Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,692
Taarifa Kutokea Maeneo ya mnazi mmoja Jijini Dar es salaam
Inadaiwa tukio hili limetokea asubuhi ya Leo maeneo ya Mnazi Mmoja
Inadaiwa Askari hao walimshambulia na kumjeruhi vibaya Machinga aliyekuwa akipanga bidhaa mbalimbali kwenye kituo Cha mabasi ya kwenda Gongolamboto
Inadaiwa Wananchi walioshuhudia tukio hilo wakiwemo bodaboda walichukizwa na uonevu huo na kuamua kuwatembezea kichapo Askari hao walioamua kukimbilia kituo cha polisi kilichopo maeneo ya jirani ili kuokoa maisha yao
Inadaiwa hadi Sasa zipo.defenda 2 maeneo hayo na wananchi wegoma kuondoka
Inadaiwa hali ni shwali muda huu
Mwenye taaarifa za uhakika atujuze tafadhali
Inadaiwa tukio hili limetokea asubuhi ya Leo maeneo ya Mnazi Mmoja
Inadaiwa Askari hao walimshambulia na kumjeruhi vibaya Machinga aliyekuwa akipanga bidhaa mbalimbali kwenye kituo Cha mabasi ya kwenda Gongolamboto
Inadaiwa Wananchi walioshuhudia tukio hilo wakiwemo bodaboda walichukizwa na uonevu huo na kuamua kuwatembezea kichapo Askari hao walioamua kukimbilia kituo cha polisi kilichopo maeneo ya jirani ili kuokoa maisha yao
Inadaiwa hadi Sasa zipo.defenda 2 maeneo hayo na wananchi wegoma kuondoka
Inadaiwa hali ni shwali muda huu
Mwenye taaarifa za uhakika atujuze tafadhali