Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Askari huyo aitwaye BWIRE amekutwa amekufa na kufukiwa kwenye shimo ambalo hutumiwa na wapasua mbao ktk eneo la Ibera wilaya ya Muleba Mkoani Kagera.
Tukio hili limetokea ndani ya miezi miwili baada ya Askari mwingine kupigwa na wamasai hadi kuzimia huko Arusha.
Tukio hili limetokea ndani ya miezi miwili baada ya Askari mwingine kupigwa na wamasai hadi kuzimia huko Arusha.