High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,083
Ama kweli hapa ndio ujue wafanyakazi wametelekelezwa na hakuna mtu wa kuwasaidia huyo dreva aliyemgonga malipo yapo hapahapa duniani ni halali wafanyakazi wote muendelee kula rushwa itawasaidia sana yanapotokea matatizo kama haya