka!!! sasa ni zaidi ya miaka mitano!! Hapo Tumaini Kurasini-cumps office za lecturers ni kotena juu ya kontena. Sijui std za maktaba iko vipi hapo kurasini.
Serikali inaona na imekaa kimya, nasema inaona kwani ni hivi majuzi tu ilikwenda kufunga shule kule Taborapia, iliahidi kufunga nyingine kule Morogoro. Askofu asiyetosheka anajua na anakula humo, pia yuko kimyaaa kabisa. Wazazi wanaumizwa kisa , eti kanisa linatoa mchango wa elimu. Bora Kanisa liache, kama halifuati haki. kwani mwanasheria huyu akiisha ingia ktk system, nina uhakika lazima atapokea rushwa ili kufidia maumivu ambayo wazazi wake waliyapata alipokuwa akiitafuta degree yake. Na kwa mchezo huu rushwa haitakoma kabisa. Huenda ndo maana wazazi wao wako kimya kwani wanajua pesa yao itarudi tu after 3 yrs.
Je, ni haki gani mtu aanzishe business zake na alazimishe wateja wanaokuja ili kuchangia mitaji yake? kwa vipi? Kwa sababu, mbali na Ths. 1M/= bado mwanachuo analipia Tsh. 1,500,000/= kwa elimu yake i.e kwa mwaka mzazi anawajibika kujikamua tsh. 2,500,000/=. Kisa , KANISA!!
Je, hayo si mauaji ya kutisha kwa watanzania wenzio (Askofu) ambao uchumi wao ni mdogo? Na sasa ni miaka mingi inapita kila mwaka ukikusanya pesa yao na chuo hakijengwi huko Mikocheni, ila mnakula interest kila mwaka. Bora kifo cha mwili kuliko kifo unachowafanyia watanzania wenzako na mazingira zahiri ya rushwa unaowajengea watoto hawa na jamii yetu kwa ujumla. Kiasi cha michango hakipungui na chuo hakijengwi. mradi tosha kwa kanisa lako.
Mwogope muumba wako ukatende sawa na sheria za nchi na amri ya 'Usiibe'. Mchezo huu tunauona St Marian bagamoyo pia, lakini kule wazazi huchangia mara moja kwa mwaka tu. Kwa malasusa ni miaka yote, WHY?
Kwa wale wachangiaji wa uzi huu nawashukuru sana. Ila pia nawashauri kuwa hapa JF si mahali pa walevi kupageuza kijiwe kama mlivyochangia uzi huu. Inapotokea mada inamhusu kiongozi wa juu/ kiongozi maarufu, basi fikiria kidogo ndipo uijibu hoja hiyo kwa manufaa ya taifa. Asanteni sana