MASWALI YA MSINGI KWA HILI TUKIO LA TANGA
Kwanza nitoe Pole kwa Familia ya marehemu askari (R.I.P Said Kajembe) kama ni kweli.
(1) Nakubaliana na mambo ya usalama kutooneshwa picha za tukio likiwa linaendelea ili kuwalinda walio kwenye operation hiyo, sasa je, ni ugumu gani kutoa taarifa sahihi na picha za majeruhi na huyo askari aliyefariki?
(2) Je, vyombo vya ulinzi havioni ni shida kwa wananchi kuwa na sintofahamu ya ukweli kwa kutoweka taarifa sahihi? Je, ukimya wao hawaoni kama ni kweli watu wanavyooneza kuwa hiyo ni movie itawaingia wananchi na kuwachukia vyombo vya usalama?
(3) Aliyekufa ni shujaa akipigania nchi, je, haikufaa kuenziwa na kudhaminiwa mchango wake katika mazishi yake? Mfano; tujikumbushe yule Askari Shujaa wa Dodoma (R.I.P Soja) aliyekuwa anamuokoa mtoto mchanga asiuawe, taarifa sahihi na kwa wakati zilitoka na kila mtu alimuona ni shujaa wa kweli.
(4) Je, ikibainika si kweli vyombo vya usalama vitaficha wapi sura na je, vitaaminika tena na jamii?
(5) Je, wapi TISS, nini majukumu yao? Kweli hawajui kinachoendelea? Mbona zamani walikuwa fit hata kuaminishwa kuwa kwa afrika TZ wana-mashushushu wa ukweli na uhakika?
Ningependa mwenye kuyajua hayo yanayonitatiza akanisaidia kunielewesha
Kwanza nitoe Pole kwa Familia ya marehemu askari (R.I.P Said Kajembe) kama ni kweli.
(1) Nakubaliana na mambo ya usalama kutooneshwa picha za tukio likiwa linaendelea ili kuwalinda walio kwenye operation hiyo, sasa je, ni ugumu gani kutoa taarifa sahihi na picha za majeruhi na huyo askari aliyefariki?
(2) Je, vyombo vya ulinzi havioni ni shida kwa wananchi kuwa na sintofahamu ya ukweli kwa kutoweka taarifa sahihi? Je, ukimya wao hawaoni kama ni kweli watu wanavyooneza kuwa hiyo ni movie itawaingia wananchi na kuwachukia vyombo vya usalama?
(3) Aliyekufa ni shujaa akipigania nchi, je, haikufaa kuenziwa na kudhaminiwa mchango wake katika mazishi yake? Mfano; tujikumbushe yule Askari Shujaa wa Dodoma (R.I.P Soja) aliyekuwa anamuokoa mtoto mchanga asiuawe, taarifa sahihi na kwa wakati zilitoka na kila mtu alimuona ni shujaa wa kweli.
(4) Je, ikibainika si kweli vyombo vya usalama vitaficha wapi sura na je, vitaaminika tena na jamii?
(5) Je, wapi TISS, nini majukumu yao? Kweli hawajui kinachoendelea? Mbona zamani walikuwa fit hata kuaminishwa kuwa kwa afrika TZ wana-mashushushu wa ukweli na uhakika?
Ningependa mwenye kuyajua hayo yanayonitatiza akanisaidia kunielewesha