Askari wana madai yao!

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
539
3,507
Nimekutana na Askari mmoja tulisoma wote primary miaka 1995, katika mazungumzo akanidokeza kwamba alifanikiwa kujiendeleza na Sasa Ni graduate kwa miaka minne Sasa ila analipwa nakutambulika kama sejini. Kumuuliza kwanini akasema wamewabania kuwapandisha na hata kutambua elimu zao. Anatamani uchaguzi huu ukamlete mtu anayeweza kuwatetea wasikae Tena miaka mitano bila elimu zao kutambulika wala kulipwa.

Jambo la pili akasema, anatamani Askari waache kujinunulia na kushona uniform kwa gharama zao wenyewe. Kipindi Cha nyuma walikuwa wanashonewa uniform ila Sasa hivi wameachwa wajitaftie wenyewe. Ana kiu yakuona thamani yao nakuwapa stahiki zao.

Jambo la tatu, nyumba hazitoshi na wanaokaa uraiani awalipiwi Kodi ya nyumba. Umeme maeneo mengine wanajinunulia tofauti na huko tulikotoka...akitokea wakuwasemea atampa kura.

Nilipomuuliza kwanini Wana changamoto lukuki lakini azitamkwi popote akasema wanatii bila shuruti. Lakini pia malipo mengi yanajadiliwa Bungeni ila ukweli hawalipwi.

Wanasiasa wasaidieni walinzi wenu, tungependa muwe mnasikiliza waache kulalamika mtaani na kwenye vijiwe, waache kutusimamisha na magari nakuchukua elfu mojamoja... graduate kuchukua rushwa ya elfu moja Tena mlinzi wa Mali zetu nadhani nikutaka apate pesa yakulisha familia na kushona uniform

Siku zilizobaki waelezeni mtawasaidiaje?
 
Nimekutana na Askari mmoja tulisoma wote primary miaka 1995, katika mazungumzo akanidokeza kwamba alifanikiwa kujiendeleza na Sasa Ni graduate kwa miaka minne Sasa ila analipwa nakutambulika kama sejini. Kumuuliza kwanini akasema wamewabania kuwapandisha na hata kutambua elimu zao. Anatamani uchaguzi huu ukamlete mtu anayeweza kuwatetea wasikae Tena miaka mitano bila elimu zao kutambulika wala kulipwa.

Jambo la pili akasema, anatamani Askari waache kujinunulia na kushona uniform kwa gharama zao wenyewe. Kipindi Cha nyuma walikuwa wanashonewa uniform ila Sasa hivi wameachwa wajitaftie wenyewe. Ana kiu yakuona thamani yao nakuwapa stahiki zao.

Jambo la tatu, nyumba hazitoshi na wanaokaa uraiani awalipiwi Kodi ya nyumba. Umeme maeneo mengine wanajinunulia tofauti na huko tulikotoka...akitokea wakuwasemea atampa kura.

Nilipomuuliza kwanini Wana changamoto lukuki lakini azitamkwi popote akasema wanatii bila shuruti. Lakini pia malipo mengi yanajadiliwa Bungeni ila ukweli hawalipwi.

Wanasiasa wasaidieni walinzi wenu, tungependa muwe mnasikiliza waache kulalamika mtaani na kwenye vijiwe, waache kutusimamisha na magari nakuchukua elfu mojamoja... graduate kuchukua rushwa ya elfu moja Tena mlinzi wa Mali zetu nadhani nikutaka apate pesa yakulisha familia na kushona uniform

Siku zilizobaki waelezeni mtawasaidiaje?
Na wao hasa Jeshi la Polisi wajiongeze. Ni Jeshi hovyooo linalohitaji kusukwa upya. Haliheshimiki.
 
Nimekutana na Askari mmoja tulisoma wote primary miaka 1995, katika mazungumzo akanidokeza kwamba alifanikiwa kujiendeleza na Sasa Ni graduate kwa miaka minne Sasa ila analipwa nakutambulika kama sejini. Kumuuliza kwanini akasema wamewabania kuwapandisha na hata kutambua elimu zao. Anatamani uchaguzi huu ukamlete mtu anayeweza kuwatetea wasikae Tena miaka mitano bila elimu zao kutambulika wala kulipwa.

Jambo la pili akasema, anatamani Askari waache kujinunulia na kushona uniform kwa gharama zao wenyewe. Kipindi Cha nyuma walikuwa wanashonewa uniform ila Sasa hivi wameachwa wajitaftie wenyewe. Ana kiu yakuona thamani yao nakuwapa stahiki zao.

Jambo la tatu, nyumba hazitoshi na wanaokaa uraiani awalipiwi Kodi ya nyumba. Umeme maeneo mengine wanajinunulia tofauti na huko tulikotoka...akitokea wakuwasemea atampa kura.

Nilipomuuliza kwanini Wana changamoto lukuki lakini azitamkwi popote akasema wanatii bila shuruti. Lakini pia malipo mengi yanajadiliwa Bungeni ila ukweli hawalipwi.

Wanasiasa wasaidieni walinzi wenu, tungependa muwe mnasikiliza waache kulalamika mtaani na kwenye vijiwe, waache kutusimamisha na magari nakuchukua elfu mojamoja... graduate kuchukua rushwa ya elfu moja Tena mlinzi wa Mali zetu nadhani nikutaka apate pesa yakulisha familia na kushona uniform

Siku zilizobaki waelezeni mtawasaidiaje?
Weka I'd yake tufanyie kazi
 
Nimekutana na Askari mmoja tulisoma wote primary miaka 1995, katika mazungumzo akanidokeza kwamba alifanikiwa kujiendeleza na Sasa Ni graduate kwa miaka minne Sasa ila analipwa nakutambulika kama sejini. Kumuuliza kwanini akasema wamewabania kuwapandisha na hata kutambua elimu zao. Anatamani uchaguzi huu ukamlete mtu anayeweza kuwatetea wasikae Tena miaka mitano bila elimu zao kutambulika wala kulipwa.

Jambo la pili akasema, anatamani Askari waache kujinunulia na kushona uniform kwa gharama zao wenyewe. Kipindi Cha nyuma walikuwa wanashonewa uniform ila Sasa hivi wameachwa wajitaftie wenyewe. Ana kiu yakuona thamani yao nakuwapa stahiki zao.

Jambo la tatu, nyumba hazitoshi na wanaokaa uraiani awalipiwi Kodi ya nyumba. Umeme maeneo mengine wanajinunulia tofauti na huko tulikotoka...akitokea wakuwasemea atampa kura.

Nilipomuuliza kwanini Wana changamoto lukuki lakini azitamkwi popote akasema wanatii bila shuruti. Lakini pia malipo mengi yanajadiliwa Bungeni ila ukweli hawalipwi.

Wanasiasa wasaidieni walinzi wenu, tungependa muwe mnasikiliza waache kulalamika mtaani na kwenye vijiwe, waache kutusimamisha na magari nakuchukua elfu mojamoja... graduate kuchukua rushwa ya elfu moja Tena mlinzi wa Mali zetu nadhani nikutaka apate pesa yakulisha familia na kushona uniform

Siku zilizobaki waelezeni mtawasaidiaje?
Heee
 
Nimekutana na Askari mmoja tulisoma wote primary miaka 1995, katika mazungumzo akanidokeza kwamba alifanikiwa kujiendeleza na Sasa Ni graduate kwa miaka minne Sasa ila analipwa nakutambulika kama sejini. Kumuuliza kwanini akasema wamewabania kuwapandisha na hata kutambua elimu zao. Anatamani uchaguzi huu ukamlete mtu anayeweza kuwatetea wasikae Tena miaka mitano bila elimu zao kutambulika wala kulipwa.

Jambo la pili akasema, anatamani Askari waache kujinunulia na kushona uniform kwa gharama zao wenyewe. Kipindi Cha nyuma walikuwa wanashonewa uniform ila Sasa hivi wameachwa wajitaftie wenyewe. Ana kiu yakuona thamani yao nakuwapa stahiki zao.

Jambo la tatu, nyumba hazitoshi na wanaokaa uraiani awalipiwi Kodi ya nyumba. Umeme maeneo mengine wanajinunulia tofauti na huko tulikotoka...akitokea wakuwasemea atampa kura.

Nilipomuuliza kwanini Wana changamoto lukuki lakini azitamkwi popote akasema wanatii bila shuruti. Lakini pia malipo mengi yanajadiliwa Bungeni ila ukweli hawalipwi.

Wanasiasa wasaidieni walinzi wenu, tungependa muwe mnasikiliza waache kulalamika mtaani na kwenye vijiwe, waache kutusimamisha na magari nakuchukua elfu mojamoja... graduate kuchukua rushwa ya elfu moja Tena mlinzi wa Mali zetu nadhani nikutaka apate pesa yakulisha familia na kushona uniform

Siku zilizobaki waelezeni mtawasaidiaje?
Wewe ni askari acha kutubabaisha mambo ya vyeo, mishahara, Likizo, nyumba nk pambaneni na ujinga wenu! Watetezi wenu mnawapiga mabomu ya machozi unakuja kulialia hapa nenda kapige kura 28/10/2020 kama mtapenda kuendelea naye aliyewanyang'anya maduka yenu na posho zenu, shauri yenu.
 
Nimekutana na Askari mmoja tulisoma wote primary miaka 1995, katika mazungumzo akanidokeza kwamba alifanikiwa kujiendeleza na Sasa Ni graduate kwa miaka minne Sasa ila analipwa nakutambulika kama sejini. Kumuuliza kwanini akasema wamewabania kuwapandisha na hata kutambua elimu zao. Anatamani uchaguzi huu ukamlete mtu anayeweza kuwatetea wasikae Tena miaka mitano bila elimu zao kutambulika wala kulipwa.

Jambo la pili akasema, anatamani Askari waache kujinunulia na kushona uniform kwa gharama zao wenyewe. Kipindi Cha nyuma walikuwa wanashonewa uniform ila Sasa hivi wameachwa wajitaftie wenyewe. Ana kiu yakuona thamani yao nakuwapa stahiki zao.

Jambo la tatu, nyumba hazitoshi na wanaokaa uraiani awalipiwi Kodi ya nyumba. Umeme maeneo mengine wanajinunulia tofauti na huko tulikotoka...akitokea wakuwasemea atampa kura.

Nilipomuuliza kwanini Wana changamoto lukuki lakini azitamkwi popote akasema wanatii bila shuruti. Lakini pia malipo mengi yanajadiliwa Bungeni ila ukweli hawalipwi.

Wanasiasa wasaidieni walinzi wenu, tungependa muwe mnasikiliza waache kulalamika mtaani na kwenye vijiwe, waache kutusimamisha na magari nakuchukua elfu mojamoja... graduate kuchukua rushwa ya elfu moja Tena mlinzi wa Mali zetu nadhani nikutaka apate pesa yakulisha familia na kushona uniform

Siku zilizobaki waelezeni mtawasaidiaje?
Ndio maana Wana msongo mkubwa wa mawazo,ukiaangalia wale waliovamia ofisi ya Mhe Matiko,na kumkamata mlinzi wake Kama jambazi,wacha wasulubiwe,
Kwanini wao walipiwe Kodi,mbona walimu,madakitsri na watumishi wa kada nyingine hawalipiwi?
 
Nimekutana na Askari mmoja tulisoma wote primary miaka 1995, katika mazungumzo akanidokeza kwamba alifanikiwa kujiendeleza na Sasa Ni graduate kwa miaka minne Sasa ila analipwa nakutambulika kama sejini. Kumuuliza kwanini akasema wamewabania kuwapandisha na hata kutambua elimu zao. Anatamani uchaguzi huu ukamlete mtu anayeweza kuwatetea wasikae Tena miaka mitano bila elimu zao kutambulika wala kulipwa.

Jambo la pili akasema, anatamani Askari waache kujinunulia na kushona uniform kwa gharama zao wenyewe. Kipindi Cha nyuma walikuwa wanashonewa uniform ila Sasa hivi wameachwa wajitaftie wenyewe. Ana kiu yakuona thamani yao nakuwapa stahiki zao.

Jambo la tatu, nyumba hazitoshi na wanaokaa uraiani awalipiwi Kodi ya nyumba. Umeme maeneo mengine wanajinunulia tofauti na huko tulikotoka...akitokea wakuwasemea atampa kura.

Nilipomuuliza kwanini Wana changamoto lukuki lakini azitamkwi popote akasema wanatii bila shuruti. Lakini pia malipo mengi yanajadiliwa Bungeni ila ukweli hawalipwi.

Wanasiasa wasaidieni walinzi wenu, tungependa muwe mnasikiliza waache kulalamika mtaani na kwenye vijiwe, waache kutusimamisha na magari nakuchukua elfu mojamoja... graduate kuchukua rushwa ya elfu moja Tena mlinzi wa Mali zetu nadhani nikutaka apate pesa yakulisha familia na kushona uniform

Siku zilizobaki waelezeni mtawasaidiaje?
Mwaka gani alimaliza bachelor?
 
Ndio maana Wana msongo mkubwa wa mawazo,ukiaangalia wale waliovamia ofisi ya Mhe Matiko,na kumkamata mlinzi wake Kama jambazi,wacha wasulubiwe,
Kwanini wao walipiwe Kodi,mbona walimu,madakitsri na watumishi wa kada nyingine hawalipiwi?
Punguza pupa, katika maisha yako umewahi kusikia kuna kambi ya walimu au madaktari!?
Wanatakiwa walipiwe sababu Askari yoyote anatakiwa kukaa kambini sio kupanga uraiani. Anapopanga uraiani basi serikali inawajibika kumlipia Kodi zote.
 

Similar Discussions

13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom