Jamani wadau wa JF mimi nimechoshwa na vitendo vya polisi wa usalama barabarani wakitembea na vitabu vya risiti huku wakipokea hela na kutoa risiti ambazo nina uhakika nyingi ni fake, hivyo kufanya mapato ambayo yanatakiwa yaende serikalini yaishie kwenye mifuko yao.
Mimi nashauri serikali ihakikishe hawa jamaa wanapewa hizo mashine ili hayo mapato yaonekane serikalini, kama viduka vidogo vya watu binafsi vina efd why not gvt.:A S angel::bange:
Mimi nashauri serikali ihakikishe hawa jamaa wanapewa hizo mashine ili hayo mapato yaonekane serikalini, kama viduka vidogo vya watu binafsi vina efd why not gvt.:A S angel::bange: