Askari wa Trafiki wa Mawasiliano kituoni mnatupotezea mapato ya Serikali!!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,906
21,999
Tuko ndani ya kituo, traffic wako na kila gari inakamatawa inavyoingia kushusha abiria.

Cha ajabu hata dereva wa basi nilie kuwa nae anaulizwa leseni anajibu sina bana mcheki boss wako pale.

Tuna kazi ngumu sana, baadae naona basi zote zinaondooka bila hata kuandikiwa fine. Nawaza basi tano mnakamata zina shida mnaziachia, kuna nini kinaendelea kama sio upotevu wa mapato?

Waheshimiwa wa TAKUKURU hebu tokeni ofisini mje kituo cha mawasiliano please!!
 
Hapaaa UBUNGO MH MPINGA TUMA VIJANA WAKO BASI ZOTE ZINAKAMATWA HAPA TANESCO WANAA MASHINE ZA EFD DEREVA ANASHUKA ANAENDA KUWAONA ANARUDI ANAONDOKA ....

MBAYA ZAIDI WANATIA AIBU MAKONDA WANAWAPA ALFUTATU MBELE YETU BILA AIBU KABISA ...T892 DDE
,,T237 BUV ,T197 BRH,T491 DGR HIZI ZOTE ZIMEKAMATWA NA KUACHILIWA WANAPOKWENDA KUWAONA..INASIKITISHA SANA

TUNAOMBA MJE NA HAPO TANESCO MNAPOTEZA mapato MENGI SANA KAMA WANA EFD MASHINE KWANINI AWAANDIKIWI
KAMA WANAMAKOSA
 
Hapaaa UBUNGO MH MPINGA TUMA VIJANA WAKO BASI ZOTE ZINAKAMATWA HAPA TANESCO WANAA MASHINE ZA EFD DEREVA ANASHUKA ANAENDA KUWAONA ANARUDI ANAONDOKA ...



Huyu kazi imemshindamuda mwingi amejifungia ofisini askari wake wanakula rushwa barabarani, ushahidi ...afanye ukaguzi wa kushitukiza yeye mwenyewe barabarani kisha aulize abiria waliozidi kwenye bus wamepakiliwa wapi, na je huko lilikotoka bus kulifanyika ukaguzi au laa, mabasi yanapotoka UBT yanapakia abiria zaidi ya viwango vilivyowekwa kisheria askari wanatazama hawachukui hatua, ukifika Kibaha, abiria waliozidi wanasogezwa nyuma kabisa ya bus, wanaambiwa wachuchumae, askari anaingia anaishia kuonge na dereva anatoka nakuruhusu bus, bus likifika Morogoro, abiria wanashuka wanakwenda kupakiliwa kwenye exit road baki ya huko vitu vya mbele hakuna ukaguzi wala katazo la kuzidisha abiria.
 
Back
Top Bottom