Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 5,771
- 7,709
**********Binafsi napenda matamasha na miziki, kwa kuwa vyatuliwazzzzzzzaaaaa, naomba kuuliza maswali machachee apaaa
1. Usalama wa halaikiii hapa uwanja wa ndege je upo sawa? (nijuavyo uwanja wa ndegee ni sehemu isiyotakiwa kusanyiko ivii,)
2. Hawa wanafunzi wa shule (na walimu), VS matukio ya shughuli muhimu za serikali vinalandanaa. saa ngapi wataelewa umuhimu wa skuli?
3. Je saidizi/(misaada itolewayo) hizi zifanyikazo ni endelevu?
4. Je umeona kuna jambo fulani wana jammii wanalikosaa? endapo ndio/hapana waweza toa maoni yako
1. Usalama wa halaikiii hapa uwanja wa ndege je upo sawa? (nijuavyo uwanja wa ndegee ni sehemu isiyotakiwa kusanyiko ivii,)
2. Hawa wanafunzi wa shule (na walimu), VS matukio ya shughuli muhimu za serikali vinalandanaa. saa ngapi wataelewa umuhimu wa skuli?
3. Je saidizi/(misaada itolewayo) hizi zifanyikazo ni endelevu?
4. Je umeona kuna jambo fulani wana jammii wanalikosaa? endapo ndio/hapana waweza toa maoni yako