Askari wa JWTZ Atuhumiwa Kwa Mauaji ya Mke Wake wa Ndoa Huku Akijaribu Yeye Mwenyewe Kujiua Bila Mafanikio

Mimi kilichonipandisha kabisa Hasira hadi hata ya kutotaka kusikia neno Kuoa au kutowaamini tena Wanawake Maishani mwangu ni Tukio ambalo nililiona mwenyewe kwa Macho yangu. Kuna Dada Mmoja hivi wa Benki Moja ( hata hapa JF ) naiona inajitangaza wa Tawi lao la karibu na Klabu moja Kubwa sana ya Mpira inayopendwa na GENTAMYCINE alikuwa Kapangiwa na Dereva wa Taksi jirani na nilipokuwa nikiishi.

Huyu Dada licha ya Kupangiwa tu na huyu Dereva wa Teksi pia alikuwa akipewa Huduma zote na Jamaa. Kuna Siku sitoisahau Mimi nilikuwa natizama 'Movie' Ghettoni Kwangu Usiku na Jamaa ( Dereva wa Teksi ) alikuwa ameenda Kusaka Wateja wake. Nakumbuka wakati nikiwa natizama 'Movie' ilikuja Gari Moja na Kupaki Mkabala na Dirisha langu kisha Taa ikazimwa yule Demu akatoka na kuja 'Kutombwa' Mimi naona.

Baada ya Mwanamke huyo kumaliza 'Kutiwa' huko tena akiwa 'Kainamishwa' katika 'Bampa' la Gari la huyo Mzee nikadhani labda atakuwa amechoka kwa 'Mkojozo' ule na atarejea Kulala. Walipomalizana tu na Yule Mzee nakumbuka baada ya kama Masaa Mawili baadae likaja Gari lingine tena na akatoka na safari hii kwenda 'Kutombwa' ndani ya Gari. Yaani Siku hiyo nilikuwa natizama 'Pono' iliyo 'Mubashara' kabisa.

Alipomaliza 'Kukojozwa' akarejea Kwake na Jamaa Kuondoka zake. Sasa kilichokikasirisha zaidi na hadi kutowaamini Wanawake na kutokuwa na hamu nao tena ni pale Jamaa ( Dereva wa Teksi ) Mwenye Mali hasa aliporejea na Kuona huyu Mwanamke akimpokea kwa 'Bashasha' zote za 'Kimahaba' na baadae nikamsikia akimwambia anajisikia anaumwa na Tumbo nikajua 'anazuga' ili Jamaa 'asimtombe' kwakuwa 'alishatombwa' mno.

Mwenyezi Mungu 'anisamehe' sana kwa kutosema au hata kutokuwa na nia tena ya 'Kuoa' Maishani mwangu ila Wanawake wa sasa ni taabu tupu!!
vipi jamaa hukumchana?
 
Wanajeshi mapolisi...wanateswa sana na mapenzi
mimi nadhani hizi kazi za usalama wa nchi sifa no.1 iwe ni marufuku kuoa au kuolewa yani iwe kama taasisi ya kidini wale RC.

maana huwezi muajiri askari ukamkaba kwenye ratiba yake ya kazini halafu ukasahau ana mke/mume wa kumuhudumia.

ndio mana hawa watu mapenzi hayatoacha watesa kwasababu hakuna mwanamke yupo tyr kukaa mwezi/miezi hajagongwa angali mume anae (ila yupo kazini kikazi) lazima wajiongeze.
 
wakristo weken mfumo mzuri wa taraka kupunguza huu upuuzi,hamuon wenzenu waislam haya mambo hawana kabisa,hamjifunzi???
24f43d46-c60e-44a2-8760-2368b9808b6b.jpg
 
Tatizo la nguvu za kiume ni kubwa sana,sasa kuna watu huwa wanajidai eti kwa kuwa ni watu wa mazoezi kwa hiyo ni mabingwa wa hicho kitu.Sasa wanapojikuta pamoja na ubabe,mazoezi na kila sifa ya mwonekano wanayo lakini bado wanashindwa mambo ya ndani,ndipo wanakuwa na hasira kama hizo.
 
Askari huyo wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayeenda kwa jina la Daniel Warioba alijaribu kujiua kwa kunywa sumu baada ya tukio hilo lakini hakufanikiwa.

Uchunguzi wa tukio hilo la kutisha lililotokea Mlandizi Mkoani Pwani bado unaendelea na taarifa kamili itatolewa na mamlaka husika ambayo ni Jeshi la Polisi

Inadaiwa Kuwa chanzo cha tukio la kikatili ni mfarakano uliochangiwa pamoja na mambo mengine wivu wa kimapenzi baina ya wanandoa hao

Mtuhumiwa huyo kwa Sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano zaidi ya tukio hilo.

Tunatoa pole kwa familia ya Mwendazake aliyehudumu kama Mwalimu Katika uhai wake

=====

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Koplo Daniel Warioba (43) kutoka Kikosi cha 92 TJ kwa tuhuma za kumuua Mke wake Joyce Ismail (35) ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Ruvu Darajani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana huu katika eneo la Janga, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi.

Kamanda Wankyo alisema askari huyo anadaiwa kumchoma mke wake na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili na kumsababishia kifo.

Kwa mujibu wa Kamanda Wankyo, baada ya kutekeleza mauaji hayo, mtuhumiwa anadaiwa alitaka kunywa sumu kwa lengo la kujiua.

Wankyo alisema polisi wamemkamata mtuhumiwa huyo na anaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa ya Tumbi, huku chanzo cha tukio hilo kikiendelea kuchunguzwa.
Chanzo cha tukio mbona kimeshawekwa wazi
 
Askari huyo wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayeenda kwa jina la Daniel Warioba alijaribu kujiua kwa kunywa sumu baada ya tukio hilo lakini hakufanikiwa.

Uchunguzi wa tukio hilo la kutisha lililotokea Mlandizi Mkoani Pwani bado unaendelea na taarifa kamili itatolewa na mamlaka husika ambayo ni Jeshi la Polisi

Inadaiwa Kuwa chanzo cha tukio la kikatili ni mfarakano uliochangiwa pamoja na mambo mengine wivu wa kimapenzi baina ya wanandoa hao

Mtuhumiwa huyo kwa Sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano zaidi ya tukio hilo.

Tunatoa pole kwa familia ya Mwendazake aliyehudumu kama Mwalimu Katika uhai wake

=====

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Koplo Daniel Warioba (43) kutoka Kikosi cha 92 TJ kwa tuhuma za kumuua Mke wake Joyce Ismail (35) ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Ruvu Darajani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana huu katika eneo la Janga, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi.

Kamanda Wankyo alisema askari huyo anadaiwa kumchoma mke wake na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili na kumsababishia kifo.

Kwa mujibu wa Kamanda Wankyo, baada ya kutekeleza mauaji hayo, mtuhumiwa anadaiwa alitaka kunywa sumu kwa lengo la kujiua.

Wankyo alisema polisi wamemkamata mtuhumiwa huyo na anaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa ya Tumbi, huku chanzo cha tukio hilo kikiendelea kuchunguzwa.
The Only solution kama mmechokana kwenye mahusiano its better mkaagana na kila mmoja kuanza upya!!
 
Back
Top Bottom