unachekesha kwelikweli jamaa. yaani hizi drama za ccm zilisimamisha nchi! mimi hata sina habari na huu upuuzi wao.Jamani tunazidi kuleta maelezo mepesi katika hoja nzito. Kumbuka hili tukio lilisimamisha nchi kwa masaa 48, ngoja tusubiri wadau watuwekee picha za msibani.
R.I.P Kajembe kwa kuipigania na kuifia nchi yako
achaneni na huo unaoitwa ugaidi. marekani na urusi pamoja na maguvu yao yote hapatoshi itakuwa tanzania. kafanye kazi ulishe watoto achana na upuuzi huu wa ccm.