figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Waasi wa Serikali ya Kabila wamekua wakitumia sare za jeshi tiifu kwa Serikali kiasi kwamba hata Serikali yenyewe inashindwa kujua ni nani muasi nani adui.
Vikundi vya ADF,FDLR,Mauimayi Wote wanatumia Sare za Jeshi tiifu kwa Serikali.
Hawa askari wa UN wakiwa wameshikwa na na mavazi ya jeshi la Umoja wa Mataifa wakishikwa uwanja wa ndege wa Goma wakiwa wamebeba mavazi ya jeshi la Congo
Chanzo ni Austere Malivika wa ITV