Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Serikali imepoteza mwelekeo..too sad
Serikali imepoteza mwelekeo..too sad
Wasiwasi ni kwamba, kama ni kweli serikali inahusika na jambo hili basi maisha ya huyu Dr. yapo zaidi hatarini maana watafanya kila linalowezekana kimmalizia ili siri isivuje.. Dah, naona kama sinema hivi
Kwa mtizamo wako lakini au? Mwaga data
Kiongozi wa madaktari kufanya kikao na watu asiowajua?? au alikuwa anafikiria atapewa mlungula?
Mimi nina wasiwasi sana na huyu dokta Ulimboka!