USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,661
Mwendesha mashtaka wa serkali katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu ameimbia mahakama kuwa mauaji ya askri wa JWTZ aliyeuwawa mwaka2017 ndani ya makao makuu ya jeshi aliuwawa kwa kuhisiwa ametumwa na Siro kuiba silaha.
Japo hakutajwa ni Siro gani ila muuaji ambaye siku ya tukio alikuwa zamu aliwatuhumu askari hao ambao walikuwa wamefika makao makuu hayo kuchukua kibari cha mgonjwa kuwa wameenda hapo kiuiba silaha.
"Muuaji alifoka kwa sauti ya ukali huku akisema mmetumwa na Siro mje kuiba siraha"muuaji ambaye ni askari wa zamu alisikika akisema kabla ya kikosi maalumu kumdhibiti.
Chanzo: Mwananchi
USSR
Japo hakutajwa ni Siro gani ila muuaji ambaye siku ya tukio alikuwa zamu aliwatuhumu askari hao ambao walikuwa wamefika makao makuu hayo kuchukua kibari cha mgonjwa kuwa wameenda hapo kiuiba silaha.
"Muuaji alifoka kwa sauti ya ukali huku akisema mmetumwa na Siro mje kuiba siraha"muuaji ambaye ni askari wa zamu alisikika akisema kabla ya kikosi maalumu kumdhibiti.
Chanzo: Mwananchi
USSR