Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 5,455
- 12,643
ulishuudia nini MkuuMumewe huyo ambaye ni KOMANDO aliwahi kufanya tukio moja huko Yombo ambalo linanifanya hata nisipende mno Kuzoeana nae na Mkewe pia.
ulishuudia nini MkuuMumewe huyo ambaye ni KOMANDO aliwahi kufanya tukio moja huko Yombo ambalo linanifanya hata nisipende mno Kuzoeana nae na Mkewe pia.
Hilo swala Lina ukweli sanaWanajeshi mapolisi...wanateswa sana na mapenzi
Udangaji malipo yake ndo hayoUshauri mbovu!
Una maanisha mwanamke akidanga kifo kitakuwa halali yake?
Kwa hiyo kwa kuwa kadanga auawe?
Kosa la kudanga na adhabu ya kifo havirandani kabisa.
Makosa mawili hayatengenezi uhalali.
Two wrongs never make right.
Kumuua mdangaji, hakumuondolei muuaji hatia.
Kusingekuwa na sheria basi tungehalalisha uhuni mwingi, mfano, Mkurya ukimuudhi anakuua. Rubish!
Mbaya zaidi komando anajua njia kibao za kujitoa uhai hata pale anapokuwa kwenye mikono ya adui. Cpl. Warioba maombi ya kibari yanakuhusu ukahukumiwe uraianiMjinga kabisa huyu askari.
Yaani amejaribu kujiua kisha ameshindwa kabisa?
Hafai kuwa askari huyu!
Yaani inashangaza sana .. kwanza kazi ambayo Mimi naifanya inanikutanisha sana na wanawake kwaajili ya masuala mbali mbali ya ushauri wa ndoa na mahusiano tangu nianze kufanya kazi napenda ku declare intereste Wanawake karibia wote waliowahi kufuata huduma katika ofisi yangu hakuna hata 1 ambaye amewahi kusema kuwa ana bwana Mmoja yaani wote wanasema Wana mabwana kuanzia wawili wa3 na kuendelea hiyo haijalishi Ni mke wa mtu .mchumba au Gf ..Yaaani kama juzi kuna Mmoja alikuja ofisini akaanza kunipa feedback zake mpaka nilikuwa nahisi kuishiwa nguvu " Tena kuna wengine hata hauwezi kutegemea kwa muonekano wa nje Ni wastaarabu mnoo ... Kuna wakati mpaka huwa najiuliza hi dunia inaelekea wapi 🤔Sijui ni kwanini siku hizi 'nawadharau' mno wale Wanaume wanaopoteza muda Wao 'Kuoa' wakati Wanawake walioolewa ndiyo 'Vinara' wa Kusaliti.
Amefariki masaa kadhaa yaliyopita.Askari huyo wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayeenda kwa jina la Daniel Warioba alijaribu kujiua kwa kunywa sumu baada ya tukio hilo lakini hakufanikiwa.
Uchunguzi wa tukio hilo la kutisha lililotokea Mlandizi Mkoani Pwani bado unaendelea na taarifa kamili itatolewa na mamlaka husika ambayo ni Jeshi la Polisi
Inadaiwa Kuwa chanzo cha tukio la kikatili ni mfarakano uliochangiwa pamoja na mambo mengine wivu wa kimapenzi baina ya wanandoa hao
Mtuhumiwa huyo kwa Sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano zaidi ya tukio hilo.
Tunatoa pole kwa familia ya Mwendazake aliyehudumu kama Mwalimu Katika uhai wake
=====
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Koplo Daniel Warioba (43) kutoka Kikosi cha 92 TJ kwa tuhuma za kumuua Mke wake Joyce Ismail (35) ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Ruvu Darajani
Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana huu katika eneo la Janga, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi.
Kamanda Wankyo alisema askari huyo anadaiwa kumchoma mke wake na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili na kumsababishia kifo.
Kwa mujibu wa Kamanda Wankyo, baada ya kutekeleza mauaji hayo, mtuhumiwa anadaiwa alitaka kunywa sumu kwa lengo la kujiua.
Wankyo alisema polisi wamemkamata mtuhumiwa huyo na anaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa ya Tumbi, huku chanzo cha tukio hilo kikiendelea kuchunguzwa.
Wanajeshi mapolisi...wanateswa sana na mapenzi
KafarikiTiba yenyewe ndio Kama hiyo aliyoipata huyo mwanajeshi au sio ana kwenda jela sasa
Babako ni SNSo...Jinga kabisa shida ya askari wenye namba ndongo JNSO ubabe wa kingese
Nakubaliana nawe kwa hili kwa 100% Mkuu kwani kama wakitakiwa Watu 10 wanaoongoza 'Kuwakanyagia' Wake zao tu nina uhakika kabisa sikosi.Hakuna watu wanasaidiwa wake zao kama wanajeshi aisee......
Mimi kilichonipandisha kabisa Hasira hadi hata ya kutotaka kusikia neno Kuoa au kutowaamini tena Wanawake Maishani mwangu ni Tukio ambalo nililiona mwenyewe kwa Macho yangu. Kuna Dada Mmoja hivi wa Benki Moja ( hata hapa JF ) naiona inajitangaza wa Tawi lao la karibu na Klabu moja Kubwa sana ya Mpira inayopendwa na GENTAMYCINE alikuwa Kapangiwa na Dereva wa Taksi jirani na nilipokuwa nikiishi.Yaani inashangaza sana .. kwanza kazi ambayo Mimi naifanya inanikutanisha sana na wanawake kwaajili ya masuala mbali mbali ya ushauri wa ndoa na mahusiano tangu nianze kufanya kazi napenda ku declare intereste Wanawake karibia wote waliowahi kufuata huduma katika ofisi yangu hakuna hata 1 ambaye amewahi kusema kuwa ana bwana Mmoja yaani wote wanasema Wana mabwana kuanzia wawili wa3 na kuendelea hiyo haijalishi Ni mke wa mtu .mchumba au Gf ..Yaaani kama juzi kuna Mmoja alikuja ofisini akaanza kunipa feedback zake mpaka nilikuwa nahisi kuishiwa nguvu " Tena kuna wengine hata hauwezi kutegemea kwa muonekano wa nje Ni wastaarabu mnoo ... Kuna wakati mpaka huwa najiuliza hi dunia inaelekea wapi 🤔
Kuna wanawake zaidi ya wa4 nawajua na tuna heshimiana sana lakini wamewahi kuniambia kuwa baadhi ya watoto walionao sio wa wanaume walio waoa ..Mbaya zaidi hao wanaume Ni watu wenye heshima zao wanakazi nzuri tu na wanaheshimika .....
Daahh naomba Huu ulimwengu pepo la Kuoa liniepuke Tena linipitie mbali kabisa
mzee wewe imewahi kukukuta?Kabla sijakujibu hilo swali hebu nijiridhishe na upeo wako juu ya haya maswala ya usaliti katika mahusiano.
Umeshawahi kuwa na mke unamhudumia kwa upendo na haumletei ujinga halafu unakuja kujua wazi wazi kuwa anamahusiano na mtu nje unamkamata na ushahidi badala ya kujali hisia zako anabakia kusema wewe unakuwa busy hauna muda nae ndio maana kajikuta anafanya hayo mambo.
Umeshawahi kukutana na hiyo hali wewe kama wewe usinambie story za mtu mwingine?!
Itakuwa wamemruhusu 'ajiue' Mwenyewe kama alivyokuwa ametaka kwani Kitendo alichokifanya 'Kimewadhalilisha' sana tu 'Makomandoo' nchini.Amefariki masaa kadhaa yaliyopita.
Anayeisifia Mvua jua kuwa imeshamnyeshea.mzee wewe imewahi kukukuta?