BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Inasikitisha sana sana.
Hapa shule T.Bovu kuna traffick ametokea Kawe wakiongoxwa na short yule aliekuwa Kijitonyama.
Wapendwa ni aibu wako wanne wanasimamisha gari zaidi ya sita wanaanza kuchukua hela moja baada ya nyingine.
Inatia aibu kama mko kukusanya kodi andikeni hizo faini sio kwa aibu hii.
Hapa shule T.Bovu kuna traffick ametokea Kawe wakiongoxwa na short yule aliekuwa Kijitonyama.
Wapendwa ni aibu wako wanne wanasimamisha gari zaidi ya sita wanaanza kuchukua hela moja baada ya nyingine.
Inatia aibu kama mko kukusanya kodi andikeni hizo faini sio kwa aibu hii.