Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 576
Mimi Silindwi Na Wanajeshi Wenu Bali Nalindwa Na Malaika Wa Mwenyezi Mungu Na Najilinda Mwenyewe Pia Sawa? Mbwiga Mkubwa Weye! Wao Ni Nani Wasife? Tena Nawalaumu Mno Hao Sijui Majangili au Magaidi Kwa Kuua Tu Huyo Mmoja Kwani Mimi Nilitaka Wawaue Wote Ili Wakome. Battle Ndogo Tu Hiyo Tunahanya hanya Na Kuhangaika Je Zingine Zitakuwaje? Mr. Misifa Wenu Mwakibolwa Mbona Hajaenda Sasa Huko Amboni Tanga? Mnadhani Magaidi Ni Sawa Na M23? Hivi Kama Wewe Una Akili Na Unajifanya Unayajua Masuala Ya Medani Za Kivita Ambaoni Tanga Ni Kwa Kuwapeleka Wanajeshi? Kulikuwa Na Ugumu Gani? Ndiyo Maana Na Wao WAMETUSAMBAZIA UPENDO Kwa Ku Mdedisha Huyo Mjeda Kwani Na Wao Walikurupuka Na Wakome Siku Nyingine.
Kwa kweli wewe bwana unatakiwa kupimwa akili, haijakaa sawa hata kidogo. Kuwa mwehu sio lazima uokote makopo, kuna dalili nyingi na hii ya kwa ko ni moja wapo katika zile kubwa. Nimekusamehe. Najua na watanzania wengi waekusamehe. Labda wewe ni mmojawapo wa wadudu wale waliokuwa pangoni, nahisi maana dalili zote zinanipeleka huko. Kawaambie waliokutuma, kwamba Tanzania ni rahisi kuingia lakini sio rahisi kutoka na uhalifu wako. Kama unabisha kamuulize Kaburu a Afrika Kusini Peter Bother na FW Clark. Damu ya Askari huyo mtaendelea kuilipa mpaka tone la mwisho. Subiri. Popobawa wewe mburula usiyejua umuhimu wa askari.